Wamepotelea Wapi Hawa Wasanii?

Sister p yupo juzi tu nimemuona kamuowa demu mwezake.....kuna ofisi wanafukuzia mkopo namuona sana akija na demu wake afu demu mkali ana room ya hajaa.
 
balozi yupo state i think wapo na akina stigo.
 
Mkuu sister p si ni wakike unaposema yuko dem wake unamaanisha nini?

ina maana we mgeni dunia hii ama? any way yuko na mdada mwenzake kila sehemu yuko nae na wanapenda kufatana na kushikana shikana kimahaba hata njiani.
 
Wengine tunatumia simu ukisema namba 4 kutoka page ya 15 huku mpaka ya 1 kwenda kumuangalia tena! Tutajieni majina, tuhurumieni wenzenu!

Ni kweli jamaa yangu... Tuonewe huruma maana hata net yenyewe ya kuunga unga.
 
Mbona kimya sana kuhusu hawa watu, wenye taarifa zao atwambie maana tunawakumbuka sana.

1. Snoop lee
2. Mabaga fresh
3. Rich one
4. sister P
5. Zay B
6. Suma G
7. Rado
8. Balozi
9. Pauline Zongo
Kuna tetesi kuwa Pauline Zongo anatumia madawa ya kulevya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…