Wamesusa Mabehewa ya Ghorofa yaliyofika, Watanganyika wanalia kuuzwa kwa Bandari yao

Wamesusa Mabehewa ya Ghorofa yaliyofika, Watanganyika wanalia kuuzwa kwa Bandari yao

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Kwa mbwembwe zote Msigwa kawaambia vijana wake wa maelezo wawahi bandarini kuandaa video fupi kuhusu ujio wa mabehewa ya ghorofa ili kuwa hadaa watanzania.

Hadi muda huu ile clip na story yake imebuma maana wananchi wamesusa asilani na wanajua mchezo wote unavyokwenda.

Gafla wakatoa mkeka wa wakurugenzi, maDED nk, storyline imebuma watu wanalia na bandari zao huku.

Ukaja mkwara wa hasira waziwazi eti "nyie wapotoshaji" watu wamekomaa doesn't matter hata tukiwa wapotoshaji tuelezwe ukweli tu wa bandari.

Hakika Watanganyika wanachoka sasa na ifahamike hivyo.
 
Kwa mbwembwe zote Msigwa kawaambia vijana wake wa maelezo wawahi bandarini kuandaa video fupi kuhusu ujio wa mabehewa ya ghorofa ili kuwa hadaa watanzania.

Hadi muda huu ile clip na story yake imebuma maana wananchi wamesusa asilani na wanajua mchezo wote unavyokwenda.

Gafla wakatoa mkeka wa wakurugenzi, maDED nk, storyline imebuma watu wanalia na bandari zao huku.

Ukaja mkwara wa hasira waziwazi eti "nyie wapotoshaji" watu wamekomaa doesn't matter hata tukiwa wapotoshaji tuelezwe ukweli tu wa bandari.

Hakika watanganyika wanachoka sasa na ifahamike hivyo.
Subiri habari ya feitoto kesho. Watanzania wanasahau haraka. Au diamond afanye jambo
 
Unaambiwa hata hawa makatibu Tawala walilenga kufifisha mjadala
 
Subiri habari ya feitoto kesho. Watanzania wanasahau haraka. Au diamond afanye jambo
Isue ya Fei imebuma kaka, watu bado wanalia na bandari yao kuuzwa.
 
Kwa mbwembwe zote Msigwa kawaambia vijana wake wa maelezo wawahi bandarini kuandaa video fupi kuhusu ujio wa mabehewa ya ghorofa ili kuwa hadaa watanzania.

Hadi muda huu ile clip na story yake imebuma maana wananchi wamesusa asilani na wanajua mchezo wote unavyokwenda.

Gafla wakatoa mkeka wa wakurugenzi, maDED nk, storyline imebuma watu wanalia na bandari zao huku.

Ukaja mkwara wa hasira waziwazi eti "nyie wapotoshaji" watu wamekomaa doesn't matter hata tukiwa wapotoshaji tuelezwe ukweli tu wa bandari.

Hakika watanganyika wanachoka sasa na ifahamike hivyo.
Mwenyezi Mungu atapiga moja baada ya jingine na mtu hutafunwa na laana ya dhambi yake mpaka majivu.sina shaka na hilo
 
Kwa mbwembwe zote Msigwa kawaambia vijana wake wa maelezo wawahi bandarini kuandaa video fupi kuhusu ujio wa mabehewa ya ghorofa ili kuwa hadaa watanzania.

Hadi muda huu ile clip na story yake imebuma maana wananchi wamesusa asilani na wanajua mchezo wote unavyokwenda.

Gafla wakatoa mkeka wa wakurugenzi, maDED nk, storyline imebuma watu wanalia na bandari zao huku.

Ukaja mkwara wa hasira waziwazi eti "nyie wapotoshaji" watu wamekomaa doesn't matter hata tukiwa wapotoshaji tuelezwe ukweli tu wa bandari.

Hakika watanganyika wanachoka sasa na ifahamike hivyo.
Msingwa ni mtu very corrupt haswa
 
Kwa mbwembwe zote Msigwa kawaambia vijana wake wa maelezo wawahi bandarini kuandaa video fupi kuhusu ujio wa mabehewa ya ghorofa ili kuwa hadaa watanzania.

Hadi muda huu ile clip na story yake imebuma maana wananchi wamesusa asilani na wanajua mchezo wote unavyokwenda.

Gafla wakatoa mkeka wa wakurugenzi, maDED nk, storyline imebuma watu wanalia na bandari zao huku.

Ukaja mkwara wa hasira waziwazi eti "nyie wapotoshaji" watu wamekomaa doesn't matter hata tukiwa wapotoshaji tuelezwe ukweli tu wa bandari.

Hakika watanganyika wanachoka sasa na ifahamike hivyo.
kwa hili la bandari, hata wakijaribu kutupoteza mtazamo kwa kumwambia ambaruti apige porno lingine, watu hawatamfatilia, hii issue ya bandari tena inayofanywa na RAis mzanzibar na waziri mzanzibari watu imewauma sana, na itamkost sana mama yenu 2025. aimejiongezea kazi nzito.
 
kwa hili la bandari, hata wakijaribu kutupoteza mtazamo kwa kumwambia ambaruti apige porno lingine, watu hawatamfatilia, hii issue ya bandari tena inayofanywa na RAis mzanzibar na waziri mzanzibari watu imewauma sana, na itamkost sana mama yenu 2025. aimejiongezea kazi nzito.
Tatizo ni moja mkuu, toka uhuru hatujaona mwenye uthubutu wa wazi labda mmoja, kidogo yeye alijaribu kwa nafasi yake na kwa wakati wake.
 
Back
Top Bottom