Maadili na utu1. Rangi ya ngozi yangu ni ipi?
2. Mambo gani ambayo sisi kama waafrika ni superior na yameacha alama kwenye ulimwengu huu wa sasa ? Uki compare na wazungu, wachina, wahindi, waarabu, wakorea e.t.c?
Kumbe sir alikuwa na mshedede mkubwa pamoja na waliwahi kumkataKibamia nikama tako kubwa kuna walio nalo na waambao hawana . Hata akitairiwa 18 bado atakuwa tu nakibamia na ninzuri kutahiri mtoto akiwa mdogo atapona haraka. Kingine Yesu alitahiriwa siku 18 baada ya kuzaliwa licha yeye mchumba kabisa
Calisah amezaa na zaidi ya wanawake 20 unadhani hao watoto watajivunia na ukoo wa choko kama yule?Kwan huyo dogo ni ukoo wako wewe nyumbu
Unavosema ataaibisha ukoo??
Ukisikia misconceptions ndio hizo sasa.Vibamia Ni maumbile tu ya asili wala hayahusiani na tohara!
Wayahudi wanatahiri mtoto akiwa na siku nane(8) na huwezi sikia hizo habari.Kibamia nikama tako kubwa kuna walio nalo na waambao hawana . Hata akitairiwa 18 bado atakuwa tu nakibamia na ninzuri kutahiri mtoto akiwa mdogo atapona haraka. Kingine Yesu alitahiriwa siku 18 baada ya kuzaliwa licha yeye mchumba kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila wanavibamiaWayahudi wanatahiri mtoto akiwa na siku nane(8) na huwezi sikia hizo habari.
Ila umenizidi ufala plus upumbavu unao mwingi sana hadi unamwagikaCalisah amezaa na zaidi ya wanawake 20 unadhani hao watoto watajivunia na ukoo wa choko kama yule?
Akili yako Sasa inafanana na Calisah, kuwa baba sio kumwaga shahawa zako na kumpa mtu mimba ila kuyabeba majukumu kama mzazi na mwanaume dhahiri, marekani Kuna mashoga kibao wanatungisha mimba na hawana hatimiliki ya watoto
Kuwa sperm donor hakukupi haki ya kuwa baba fala wewe
Maadili na utu
Na kama utabisha juu ya hili basi nitaamini kweli wewe kama umeenda shule basi hakuna haja ya kupeleka watoto wetu kusoma
Majibu uya maswali niliyokuuliza kenye quote yangu ya kwanza nadhaniHebu niambie majibu gani unataka
Ugonjwa mkubwa sana wa akili ni kuamini kila unachosema toka ndani ya kinywa chako ni sahihi na kina hekimaKwanini unahangaika na ukubwa au udogo wa maumbile ya mpwa wako.....una mpango gani na ukubwa au udogo wa maumbile ya mpwa wako mpaka uwe mkali kwamba itakuwa ndogo......
Ikiwa kubwa au ndogo wewe Una kazi nayo gani mpaka uwe na ghadhabu kiasi hicho.......
Unaonekana unatumia muda mwingi sana na mpwa wako mpaka unamkagua maumbile yake.....
Kwanini unakuwa na wasi wasi na ukubwa au udogo wa maumbile ya mtoto wa dada yako......Ugonjwa mkubwa sana wa akili ni kuamini kila unachosema toka ndani ya kinywa chako ni sahihi na kina hekima
Jitahidi upone huu ugonjwa
SIkujibiwa acha kupoteza mada mkuu hii inaonesha jinsi gani uliandika pumba ku support point zako unataja system zinazohusika na bodily immunity kama sehemu zinazozalisha juices za kukuza shaft 🤣 .Nadhani ulijibiwa ila so kwa namna uliyotaka wewe na hiyo siyo shida yangu
Wewe ni mpumbavu.Huyu mpwa wangu tangu akiwa tumboni mimi ndo nilikuwa nimebeba majukumu ya sista (mtoto wa ma mkubwa) kumlea na kila kitu. Yaani hadi anafika umri huu kila kitu kinachohusiana na mahitaji yake mimi ndo niliyebeba kwa 100% baada ya boya mmoja kukimbia majukumu punde tu alipomwaga tui lake kwa sista.
Mi nikasema sio kesi huyu ni ndugu yangu maana tumekuwa wote pamoja yaani Kuna ile bond kubwa sana kati yetu na watoto wengine wote tuliolelewa pamoja hivyo ikaniwia ngumu Mimi kumtosa hata kama aliyatimba mwenyewe maana ni damu yangu kabisa.
Sasa hapa juzi kati napigiwa simu na sista anaomba nimuongezee hela kidogo kwa ajili ya ngariba na mambo mengine ya matibabu ili wamtahiri maana wameshauriana na baba yake eti mtoto wamtahiri Sasa hivi. Aisee siku hiyo nilichafukwa sista hakuamini nilimtolea mitusi kuanzia yeye hadi bwanake
Ukiachia mbali dharau ambayo bwanake ameionesha kwanza unawezaje kukatahiri katoto ka miaka minne!, govi hata halijakomaa wanataka mpwa wangu aje kuwa kibamia baadaye, nikawaambia wakitaka waujue utaahira wangu wathubutu hata kumchuna huyo dogo hilo govi. Kwahiyo wanataka mjomba angu baadaye asipige yope vizuri akiwa na kizambarau? Nimemwambia aache mapepe asubiri afike angalau darasa la 5 asije akaaibisha ukoo kwa sifa mbovu ya kibamia cha kujitakia.
Mtoto hata kachululuu hakajapata protini, mishipa haijakomaa, steki zenyewe hazina mafuta wala ujazo wa nyama halafu anataka kukitaka kinaniliu kwa rika hili!!?
Aah wee!
Sasa yesu alikuwa na kibamiaa auKibamia nikama tako kubwa kuna walio nalo na waambao hawana . Hata akitairiwa 18 bado atakuwa tu nakibamia na ninzuri kutahiri mtoto akiwa mdogo atapona haraka. Kingine Yesu alitahiriwa siku 18 baada ya kuzaliwa licha yeye mchumba kabisa
Mie mamake auSasa yesu alikuwa na kibamiaa au