Wameuziwa kesi kama wale mwewe

Wameuziwa kesi kama wale mwewe

NGEDERE NA BUNDI WAOKOA MABILLIONI YA PESA UNUNUZI WA TRENI ZA SGR.

NGEDERE mmoja na BUNDI mmoja jana maeneo ya Kidete wilaya ya Kilosa ndiyo kalisanua TAIFA katika ufisadi ununuzi wa Treni za SGR.

Bila NGEDERE jana kufanya kazi nzuri ya "AUDITING" kwa kushirikiana na Bundi,taifa lingekuwa limetapeliwa na TRC chini ya Mkurugenzi wake Bwana KADOGOSA ambaye alisema Treni hizo zinatumia Umeme na Mafuta.

Lakini katika ukaguzi ukifanywa na NGEDERE na BUNDI kutoka ofisi ya CAG ofisi ndogo za Kidete

Bundi jana majira ya saa 2 kwenda saa 3 usiku, alifanikiwa kukaa Juu ya mti mrefu sana na Kuliona Treni la SGR likiwa linatoka Station ya Kilosa kuja Kidete.

BUNDI aliwasiliana na NGEDERE kwa haraka sana,kwa ajili ya ukaguzi wa kutizama "Value for Money" katika ununuzi wa Treni hizo ambazo Taifa liliambiwa zinatumia Umeme na Mafuta.

NGEDERE alifanikiwa kufyatua Nyaya za umeme pasipo kuharibu miundo mbinu ya TANESCO, na hatimaye umeme ukajizima na kurudi kituo cha kupooza umeme cha Godegode.

NGEDERE na BUNDI wanasema walishangazwa na Kuona Treni hiyo ya SGR kuganda kwa masaa 4 na nusu bila kuwasha mfumo wa Mafuta na kuendelea na Safari kuelekea Dodoma.
Wala siyo 2 na nusu kama wanavyosena TRC walivyosema jana

Wakitoa Ripoti ya Ukaguzi wa Treni za SGR NGEDERE amewataka Watanzania kujenga tabia ya kuwa wadadisi kama wao na siyo Kukubali kila taarifa zinazotolewa na Serikali.

BUNDI naye aliongeza kwa kusema kuwa Kama tulilipa pesa ya Kununua Treni za Umeme na Mafuta na zikaja hizi ambazo Umeme ukikatika zinaganda kwakuwa hazina mfumo wa Mafuta basi TRC na Mzabuni aliyetuuzia Treni hizi za RGR alirudishe chenji kwa Taifa kabla hatua za Kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.

Mwisho NGEDERE na BUNDI wamewataka Watumishi na Watendaji wa Serikali kuwa makini na kazi zao,kwakuwa ukaguzi huu wa Kushtukiza utaendelea katika miradi mbalimbali ya serikali mikubwa kwa ajili ya kulinda kodi za Watanzania ambao wamezubaa na hawajitambui.
We jamaa unakaribia kuchizika wallah
 
Walilala kwa amani kabisa. Kukiwa hakuna shida yoyote.. Wakajua wakiamka wataendelea na mishe zao za maisha ya kila siku mpaka pale watakapokufa
Kwa vile wanajua wazi upendeleo uliopo kwenye mashauri mbali mbali wamekuwa makini sana kutojihusisha na jinai yoyote ile

Lakini bila kutegemea wameamka wakiwa wameangushiwa jumba bovu sasa wanatafutwa wakajibu mashtaka yanayowakabili.. Kwa kihoro cha kupelekwa mbele ya pilato asiye na ukweli wote wamekimbia wamejificha kusikojulikana wakiziacha familia zao zinateseka na kiu mawazo na njaaView attachment 3057546View attachment 3057547
Ila picha za AI zinafurahisha sana
 
Walilala kwa amani kabisa. Kukiwa hakuna shida yoyote.. Wakajua wakiamka wataendelea na mishe zao za maisha ya kila siku mpaka pale watakapokufa
Kwa vile wanajua wazi upendeleo uliopo kwenye mashauri mbali mbali wamekuwa makini sana kutojihusisha na jinai yoyote ile

Lakini bila kutegemea wameamka wakiwa wameangushiwa jumba bovu sasa wanatafutwa wakajibu mashtaka yanayowakabili.. Kwa kihoro cha kupelekwa mbele ya pilato asiye na ukweli wote wamekimbia wamejificha kusikojulikana wakiziacha familia zao zinateseka na kiu mawazo na njaaView attachment 3057546View attachment 3057547
rafiki ulipotelea wapi?
 
