Wameshakuja na wamejikoki vizuri, wakifungwa 3 kwa 1 hatutaki waje na ulalamishi wala majungu

Wameshakuja na wamejikoki vizuri, wakifungwa 3 kwa 1 hatutaki waje na ulalamishi wala majungu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani GENTAMYCINE na yule mtu mmoja wa BAKWATA tukiingie Msituni kuipambania Timu nje ya Uwanja halafu Mwarabu atoke bila Kipigo/Kichapo?

Sikumbuki ni lini GENTAMYCINE nimeshirikishwa katika Umafia wa Nje ya Uwanja (Utamaduni na Fitna) na nikashirikiana vyema na wahusika na wakakisikia ninachowaambia na kuwaelekeza na Timu yangu isishinde tena kwa Kishindo wa Goli nyingi.

Mnaojipanga kesho kutuzodoa na kutucheka mnapoteza muda kwani Mechi tumeshaimaliza na watake wasitake wanakufa nyingi na hayo mapipa yao mengi waliyokuja nayo hakikisheni tukiwafunga wanawaachieni ili muyatumie kuondoa maji ya Mafuriko yanayotegemewa kuja ambayo hupita kwenu ili boksa inayotia huruma ya Zenge na vesti iliyochoka ya Gamo zisielee mtoni na kuibukia Salenda Briji Bahari ya Hindi.
 
Yaani GENTAMYCINE na yule Mtu Mmoja wa BAKWATA tukiingie Msituni Kuipambania Timu nje ya Uwanja halafu Mwarabu atoke bila Kipigo / Kichapo?

Sikumbuki ni lini GENTAMYCINE nimeshirikishwa katika UMAFIA wa Nje ya Uwanja ( Utamaduni na Fitna ) na nikashirikiana vyema na Wahusika na wakakisikia ninachowaambia na Kuwaelekeza na Timu yangu isishinde tena kwa Kishindo wa Goli nyingi.

Mnaojipanga Kesho kutuzodoa na kutucheka mnapoteza muda kwani Mechi tumeshaimaliza na watake wasitake Wanakufa nyingi na hayo Mapipa yao mengi waliyokuja nayo hakikisheni tukiwafunga wanawaachieni ili muyatumie kuondoa Maji ya Mafuriko yanayotegemewa Kuja ambayo hupita Kwenu ili Boksa inayotia Huruma ya Zenge na Vesti iliyochoka ya Gamo zisielee Mtoni na kuibukia Salenda Briji Bahari ya Hindi.
Kesho mnakula kichapo cha mbwa koko, au paka jizi..!!
 
Yaani GENTAMYCINE na yule mtu mmoja wa BAKWATA tukiingie Msituni kuipambania Timu nje ya Uwanja halafu Mwarabu atoke bila Kipigo/Kichapo?

Sikumbuki ni lini GENTAMYCINE nimeshirikishwa katika Umafia wa Nje ya Uwanja (Utamaduni na Fitna) na nikashirikiana vyema na wahusika na wakakisikia ninachowaambia na kuwaelekeza na Timu yangu isishinde tena kwa Kishindo wa Goli nyingi.

Mnaojipanga kesho kutuzodoa na kutucheka mnapoteza muda kwani Mechi tumeshaimaliza na watake wasitake wanakufa nyingi na hayo mapipa yao mengi waliyokuja nayo hakikisheni tukiwafunga wanawaachieni ili muyatumie kuondoa maji ya Mafuriko yanayotegemewa kuja ambayo hupita kwenu ili boksa inayotia huruma ya Zenge na vesti iliyochoka ya Gamo zisielee mtoni na kuibukia Salenda Briji Bahari ya Hindi.
Yaani GENTAMYCINE na yule mtu mmoja wa BAKWATA tukiingie Msituni kuipambania Timu nje ya Uwanja halafu Mwarabu atoke bila Kipigo/Kichapo?

Sikumbuki ni lini GENTAMYCINE nimeshirikishwa katika Umafia wa Nje ya Uwanja (Utamaduni na Fitna) na nikashirikiana vyema na wahusika na wakakisikia ninachowaambia na kuwaelekeza na Timu yangu isishinde tena kwa Kishindo wa Goli nyingi.

