sepema
JF-Expert Member
- Jun 13, 2019
- 591
- 1,001
Kumekucha wakuu,
Nipo siti yanyuma kwenye gari ya abiria. Nikiwa nimetulia zangu mara nastushwa na mtoza nauli akidai chake. Mara napata faraja baada yakukumbuka leo ni Juni2 ambapo bei ya mafuta imetangazwa kupungua toka Juni 1.
Nimempa nauli nilokua nimezoea kulipa kabla ya mafuta kupanda Ila amegoma anadai nauli hazijashuka na hazitashuka.
Hali ipoje huko kwenu?
Nakama hawapunguzi nauli,Ile ruzuku yamafuta nikwa faida ya nani hasa?
Mjenga nchi ni mwananchi!
Nipo siti yanyuma kwenye gari ya abiria. Nikiwa nimetulia zangu mara nastushwa na mtoza nauli akidai chake. Mara napata faraja baada yakukumbuka leo ni Juni2 ambapo bei ya mafuta imetangazwa kupungua toka Juni 1.
Nimempa nauli nilokua nimezoea kulipa kabla ya mafuta kupanda Ila amegoma anadai nauli hazijashuka na hazitashuka.
Hali ipoje huko kwenu?
Nakama hawapunguzi nauli,Ile ruzuku yamafuta nikwa faida ya nani hasa?
Mjenga nchi ni mwananchi!