Walilala kwa amani kabisa. Kukiwa hakuna shida yoyote.. Wakajua wakiamka wataendelea na mishe zao za maisha ya kila siku mpaka pale watakapokufa
Kwa vile wanajua wazi upendeleo uliopo kwenye mashauri mbali mbali wamekuwa makini sana kutojihusisha na jinai yoyote ile

Lakini bila kutegemea wameamka wakiwa wameangushiwa jumba bovu sasa wanatafutwa wakajibu mashtaka yanayowakabili.. Kwa kihoro cha kupelekwa mbele ya pilato asiye na ukweli wote wamekimbia wamejificha kusikojulikana wakiziacha familia zao zinateseka na kiu mawazo na njaaView attachment 3057546View attachment 3057547
Aisee we jamaa kiboko🤣
 
NGEDERE NA BUNDI WAOKOA MABILLIONI YA PESA UNUNUZI WA TRENI ZA SGR.

NGEDERE mmoja na BUNDI mmoja jana maeneo ya Kidete wilaya ya Kilosa ndiyo kalisanua TAIFA katika ufisadi ununuzi wa Treni za SGR.

Bila NGEDERE jana kufanya kazi nzuri ya "AUDITING" kwa kushirikiana na Bundi,taifa lingekuwa limetapeliwa na TRC chini ya Mkurugenzi wake Bwana KADOGOSA ambaye alisema Treni hizo zinatumia Umeme na Mafuta.

Lakini katika ukaguzi ukifanywa na NGEDERE na BUNDI kutoka ofisi ya CAG ofisi ndogo za Kidete

Bundi jana majira ya saa 2 kwenda saa 3 usiku, alifanikiwa kukaa Juu ya mti mrefu sana na Kuliona Treni la SGR likiwa linatoka Station ya Kilosa kuja Kidete.

BUNDI aliwasiliana na NGEDERE kwa haraka sana,kwa ajili ya ukaguzi wa kutizama "Value for Money" katika ununuzi wa Treni hizo ambazo Taifa liliambiwa zinatumia Umeme na Mafuta.

NGEDERE alifanikiwa kufyatua Nyaya za umeme pasipo kuharibu miundo mbinu ya TANESCO, na hatimaye umeme ukajizima na kurudi kituo cha kupooza umeme cha Godegode.

NGEDERE na BUNDI wanasema walishangazwa na Kuona Treni hiyo ya SGR kuganda kwa masaa 4 na nusu bila kuwasha mfumo wa Mafuta na kuendelea na Safari kuelekea Dodoma.
Wala siyo 2 na nusu kama wanavyosena TRC walivyosema jana

Wakitoa Ripoti ya Ukaguzi wa Treni za SGR NGEDERE amewataka Watanzania kujenga tabia ya kuwa wadadisi kama wao na siyo Kukubali kila taarifa zinazotolewa na Serikali.

BUNDI naye aliongeza kwa kusema kuwa Kama tulilipa pesa ya Kununua Treni za Umeme na Mafuta na zikaja hizi ambazo Umeme ukikatika zinaganda kwakuwa hazina mfumo wa Mafuta basi TRC na Mzabuni aliyetuuzia Treni hizi za RGR alirudishe chenji kwa Taifa kabla hatua za Kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.

Mwisho NGEDERE na BUNDI wamewataka Watumishi na Watendaji wa Serikali kuwa makini na kazi zao,kwakuwa ukaguzi huu wa Kushtukiza utaendelea katika miradi mbalimbali ya serikali mikubwa kwa ajili ya kulinda kodi za Watanzania ambao wamezubaa na hawajitambui.
Umeelezea vema ila umehitimisha vibaya kwa kuwananga Watanzania🥺
 
fungua code kaka, we dare to talk openly.
NGEDERE NA BUNDI WAOKOA MABILLIONI YA PESA UNUNUZI WA TRENI ZA SGR.

NGEDERE mmoja na BUNDI mmoja jana maeneo ya Kidete wilaya ya Kilosa ndiyo kalisanua TAIFA katika ufisadi ununuzi wa Treni za SGR.

Bila NGEDERE jana kufanya kazi nzuri ya "AUDITING" kwa kushirikiana na Bundi,taifa lingekuwa limetapeliwa na TRC chini ya Mkurugenzi wake Bwana KADOGOSA ambaye alisema Treni hizo zinatumia Umeme na Mafuta.

Lakini katika ukaguzi ukifanywa na NGEDERE na BUNDI kutoka ofisi ya CAG ofisi ndogo za Kidete

Bundi jana majira ya saa 2 kwenda saa 3 usiku, alifanikiwa kukaa Juu ya mti mrefu sana na Kuliona Treni la SGR likiwa linatoka Station ya Kilosa kuja Kidete.

BUNDI aliwasiliana na NGEDERE kwa haraka sana,kwa ajili ya ukaguzi wa kutizama "Value for Money" katika ununuzi wa Treni hizo ambazo Taifa liliambiwa zinatumia Umeme na Mafuta.

NGEDERE alifanikiwa kufyatua Nyaya za umeme pasipo kuharibu miundo mbinu ya TANESCO, na hatimaye umeme ukajizima na kurudi kituo cha kupooza umeme cha Godegode.

