Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kimya sana kuhusu hawa watu, wenye taarifa zao atwambie maana tunawakumbuka sana.
1. Snoop lee
2. Mabaga fresh
3. Rich one
4. sister P
5. Zay B
6. Suma G
7. Rado
8. Balozi
9. Pauline Zongo
namba 8 huyo yuko level ingine kbsa
pauline zongo yupo upanga pale ECT
Sister P yupo tu nakaa nae kitaa, sikuiz yupo busy tu na Demu wake.
Sister P yupo tu nakaa nae kitaa, sikuiz yupo busy tu na Demu wake.
10. Dani msimamo
Mkuu sister p si ni wakike unaposema yuko dem wake unamaanisha nini?
Sister P yupo tu nakaa nae kitaa, sikuiz yupo busy tu na Demu wake.
Umeona eeeeee!!!!!?????khaaah ameoa? wanawake wengne bwana sasa uolewe na ke mwenzako kwa ajili gani?wanajikosesha mautamu buree
namba 4 na sijui kama Kaolewa Huyoooo.....na namba 5 hapooooo
Wengine tunatumia simu ukisema namba 4 kutoka page ya 15 huku mpaka ya 1 kwenda kumuangalia tena! Tutajieni majina, tuhurumieni wenzenu!
Kuna tetesi kuwa Pauline Zongo anatumia madawa ya kulevyaMbona kimya sana kuhusu hawa watu, wenye taarifa zao atwambie maana tunawakumbuka sana.
1. Snoop lee
2. Mabaga fresh
3. Rich one
4. sister P
5. Zay B
6. Suma G
7. Rado
8. Balozi
9. Pauline Zongo
MI sijuiKuna tetesi kuwa Pauline Zongo anatumia madawa ya kulevya