Wametaka kumtahiri mpwa wangu wa miaka 4 nimewaletea vagi hilo hawajaamini

Kwamba lymphatic juice hubeba leucocytes pekee basi?

Ila mdogo wangu wewe ni mjuaji aisee unaonesha ulitahiriwa ukiwa katoto halafu Sasa hivi ni kibamia ndo maana una makasiriko
πŸ˜€
 
Kwanini unakuwa na wasi wasi na ukubwa au udogo wa maumbile ya mtoto wa dada yako......

Yakiwa makubwa au madogo wewe yanakuathiri vipi...??
Ukiwa mwanaume sidhani kama hili ni swali la kuliletea tafakuri labda tu uwe upinde ndo ukiwa wa maumbile kwako na jamaa zako huwezi tilia maanani

Hakuna mwanaume anayependa kuwa na maumbile madogo au jamaa yake awe na maumbile madogo ndo maana Kuna jamii hadi huchanjia ili kuwa na wastani mzuri wa kimo cha maumbile

Kama kwako na kwenu kuwa na kibamia sio agenda then it's fine let you be
 
Maumbile ya mpwa wako yanakuathiri vipi wewe mpaka unalalamika...???
 
Kwamba lymphatic juice hubeba leucocytes pekee basi?

Ila mdogo wangu wewe ni mjuaji aisee unaonesha ulitahiriwa ukiwa katoto halafu Sasa hivi ni kibamia ndo maana una makasiriko
πŸ˜€
Kwanza nikiri ndo nasikia kwako kwamba kuna kitu kinaitwa "lymphatic juices" πŸ˜‚ anyways thibitisha kitabibu kwamba zinachangiaje ukuaji wa uume πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nasubiri majibu.

Kingine ngozi ya govi inamchango upi kwenye ukuaji wa uume , majibu yote yawe kitabibu zaidi.

N.B
Umeanza personal attack ili nipaniki mada ibadilike mkuu mkuu naomba majibu ya maswali yangu size ya uboo wangu si ya muhimu sana kwa sasa anyways i want my answers.
 
Ungekuwa mwanaume ungeelewa
Kwanini wewe mtoto wa kiume unahangaishwa na ukubwa au udogo wa maumbile ya mwanaume mwenzio.....kwani yakiwa madogo au makubwa wewe yanakuathiri vipi mpaka unakuwa concerned kiasi hicho mpaka kuja kuleta uzi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…