NGEDERE na BUNDI wanasema walishangazwa na Kuona Treni hiyo ya SGR kuganda kwa masaa 4 na nusu bila kuwasha mfumo wa Mafuta na kuendelea na Safari kuelekea Dodoma.
Wala siyo 2 na nusu kama wanavyosena TRC walivyosema jana

Wakitoa Ripoti ya Ukaguzi wa Treni za SGR NGEDERE amewataka Watanzania kujenga tabia ya kuwa wadadisi kama wao na siyo Kukubali kila taarifa zinazotolewa na Serikali.

BUNDI naye aliongeza kwa kusema kuwa Kama tulilipa pesa ya Kununua Treni za Umeme na Mafuta na zikaja hizi ambazo Umeme ukikatika zinaganda kwakuwa hazina mfumo wa Mafuta basi TRC na Mzabuni aliyetuuzia Treni hizi za RGR alirudishe chenji kwa Taifa kabla hatua za Kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.

Mwisho NGEDERE na BUNDI wamewataka Watumishi na Watendaji wa Serikali kuwa makini na kazi zao,kwakuwa ukaguzi huu wa Kushtukiza utaendelea katika miradi mbalimbali ya serikali mikubwa kwa ajili ya kulinda kodi za Watanzania ambao wamezubaa na hawajitambui.View attachment 3057560
Wanasingiziwa sana

We jamaa unakaribia kuchizika wallah
😂😂😂😂
 
NGEDERE NA BUNDI WAOKOA MABILLIONI YA PESA UNUNUZI WA TRENI ZA SGR.

NGEDERE mmoja na BUNDI mmoja jana maeneo ya Kidete wilaya ya Kilosa ndiyo kalisanua TAIFA katika ufisadi ununuzi wa Treni za SGR.

Bila NGEDERE jana kufanya kazi nzuri ya "AUDITING" kwa kushirikiana na Bundi,taifa lingekuwa limetapeliwa na TRC chini ya Mkurugenzi wake Bwana KADOGOSA ambaye alisema Treni hizo zinatumia Umeme na Mafuta.

Lakini katika ukaguzi ukifanywa na NGEDERE na BUNDI kutoka ofisi ya CAG ofisi ndogo za Kidete

Bundi jana majira ya saa 2 kwenda saa 3 usiku, alifanikiwa kukaa Juu ya mti mrefu sana na Kuliona Treni la SGR likiwa linatoka Station ya Kilosa kuja Kidete.

BUNDI aliwasiliana na NGEDERE kwa haraka sana,kwa ajili ya ukaguzi wa kutizama "Value for Money" katika ununuzi wa Treni hizo ambazo Taifa liliambiwa zinatumia Umeme na Mafuta.

NGEDERE alifanikiwa kufyatua Nyaya za umeme pasipo kuharibu miundo mbinu ya TANESCO, na hatimaye umeme ukajizima na kurudi kituo cha kupooza umeme cha Godegode.

NGEDERE na BUNDI wanasema walishangazwa na Kuona Treni hiyo ya SGR kuganda kwa masaa 4 na nusu bila kuwasha mfumo wa Mafuta na kuendelea na Safari kuelekea Dodoma.
Wala siyo 2 na nusu kama wanavyosena TRC walivyosema jana

Wakitoa Ripoti ya Ukaguzi wa Treni za SGR NGEDERE amewataka Watanzania kujenga tabia ya kuwa wadadisi kama wao na siyo Kukubali kila taarifa zinazotolewa na Serikali.

BUNDI naye aliongeza kwa kusema kuwa Kama tulilipa pesa ya Kununua Treni za Umeme na Mafuta na zikaja hizi ambazo Umeme ukikatika zinaganda kwakuwa hazina mfumo wa Mafuta basi TRC na Mzabuni aliyetuuzia Treni hizi za RGR alirudishe chenji kwa Taifa kabla hatua za Kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.

Mwisho NGEDERE na BUNDI wamewataka Watumishi na Watendaji wa Serikali kuwa makini na kazi zao,kwakuwa ukaguzi huu wa Kushtukiza utaendelea katika miradi mbalimbali ya serikali mikubwa kwa ajili ya kulinda kodi za Watanzania ambao wamezubaa na hawajitambui.View attachment 3057560



😂😂😂😂
Hii habari/makala ulipaswa umpe credit Boniface Jacob aliyeandika
 
fungua code kaka, we dare to talk openly.
NGEDERE NA BUNDI WAOKOA MABILLIONI YA PESA UNUNUZI WA TRENI ZA SGR.

NGEDERE mmoja na BUNDI mmoja jana maeneo ya Kidete wilaya ya Kilosa ndiyo kalisanua TAIFA katika ufisadi ununuzi wa Treni za SGR.

Bila NGEDERE jana kufanya kazi nzuri ya "AUDITING" kwa kushirikiana na Bundi,taifa lingekuwa limetapeliwa na TRC chini ya Mkurugenzi wake Bwana KADOGOSA ambaye alisema Treni hizo zinatumia Umeme na Mafuta.

