Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataanza stori maara ooh kuna jini ndilo lilioangusha lile ghorofaHawa wajinga sijui kwa nini huwa wanasikilizwa🤔🤔🤔 huwa nawaza na mimi niwadanganye wa tanzania kupitia imani ila sijui kwa nini huwa nasita🤔🤔🤔
Hawa wajinga sijui kwa nini huwa wanasikilizwa🤔🤔🤔 huwa nawaza na mimi niwadanganye wa tanzania kupitia imani ila sijui kwa nini huwa nasita🤔🤔🤔
Wataanza stori maara ooh kuna jini ndilo lilioangusha lile ghorofa
Hio yoote ili watu wageukie makanisa uchwara yao
Kufa kufaana!Hawa wajinga sijui kwa nini huwa wanasikilizwa🤔🤔🤔 huwa nawaza na mimi niwadanganye wa tanzania kupitia imani ila sijui kwa nini huwa nasita🤔🤔🤔
Mkuu nikiona hawa kondoo huwa najiuliza hivi kwa nini mimi sina pesa😂Wataanza stori maara ooh kuna jini ndilo lilioangusha lile ghorofa
Hio yoote ili watu wageukie makanisa uchwara yao
Mkuu tushirikiane tuwapige hawa nyumbu aseee ila mimi nitakua nabii mkuu nimeshawahi🤔Inauma sana. Mkuu
Mara ya mwisho niliona gari ya kale kajaamaa kanajiita sijui kopola sijui kapola
Nikasema watu wanakula kiulaini
Kaka Yan Usijali uzuri nimesoma literature kwahyo najua vZuri kutunga visa🤣kwenye sekta ya ukipofu hiyo mniachie, 🤣mashuhuda wa kupona ukimwi ntaleta
Hii nini tena??
Kaka wee achaaKaka Yan Usijali uzuri nimesoma literature kwahyo najua vZuri kutunga visa🤣kwenye sekta ya ukipofu hiyo mniachie, 🤣mashuhuda wa kupona ukimwi ntaleta