Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inakua Ghafla
hahahah inauma sanaHahaha ila tunachukulia sisis walala hoii hahaha
Hakika mkuuKitu ninachojua ukisali ama usiposali, kama uko duniani haya majanga yanaweza kukukuta tu.Kwa hiyo mtu yeyote anayeniaminisha nikisali kwake au nikimrudia Mungu sitaumwa, sitakumbwa na majanga kama lile la Kariakoo ama shida yeyote simuamini (najua tuna uelewa tofauti, ila naamini niko sahihi).
We kama umeamua kumrudia Mungu (Jambo muhimu sana), mrudie, lakini usiwaze kuwa utabarikiwa zaidi kuliko wengine ambao hawana muda na haya mambo.
Kikubwa wanaume mkeo akienda huko au mpenzi wako akitaka kwenda huko mkataze, akikaza fuvu muonye na akitoa mguu kwenda muambie abakie huko huko asirudi nyumbani na kama ni mpenzi piga chini haraka sana tena usipepese macho maana hawajamaa wanataka kutumia udhaifu wa wanawake zetu kujilimbikizia mali kwa sababu washajua wanawake ni fata upepo