Lakini katika ukaguzi ukifanywa na NGEDERE na BUNDI kutoka ofisi ya CAG ofisi ndogo za Kidete

Bundi jana majira ya saa 2 kwenda saa 3 usiku, alifanikiwa kukaa Juu ya mti mrefu sana na Kuliona Treni la SGR likiwa linatoka Station ya Kilosa kuja Kidete.

BUNDI aliwasiliana na NGEDERE kwa haraka sana,kwa ajili ya ukaguzi wa kutizama "Value for Money" katika ununuzi wa Treni hizo ambazo Taifa liliambiwa zinatumia Umeme na Mafuta.

NGEDERE alifanikiwa kufyatua Nyaya za umeme pasipo kuharibu miundo mbinu ya TANESCO, na hatimaye umeme ukajizima na kurudi kituo cha kupooza umeme cha Godegode.

NGEDERE na BUNDI wanasema walishangazwa na Kuona Treni hiyo ya SGR kuganda kwa masaa 4 na nusu bila kuwasha mfumo wa Mafuta na kuendelea na Safari kuelekea Dodoma.
Wala siyo 2 na nusu kama wanavyosena TRC walivyosema jana

Wakitoa Ripoti ya Ukaguzi wa Treni za SGR NGEDERE amewataka Watanzania kujenga tabia ya kuwa wadadisi kama wao na siyo Kukubali kila taarifa zinazotolewa na Serikali.

BUNDI naye aliongeza kwa kusema kuwa Kama tulilipa pesa ya Kununua Treni za Umeme na Mafuta na zikaja hizi ambazo Umeme ukikatika zinaganda kwakuwa hazina mfumo wa Mafuta basi TRC na Mzabuni aliyetuuzia Treni hizi za RGR alirudishe chenji kwa Taifa kabla hatua za Kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.

Mwisho NGEDERE na BUNDI wamewataka Watumishi na Watendaji wa Serikali kuwa makini na kazi zao,kwakuwa ukaguzi huu wa Kushtukiza utaendelea katika miradi mbalimbali ya serikali mikubwa kwa ajili ya kulinda kodi za Watanzania ambao wamezubaa na hawajitambui.View attachment 3057560
Wanasingiziwa sana

We jamaa unakaribia kuchizika wallah
😂😂😂😂
Umeelezea vema ila umehitimisha vibaya kwa kuwananga Watanzania🥺
CC: Mayor mstaafu
 
fungua code kaka, we dare to talk openly.
NGEDERE NA BUNDI WAOKOA MABILLIONI YA PESA UNUNUZI WA TRENI ZA SGR.

NGEDERE mmoja na BUNDI mmoja jana maeneo ya Kidete wilaya ya Kilosa ndiyo kalisanua TAIFA katika ufisadi ununuzi wa Treni za SGR.

Bila NGEDERE jana kufanya kazi nzuri ya "AUDITING" kwa kushirikiana na Bundi,taifa lingekuwa limetapeliwa na TRC chini ya Mkurugenzi wake Bwana KADOGOSA ambaye alisema Treni hizo zinatumia Umeme na Mafuta.

Lakini katika ukaguzi ukifanywa na NGEDERE na BUNDI kutoka ofisi ya CAG ofisi ndogo za Kidete

Bundi jana majira ya saa 2 kwenda saa 3 usiku, alifanikiwa kukaa Juu ya mti mrefu sana na Kuliona Treni la SGR likiwa linatoka Station ya Kilosa kuja Kidete.

BUNDI aliwasiliana na NGEDERE kwa haraka sana,kwa ajili ya ukaguzi wa kutizama "Value for Money" katika ununuzi wa Treni hizo ambazo Taifa liliambiwa zinatumia Umeme na Mafuta.

NGEDERE alifanikiwa kufyatua Nyaya za umeme pasipo kuharibu miundo mbinu ya TANESCO, na hatimaye umeme ukajizima na kurudi kituo cha kupooza umeme cha Godegode.

NGEDERE na BUNDI wanasema walishangazwa na Kuona Treni hiyo ya SGR kuganda kwa masaa 4 na nusu bila kuwasha mfumo wa Mafuta na kuendelea na Safari kuelekea Dodoma.
Wala siyo 2 na nusu kama wanavyosena TRC walivyosema jana

Wakitoa Ripoti ya Ukaguzi wa Treni za SGR NGEDERE amewataka Watanzania kujenga tabia ya kuwa wadadisi kama wao na siyo Kukubali kila taarifa zinazotolewa na Serikali.

BUNDI naye aliongeza kwa kusema kuwa Kama tulilipa pesa ya Kununua Treni za Umeme na Mafuta na zikaja hizi ambazo Umeme ukikatika zinaganda kwakuwa hazina mfumo wa Mafuta basi TRC na Mzabuni aliyetuuzia Treni hizi za RGR alirudishe chenji kwa Taifa kabla hatua za Kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.

