Wameshaanza sasa ku-profitize na janga la Kariakoo

Hawa wajinga sijui kwa nini huwa wanasikilizwa🤔🤔🤔 huwa nawaza na mimi niwadanganye wa tanzania kupitia imani ila sijui kwa nini huwa nasita🤔🤔🤔
Wataanza stori maara ooh kuna jini ndilo lilioangusha lile ghorofa

Hio yoote ili watu wageukie makanisa uchwara yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…