Wameshanitibuli............!!!!

Wameshanitibuli............!!!!

Mwananke huyo mpuuzi kabisa, au anatafuta sababu ya yeye kuanza kuchakachua?
 
Sasa wewe si umsaidie kumla huyo dogo. Huyo mai waifu wake akikuona nae roho yake itatulia.

Tena u make sure she sees u with her.
 
bora tu ammeng'enyue huyo shemeji yake. Kama mbwai na iwe mbwai bwana!!!

Mmh! Tofauti ya binadamu na mbuzi iko wapi?
Maana tunachoelewa mbuzi akipigiwa gita acheze muzikh anakimbia.
Sasa unapomshauri mtu akanyage pale anapojua kuna bomu unategemea nini?
Unachukulia ndoa jambo la kitoto eeh!
Kama umechoka akili usipost suburi ukiwa umeshiba.
Usichezee hisia za watu kuchochea ufusika unadhani uchafu wakuchanganya wanawake ni mzuri?.
Kweli wanawake hampendani. Run your mouth next time.
 
Back
Top Bottom