Mwisho NGEDERE na BUNDI wamewataka Watumishi na Watendaji wa Serikali kuwa makini na kazi zao,kwakuwa ukaguzi huu wa Kushtukiza utaendelea katika miradi mbalimbali ya serikali mikubwa kwa ajili ya kulinda kodi za Watanzania ambao wamezubaa na hawajitambui.View attachment 3057560
Wanasingiziwa sana

We jamaa unakaribia kuchizika wallah
😂😂😂😂
Umeelezea vema ila umehitimisha vibaya kwa kuwananga Watanzania🥺
CC: Mayor mstaafu
 
Hongera yao Ngedele na Bundi.
Hatutaki maelezo tunataka treni walizosema.

Hata kipindi cha ununuzu wa mabasi ya mwendo kasi waliwaonya. Waliwaambia kuwa hayo mabasi kampuni ya dragon ni mabovu.
Wakasema si mabovu .
Wakadai China wanafanya ku assemble , bali injini yake inatoka ujerumani.

Sasa zamu ya treni ya mwendo kasi.
 
fungua code kaka, we dare to talk openly.
NGEDERE NA BUNDI WAOKOA MABILLIONI YA PESA UNUNUZI WA TRENI ZA SGR.

NGEDERE mmoja na BUNDI mmoja jana maeneo ya Kidete wilaya ya Kilosa ndiyo kalisanua TAIFA katika ufisadi ununuzi wa Treni za SGR.

Bila NGEDERE jana kufanya kazi nzuri ya "AUDITING" kwa kushirikiana na Bundi,taifa lingekuwa limetapeliwa na TRC chini ya Mkurugenzi wake Bwana KADOGOSA ambaye alisema Treni hizo zinatumia Umeme na Mafuta.

Lakini katika ukaguzi ukifanywa na NGEDERE na BUNDI kutoka ofisi ya CAG ofisi ndogo za Kidete

Bundi jana majira ya saa 2 kwenda saa 3 usiku, alifanikiwa kukaa Juu ya mti mrefu sana na Kuliona Treni la SGR likiwa linatoka Station ya Kilosa kuja Kidete.

BUNDI aliwasiliana na NGEDERE kwa haraka sana,kwa ajili ya ukaguzi wa kutizama "Value for Money" katika ununuzi wa Treni hizo ambazo Taifa liliambiwa zinatumia Umeme na Mafuta.

NGEDERE alifanikiwa kufyatua Nyaya za umeme pasipo kuharibu miundo mbinu ya TANESCO, na hatimaye umeme ukajizima na kurudi kituo cha kupooza umeme cha Godegode.

NGEDERE na BUNDI wanasema walishangazwa na Kuona Treni hiyo ya SGR kuganda kwa masaa 4 na nusu bila kuwasha mfumo wa Mafuta na kuendelea na Safari kuelekea Dodoma.
Wala siyo 2 na nusu kama wanavyosena TRC walivyosema jana

Wakitoa Ripoti ya Ukaguzi wa Treni za SGR NGEDERE amewataka Watanzania kujenga tabia ya kuwa wadadisi kama wao na siyo Kukubali kila taarifa zinazotolewa na Serikali.

BUNDI naye aliongeza kwa kusema kuwa Kama tulilipa pesa ya Kununua Treni za Umeme na Mafuta na zikaja hizi ambazo Umeme ukikatika zinaganda kwakuwa hazina mfumo wa Mafuta basi TRC na Mzabuni aliyetuuzia Treni hizi za RGR alirudishe chenji kwa Taifa kabla hatua za Kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.

Mwisho NGEDERE na BUNDI wamewataka Watumishi na Watendaji wa Serikali kuwa makini na kazi zao,kwakuwa ukaguzi huu wa Kushtukiza utaendelea katika miradi mbalimbali ya serikali mikubwa kwa ajili ya kulinda kodi za Watanzania ambao wamezubaa na hawajitambui.View attachment 3057560
Wanasingiziwa sana

We jamaa unakaribia kuchizika wallah
😂😂😂😂
Umeelezea vema ila umehitimisha vibaya kwa kuwananga Watanzania🥺
CC: Mayor mstaafu
Hongera yao Ngedele na Bundi.
Hatutaki maelezo tunataka treni walizosema.

Hata kipindi cha ununuzu wa mabasi ya mwendo kasi waliwaonya. Waliwaambia kuwa hayo mabasi kampuni ya dragon ni mabovu.
Wakasema si mabovu .
Wakadai China wanafanya ku assemble , bali injini yake inatoka ujerumani.

Sasa zamu ya treni ya mwendo kasi.
IMG-20240731-WA0045.jpg
 
fungua code kaka, we dare to talk openly.
NGEDERE NA BUNDI WAOKOA MABILLIONI YA PESA UNUNUZI WA TRENI ZA SGR.

NGEDERE mmoja na BUNDI mmoja jana maeneo ya Kidete wilaya ya Kilosa ndiyo kalisanua TAIFA katika ufisadi ununuzi wa Treni za SGR.

