GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Yaani GENTAMYCINE na yule mtu mmoja wa BAKWATA tukiingie Msituni kuipambania Timu nje ya Uwanja halafu Mwarabu atoke bila Kipigo/Kichapo?
Sikumbuki ni lini GENTAMYCINE nimeshirikishwa katika Umafia wa Nje ya Uwanja (Utamaduni na Fitna) na nikashirikiana vyema na wahusika na wakakisikia ninachowaambia na kuwaelekeza na Timu yangu isishinde tena kwa Kishindo wa Goli nyingi.
Mnaojipanga kesho kutuzodoa na kutucheka mnapoteza muda kwani Mechi tumeshaimaliza na watake wasitake wanakufa nyingi na hayo mapipa yao mengi waliyokuja nayo hakikisheni tukiwafunga wanawaachieni ili muyatumie kuondoa maji ya Mafuriko yanayotegemewa kuja ambayo hupita kwenu ili boksa inayotia huruma ya Zenge na vesti iliyochoka ya Gamo zisielee mtoni na kuibukia Salenda Briji Bahari ya Hindi.
Sikumbuki ni lini GENTAMYCINE nimeshirikishwa katika Umafia wa Nje ya Uwanja (Utamaduni na Fitna) na nikashirikiana vyema na wahusika na wakakisikia ninachowaambia na kuwaelekeza na Timu yangu isishinde tena kwa Kishindo wa Goli nyingi.
Mnaojipanga kesho kutuzodoa na kutucheka mnapoteza muda kwani Mechi tumeshaimaliza na watake wasitake wanakufa nyingi na hayo mapipa yao mengi waliyokuja nayo hakikisheni tukiwafunga wanawaachieni ili muyatumie kuondoa maji ya Mafuriko yanayotegemewa kuja ambayo hupita kwenu ili boksa inayotia huruma ya Zenge na vesti iliyochoka ya Gamo zisielee mtoni na kuibukia Salenda Briji Bahari ya Hindi.