Wametaka kumtahiri mpwa wangu wa miaka 4 nimewaletea vagi hilo hawajaamini

1. Rangi ya ngozi yangu ni ipi?

2. Mambo gani ambayo sisi kama waafrika ni superior na yameacha alama kwenye ulimwengu huu wa sasa ? Uki compare na wazungu, wachina, wahindi, waarabu, wakorea e.t.c?
Maadili na utu

Na kama utabisha juu ya hili basi nitaamini kweli wewe kama umeenda shule basi hakuna haja ya kupeleka watoto wetu kusoma
 
Kibamia nikama tako kubwa kuna walio nalo na waambao hawana . Hata akitairiwa 18 bado atakuwa tu nakibamia na ninzuri kutahiri mtoto akiwa mdogo atapona haraka. Kingine Yesu alitahiriwa siku 18 baada ya kuzaliwa licha yeye mchumba kabisa
Kumbe sir alikuwa na mshedede mkubwa pamoja na waliwahi kumkata
 
Kwan huyo dogo ni ukoo wako wewe nyumbu
Unavosema ataaibisha ukoo??
Calisah amezaa na zaidi ya wanawake 20 unadhani hao watoto watajivunia na ukoo wa choko kama yule?

Akili yako Sasa inafanana na Calisah, kuwa baba sio kumwaga shahawa zako na kumpa mtu mimba ila kuyabeba majukumu kama mzazi na mwanaume dhahiri, marekani Kuna mashoga kibao wanatungisha mimba na hawana hatimiliki ya watoto

Kuwa sperm donor hakukupi haki ya kuwa baba fala wewe
 
Kibamia nikama tako kubwa kuna walio nalo na waambao hawana . Hata akitairiwa 18 bado atakuwa tu nakibamia na ninzuri kutahiri mtoto akiwa mdogo atapona haraka. Kingine Yesu alitahiriwa siku 18 baada ya kuzaliwa licha yeye mchumba kabisa
Wayahudi wanatahiri mtoto akiwa na siku nane(8) na huwezi sikia hizo habari.
 
Hapo kikubwa kilichokukasirisha siyo kutahiriwa,unaonekana huyu baba wa mtoto unatamani ummeze kabisa,yani ashindwe kulea mimba,mtoto mjomba umgharimiehalafu leo alete za kuleta,mkuu kata mtu makofi
 
Ila umenizidi ufala plus upumbavu unao mwingi sana hadi unamwagika
 
Maadili na utu

Na kama utabisha juu ya hili basi nitaamini kweli wewe kama umeenda shule basi hakuna haja ya kupeleka watoto wetu kusoma

Kila jamii ina maadili na utu ni vile haujafuatilia tu kusingekuwa na maneno kama selfless, good manners , behaviour , values n.k kwenye kiingereza ninaamini pia watu wa jamii tofauti wana mbadala ea maneno hayo.

Hii si kwa waafrika tu ni dunia nzima ni vile unapenda kujilisha upepo .
 
Ugonjwa mkubwa sana wa akili ni kuamini kila unachosema toka ndani ya kinywa chako ni sahihi na kina hekima

Jitahidi upone huu ugonjwa
 
Ugonjwa mkubwa sana wa akili ni kuamini kila unachosema toka ndani ya kinywa chako ni sahihi na kina hekima

Jitahidi upone huu ugonjwa
Kwanini unakuwa na wasi wasi na ukubwa au udogo wa maumbile ya mtoto wa dada yako......

Yakiwa makubwa au madogo wewe yanakuathiri vipi...??
 
Nadhani ulijibiwa ila so kwa namna uliyotaka wewe na hiyo siyo shida yangu
SIkujibiwa acha kupoteza mada mkuu hii inaonesha jinsi gani uliandika pumba ku support point zako unataja system zinazohusika na bodily immunity kama sehemu zinazozalisha juices za kukuza shaft 🤣 .

siku nyengine kama kitu haujui kaaa kimya ni moja ya hekma pia si kuandika pumba ili kushawishi watu sawa?
 
Wewe ni mpumbavu.
 
Kibamia nikama tako kubwa kuna walio nalo na waambao hawana . Hata akitairiwa 18 bado atakuwa tu nakibamia na ninzuri kutahiri mtoto akiwa mdogo atapona haraka. Kingine Yesu alitahiriwa siku 18 baada ya kuzaliwa licha yeye mchumba kabisa
Sasa yesu alikuwa na kibamiaa au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…