Bila NGEDERE jana kufanya kazi nzuri ya "AUDITING" kwa kushirikiana na Bundi,taifa lingekuwa limetapeliwa na TRC chini ya Mkurugenzi wake Bwana KADOGOSA ambaye alisema Treni hizo zinatumia Umeme na Mafuta.

Lakini katika ukaguzi ukifanywa na NGEDERE na BUNDI kutoka ofisi ya CAG ofisi ndogo za Kidete

Bundi jana majira ya saa 2 kwenda saa 3 usiku, alifanikiwa kukaa Juu ya mti mrefu sana na Kuliona Treni la SGR likiwa linatoka Station ya Kilosa kuja Kidete.

BUNDI aliwasiliana na NGEDERE kwa haraka sana,kwa ajili ya ukaguzi wa kutizama "Value for Money" katika ununuzi wa Treni hizo ambazo Taifa liliambiwa zinatumia Umeme na Mafuta.

NGEDERE alifanikiwa kufyatua Nyaya za umeme pasipo kuharibu miundo mbinu ya TANESCO, na hatimaye umeme ukajizima na kurudi kituo cha kupooza umeme cha Godegode.

NGEDERE na BUNDI wanasema walishangazwa na Kuona Treni hiyo ya SGR kuganda kwa masaa 4 na nusu bila kuwasha mfumo wa Mafuta na kuendelea na Safari kuelekea Dodoma.
Wala siyo 2 na nusu kama wanavyosena TRC walivyosema jana

Wakitoa Ripoti ya Ukaguzi wa Treni za SGR NGEDERE amewataka Watanzania kujenga tabia ya kuwa wadadisi kama wao na siyo Kukubali kila taarifa zinazotolewa na Serikali.

BUNDI naye aliongeza kwa kusema kuwa Kama tulilipa pesa ya Kununua Treni za Umeme na Mafuta na zikaja hizi ambazo Umeme ukikatika zinaganda kwakuwa hazina mfumo wa Mafuta basi TRC na Mzabuni aliyetuuzia Treni hizi za RGR alirudishe chenji kwa Taifa kabla hatua za Kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.

Mwisho NGEDERE na BUNDI wamewataka Watumishi na Watendaji wa Serikali kuwa makini na kazi zao,kwakuwa ukaguzi huu wa Kushtukiza utaendelea katika miradi mbalimbali ya serikali mikubwa kwa ajili ya kulinda kodi za Watanzania ambao wamezubaa na hawajitambui.View attachment 3057560
Wanasingiziwa sana

We jamaa unakaribia kuchizika wallah
😂😂😂😂
Umeelezea vema ila umehitimisha vibaya kwa kuwananga Watanzania🥺
CC: Mayor mstaafu
Hongera yao Ngedele na Bundi.
Hatutaki maelezo tunataka treni walizosema.

Hata kipindi cha ununuzu wa mabasi ya mwendo kasi waliwaonya. Waliwaambia kuwa hayo mabasi kampuni ya dragon ni mabovu.
Wakasema si mabovu .
Wakadai China wanafanya ku assemble , bali injini yake inatoka ujerumani.

Sasa zamu ya treni ya mwendo kasi.
View attachment 3057684
 
fungua code kaka, we dare to talk openly.
NGEDERE NA BUNDI WAOKOA MABILLIONI YA PESA UNUNUZI WA TRENI ZA SGR.

NGEDERE mmoja na BUNDI mmoja jana maeneo ya Kidete wilaya ya Kilosa ndiyo kalisanua TAIFA katika ufisadi ununuzi wa Treni za SGR.

Bila NGEDERE jana kufanya kazi nzuri ya "AUDITING" kwa kushirikiana na Bundi,taifa lingekuwa limetapeliwa na TRC chini ya Mkurugenzi wake Bwana KADOGOSA ambaye alisema Treni hizo zinatumia Umeme na Mafuta.

Lakini katika ukaguzi ukifanywa na NGEDERE na BUNDI kutoka ofisi ya CAG ofisi ndogo za Kidete

Bundi jana majira ya saa 2 kwenda saa 3 usiku, alifanikiwa kukaa Juu ya mti mrefu sana na Kuliona Treni la SGR likiwa linatoka Station ya Kilosa kuja Kidete.

BUNDI aliwasiliana na NGEDERE kwa haraka sana,kwa ajili ya ukaguzi wa kutizama "Value for Money" katika ununuzi wa Treni hizo ambazo Taifa liliambiwa zinatumia Umeme na Mafuta.

NGEDERE alifanikiwa kufyatua Nyaya za umeme pasipo kuharibu miundo mbinu ya TANESCO, na hatimaye umeme ukajizima na kurudi kituo cha kupooza umeme cha Godegode.

NGEDERE na BUNDI wanasema walishangazwa na Kuona Treni hiyo ya SGR kuganda kwa masaa 4 na nusu bila kuwasha mfumo wa Mafuta na kuendelea na Safari kuelekea Dodoma.
Wala siyo 2 na nusu kama wanavyosena TRC walivyosema jana

Wakitoa Ripoti ya Ukaguzi wa Treni za SGR NGEDERE amewataka Watanzania kujenga tabia ya kuwa wadadisi kama wao na siyo Kukubali kila taarifa zinazotolewa na Serikali.

