Katika watu wanaoendana kiutamaduni ni wameru na wamachame
Kwa mfano lugha zao zina maingiliano makubwa mno
Koo zao zinafanana sana mfano urasa,ndosi, nyari nk
Kuchapa kazi n,k
Kati ya wameru 10 ukiwahoji 8 watakuambia wametokea machame
Ni kati ya watu ambao walipaswa washirikiane mno katika masuala ya kimila ,kitamaduni na hata kiuchumi ikiwemo hata kuanzisha "muungano" wa hizi jamii mbili
KWA HISANI YA GOOGLE
Ni hao hao
Ubishi ndio uliwaponza Wameru mzungu akawatenga na wachagaLkn Muzungu alivyounda ,,Kabila la Wachaga" Wameru hakuwaweka kwenye kundi, sasa sijui ni kwa nini?
Hahaaaa...hawa jamaa waliwahi kuzika mzungu akiwa hai na kuwafukua tena.Ubishi ndio uliwaponza Wameru mzungu akawatenga na wachaga