Wamesema hakutakuwa na mgao wa umeme; mbona wanakata umeme?

Wamesema hakutakuwa na mgao wa umeme; mbona wanakata umeme?

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Nduguzanguni Serikali waliibuka nakusema hakutakuwa na mgawo wa umeme ambao walikuwa wameutanganza kwasema ni kwa sababu washapata mbinu mbadala utaosaidia kuwezesha upatikanaji umeme kuwa wakutosha.

Nimeshangaa jana wmetukatia kuanzia saa 10 Jioni wamerudisha saa 4 na nusu Usiku hii imekaaje? Na nimegundua ni si huku kwetu hadi maeneo mengine ya nchi.
 
Ukiona giza wewe jua tupo kazini😁

IMG_20220203_065738.jpg
 
Mheshimiwa Mwenyekiti, hata ule mgawo mkubwa tuliodhani tutakuwa nao, na wenyewe hautakuwepo kabisa. Mpaka sasa tunajitosheleza kwa umeme.

Na tunatumia gesi ili kufidia kiwango cha MW kadhaa zinazohitajika. Kwa hiyo, niwatoe wasiwasi kabisa wananchi kwamba ndani ya juma moja au mawili hivi, tatizo litakuwa limeondoka kabisa.

Question? Mgawo utaendelea au haupo?

Jibu: Mgawo haupo; ila utakuwepo mdogo, wa kawaida! 🙂
 
^Mheshimiwa Mwenyekiti, hata ule mgawo mkubwa tuliodhani tutakuwa nao, na wenyewe hautakuwepo kabisa. Mpaka sasa tunajitosheleza kwa umeme. Na tunatumia gesi ili kufidia kiwango cha MW kadhaa zinazohitajika. Kwa hiyo, niwatoe wasiwasi kabisa wananchi kwamba ndani ya juma moja au mawili hivi, tatizo litakuwa limeondoka kabisa.^

Question? Mgawo utaendelea au haupo?

Jibu: Mgawo haupo; ila utakuwepo mdogo, wa kawaida! 🙂
Ni maigizo tupu
 
Wanadai hautakuwa mkali kihiiivyo la wajanja tumeshajua ni statement ya kisiasa, nchi hii imeingizwa kwenye power crisis kutokana na mafisadi wachache tu hasa kuanzia kipindi cha msoga wazee wa kujipimia kwenye kamba.
 
Nadhani wasemaji wa serikali kabla ya kutoa tamko Wana disconnect ule waya unaotoka kwenye ubongo kuja mdomoni
 
Back
Top Bottom