BUNDI naye aliongeza kwa kusema kuwa Kama tulilipa pesa ya Kununua Treni za Umeme na Mafuta na zikaja hizi ambazo Umeme ukikatika zinaganda kwakuwa hazina mfumo wa Mafuta basi TRC na Mzabuni aliyetuuzia Treni hizi za RGR alirudishe chenji kwa Taifa kabla hatua za Kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.

Mwisho NGEDERE na BUNDI wamewataka Watumishi na Watendaji wa Serikali kuwa makini na kazi zao,kwakuwa ukaguzi huu wa Kushtukiza utaendelea katika miradi mbalimbali ya serikali mikubwa kwa ajili ya kulinda kodi za Watanzania ambao wamezubaa na hawajitambui.View attachment 3057560
Wanasingiziwa sana

We jamaa unakaribia kuchizika wallah
😂😂😂😂
Umeelezea vema ila umehitimisha vibaya kwa kuwananga Watanzania🥺
CC: Mayor mstaafu
Hongera yao Ngedele na Bundi.
Hatutaki maelezo tunataka treni walizosema.

Hata kipindi cha ununuzu wa mabasi ya mwendo kasi waliwaonya. Waliwaambia kuwa hayo mabasi kampuni ya dragon ni mabovu.
Wakasema si mabovu .
Wakadai China wanafanya ku assemble , bali injini yake inatoka ujerumani.

Sasa zamu ya treni ya mwendo kasi.
View attachment 3057684
 

Attachments

  • IMG-20240731-WA0068.jpg
    IMG-20240731-WA0068.jpg
    37.8 KB · Views: 4
fungua code kaka, we dare to talk openly.
NGEDERE NA BUNDI WAOKOA MABILLIONI YA PESA UNUNUZI WA TRENI ZA SGR.

NGEDERE mmoja na BUNDI mmoja jana maeneo ya Kidete wilaya ya Kilosa ndiyo kalisanua TAIFA katika ufisadi ununuzi wa Treni za SGR.

Bila NGEDERE jana kufanya kazi nzuri ya "AUDITING" kwa kushirikiana na Bundi,taifa lingekuwa limetapeliwa na TRC chini ya Mkurugenzi wake Bwana KADOGOSA ambaye alisema Treni hizo zinatumia Umeme na Mafuta.

Lakini katika ukaguzi ukifanywa na NGEDERE na BUNDI kutoka ofisi ya CAG ofisi ndogo za Kidete

Bundi jana majira ya saa 2 kwenda saa 3 usiku, alifanikiwa kukaa Juu ya mti mrefu sana na Kuliona Treni la SGR likiwa linatoka Station ya Kilosa kuja Kidete.

BUNDI aliwasiliana na NGEDERE kwa haraka sana,kwa ajili ya ukaguzi wa kutizama "Value for Money" katika ununuzi wa Treni hizo ambazo Taifa liliambiwa zinatumia Umeme na Mafuta.

NGEDERE alifanikiwa kufyatua Nyaya za umeme pasipo kuharibu miundo mbinu ya TANESCO, na hatimaye umeme ukajizima na kurudi kituo cha kupooza umeme cha Godegode.

NGEDERE na BUNDI wanasema walishangazwa na Kuona Treni hiyo ya SGR kuganda kwa masaa 4 na nusu bila kuwasha mfumo wa Mafuta na kuendelea na Safari kuelekea Dodoma.
Wala siyo 2 na nusu kama wanavyosena TRC walivyosema jana

Wakitoa Ripoti ya Ukaguzi wa Treni za SGR NGEDERE amewataka Watanzania kujenga tabia ya kuwa wadadisi kama wao na siyo Kukubali kila taarifa zinazotolewa na Serikali.

BUNDI naye aliongeza kwa kusema kuwa Kama tulilipa pesa ya Kununua Treni za Umeme na Mafuta na zikaja hizi ambazo Umeme ukikatika zinaganda kwakuwa hazina mfumo wa Mafuta basi TRC na Mzabuni aliyetuuzia Treni hizi za RGR alirudishe chenji kwa Taifa kabla hatua za Kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.

Mwisho NGEDERE na BUNDI wamewataka Watumishi na Watendaji wa Serikali kuwa makini na kazi zao,kwakuwa ukaguzi huu wa Kushtukiza utaendelea katika miradi mbalimbali ya serikali mikubwa kwa ajili ya kulinda kodi za Watanzania ambao wamezubaa na hawajitambui.View attachment 3057560
Wanasingiziwa sana

We jamaa unakaribia kuchizika wallah
😂😂😂😂
Umeelezea vema ila umehitimisha vibaya kwa kuwananga Watanzania🥺
CC: Mayor mstaafu
Hongera yao Ngedele na Bundi.
Hatutaki maelezo tunataka treni walizosema.

