Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba lymphatic juice hubeba leucocytes pekee basi?SIkujibiwa acha kupoteza mada mkuu hii inaonesha jinsi gani uliandika pumba ku support point zako unataja system zinazohusika na bodily immunity kama sehemu zinazozalisha juices za kukuza shaft ๐คฃ .
siku nyengine kama kitu haujui kaaa kimya ni moja ya hekma pia si kuandika pumba ili kushawishi watu sawa?
Ukiwa mwanaume sidhani kama hili ni swali la kuliletea tafakuri labda tu uwe upinde ndo ukiwa wa maumbile kwako na jamaa zako huwezi tilia maananiKwanini unakuwa na wasi wasi na ukubwa au udogo wa maumbile ya mtoto wa dada yako......
Yakiwa makubwa au madogo wewe yanakuathiri vipi...??
Maumbile ya mpwa wako yanakuathiri vipi wewe mpaka unalalamika...???Ukiwa mwanaume sidhani kama hili ni swali la kuliletea tafakuri labda tu uwe upinde ndo ukiwa wa maumbile kwako na jamaa zako huwezi tilia maanani
Hakuna mwanaume anayependa kuwa na maumbile madogo au jamaa yake awe na maumbile madogo ndo maana Kuna jamii hadi huchanjia ili kuwa na wastani mzuri wa kimo cha maumbile
Kama kwako na kwenu kuwa na kibamia sio agenda then it's fine let you be
naomba nikuingilie hapo...Nilidhani una sababu ya msingi ya kukataa kumbe unaongelea atakuwa na kibamia.
Kama umesoma elimu haijakusaidia. Naomba kuwasilisha.
Kwanza nikiri ndo nasikia kwako kwamba kuna kitu kinaitwa "lymphatic juices" ๐ anyways thibitisha kitabibu kwamba zinachangiaje ukuaji wa uume ๐๐๐ nasubiri majibu.Kwamba lymphatic juice hubeba leucocytes pekee basi?
Ila mdogo wangu wewe ni mjuaji aisee unaonesha ulitahiriwa ukiwa katoto halafu Sasa hivi ni kibamia ndo maana una makasiriko
๐
Kwanini wewe mtoto wa kiume unahangaishwa na ukubwa au udogo wa maumbile ya mwanaume mwenzio.....kwani yakiwa madogo au makubwa wewe yanakuathiri vipi mpaka unakuwa concerned kiasi hicho mpaka kuja kuleta uzi....Ungekuwa mwanaume ungeelewa