Mnaojipanga kesho kutuzodoa na kutucheka mnapoteza muda kwani Mechi tumeshaimaliza na watake wasitake wanakufa nyingi na hayo mapipa yao mengi waliyokuja nayo hakikisheni tukiwafunga wanawaachieni ili muyatumie kuondoa maji ya Mafuriko yanayotegemewa kuja ambayo hupita kwenu ili boksa inayotia huruma ya Zenge na vesti iliyochoka ya Gamo zisielee mtoni na kuibukia Salenda Briji Bahari ya Hindi.
Kama mechi mmeimaliza KELELE ni za nini hapa jf? Mpiganaji Gani ambae Yuko serious anaweza kuweka mbinu zake za kivita hadharani ili adui azifahamu? Mara nyingi muoga ndio uwa mwenye maneno mengiiii ya Kila aina Kama muuza karanga but uwezo ni zeroo!
 
Yaani GENTAMYCINE na yule mtu mmoja wa BAKWATA tukiingie Msituni kuipambania Timu nje ya Uwanja halafu Mwarabu atoke bila Kipigo/Kichapo?

Sikumbuki ni lini GENTAMYCINE nimeshirikishwa katika Umafia wa Nje ya Uwanja (Utamaduni na Fitna) na nikashirikiana vyema na wahusika na wakakisikia ninachowaambia na kuwaelekeza na Timu yangu isishinde tena kwa Kishindo wa Goli nyingi.

Mnaojipanga kesho kutuzodoa na kutucheka mnapoteza muda kwani Mechi tumeshaimaliza na watake wasitake wanakufa nyingi na hayo mapipa yao mengi waliyokuja nayo hakikisheni tukiwafunga wanawaachieni ili muyatumie kuondoa maji ya Mafuriko yanayotegemewa kuja ambayo hupita kwenu ili boksa inayotia huruma ya Zenge na vesti iliyochoka ya Gamo zisielee mtoni na kuibukia Salenda Briji Bahari ya Hindi.
Ndo maana akili ilikuwa inaniambia nimuwekee Simba kushinda kwa dau kubwa kabisa. Kumbe niko sahihi kabisa!🤔
 
Yaani GENTAMYCINE na yule mtu mmoja wa BAKWATA tukiingie Msituni kuipambania Timu nje ya Uwanja halafu Mwarabu atoke bila Kipigo/Kichapo?

Sikumbuki ni lini GENTAMYCINE nimeshirikishwa katika Umafia wa Nje ya Uwanja (Utamaduni na Fitna) na nikashirikiana vyema na wahusika na wakakisikia ninachowaambia na kuwaelekeza na Timu yangu isishinde tena kwa Kishindo wa Goli nyingi.

Mnaojipanga kesho kutuzodoa na kutucheka mnapoteza muda kwani Mechi tumeshaimaliza na watake wasitake wanakufa nyingi na hayo mapipa yao mengi waliyokuja nayo hakikisheni tukiwafunga wanawaachieni ili muyatumie kuondoa maji ya Mafuriko yanayotegemewa kuja ambayo hupita kwenu ili boksa inayotia huruma ya Zenge na vesti iliyochoka ya Gamo zisielee mtoni na kuibukia Salenda Briji Bahari ya Hindi.
kujiburudisha pia haki yako kabisa,enjoy
 
Naomba muwe wana michezo, Baada ya mpira kwisha tusi sikie lawama kwa Robrtinho au Benchi la ufundi.

Tumesha kubaliana wachezaji wamesajiliwa bila kuangalia uwiano.
Mawinga ni wengi kuliko idara nyingine[emoji3][emoji3]

Na wewe usilete habar za subirini Cairo.
 
Timu ina Ma Goli kipa 5 afu Left Back Mmoja na inataka kupata kombe lolote.
 
Mimi nasema hiviii.....ikifika mwaka 2050, mkiambiwa madunduka ndio wa kwanza kutinga hatua ya robo fainali ya super legue hapa tanzania, Msibishe..?
 
Kama mechi mmeimaliza KELELE ni za nini hapa jf? Mpiganaji Gani ambae Yuko serious anaweza kuweka mbinu zake za kivita hadharani ili adui azifahamu? Mara nyingi muoga ndio uwa mwenye maneno mengiiii ya Kila aina Kama muuza karanga but uwezo ni zeroo!
🤣🤣🤣🤣Kabisa
 
Back
Top Bottom