Hata kipindi cha ununuzu wa mabasi ya mwendo kasi waliwaonya. Waliwaambia kuwa hayo mabasi kampuni ya dragon ni mabovu.
Wakasema si mabovu .
Wakadai China wanafanya ku assemble , bali injini yake inatoka ujerumani.

Sasa zamu ya treni ya mwendo kasi.
View attachment 3057684View attachment 3057685
 
fungua code kaka, we dare to talk openly.
NGEDERE NA BUNDI WAOKOA MABILLIONI YA PESA UNUNUZI WA TRENI ZA SGR.

NGEDERE mmoja na BUNDI mmoja jana maeneo ya Kidete wilaya ya Kilosa ndiyo kalisanua TAIFA katika ufisadi ununuzi wa Treni za SGR.

Bila NGEDERE jana kufanya kazi nzuri ya "AUDITING" kwa kushirikiana na Bundi,taifa lingekuwa limetapeliwa na TRC chini ya Mkurugenzi wake Bwana KADOGOSA ambaye alisema Treni hizo zinatumia Umeme na Mafuta.

Lakini katika ukaguzi ukifanywa na NGEDERE na BUNDI kutoka ofisi ya CAG ofisi ndogo za Kidete

Bundi jana majira ya saa 2 kwenda saa 3 usiku, alifanikiwa kukaa Juu ya mti mrefu sana na Kuliona Treni la SGR likiwa linatoka Station ya Kilosa kuja Kidete.

BUNDI aliwasiliana na NGEDERE kwa haraka sana,kwa ajili ya ukaguzi wa kutizama "Value for Money" katika ununuzi wa Treni hizo ambazo Taifa liliambiwa zinatumia Umeme na Mafuta.

NGEDERE alifanikiwa kufyatua Nyaya za umeme pasipo kuharibu miundo mbinu ya TANESCO, na hatimaye umeme ukajizima na kurudi kituo cha kupooza umeme cha Godegode.

NGEDERE na BUNDI wanasema walishangazwa na Kuona Treni hiyo ya SGR kuganda kwa masaa 4 na nusu bila kuwasha mfumo wa Mafuta na kuendelea na Safari kuelekea Dodoma.
Wala siyo 2 na nusu kama wanavyosena TRC walivyosema jana

Wakitoa Ripoti ya Ukaguzi wa Treni za SGR NGEDERE amewataka Watanzania kujenga tabia ya kuwa wadadisi kama wao na siyo Kukubali kila taarifa zinazotolewa na Serikali.

BUNDI naye aliongeza kwa kusema kuwa Kama tulilipa pesa ya Kununua Treni za Umeme na Mafuta na zikaja hizi ambazo Umeme ukikatika zinaganda kwakuwa hazina mfumo wa Mafuta basi TRC na Mzabuni aliyetuuzia Treni hizi za RGR alirudishe chenji kwa Taifa kabla hatua za Kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.

Mwisho NGEDERE na BUNDI wamewataka Watumishi na Watendaji wa Serikali kuwa makini na kazi zao,kwakuwa ukaguzi huu wa Kushtukiza utaendelea katika miradi mbalimbali ya serikali mikubwa kwa ajili ya kulinda kodi za Watanzania ambao wamezubaa na hawajitambui.View attachment 3057560
Wanasingiziwa sana

We jamaa unakaribia kuchizika wallah
😂😂😂😂
Umeelezea vema ila umehitimisha vibaya kwa kuwananga Watanzania🥺
CC: Mayor mstaafu
Hongera yao Ngedele na Bundi.
Hatutaki maelezo tunataka treni walizosema.

Hata kipindi cha ununuzu wa mabasi ya mwendo kasi waliwaonya. Waliwaambia kuwa hayo mabasi kampuni ya dragon ni mabovu.
Wakasema si mabovu .
Wakadai China wanafanya ku assemble , bali injini yake inatoka ujerumani.

Sasa zamu ya treni ya mwendo kasi.
View attachment 3057684View attachment 3057685
 
fungua code kaka, we dare to talk openly.
NGEDERE NA BUNDI WAOKOA MABILLIONI YA PESA UNUNUZI WA TRENI ZA SGR.

NGEDERE mmoja na BUNDI mmoja jana maeneo ya Kidete wilaya ya Kilosa ndiyo kalisanua TAIFA katika ufisadi ununuzi wa Treni za SGR.

Bila NGEDERE jana kufanya kazi nzuri ya "AUDITING" kwa kushirikiana na Bundi,taifa lingekuwa limetapeliwa na TRC chini ya Mkurugenzi wake Bwana KADOGOSA ambaye alisema Treni hizo zinatumia Umeme na Mafuta.

Lakini katika ukaguzi ukifanywa na NGEDERE na BUNDI kutoka ofisi ya CAG ofisi ndogo za Kidete

Bundi jana majira ya saa 2 kwenda saa 3 usiku, alifanikiwa kukaa Juu ya mti mrefu sana na Kuliona Treni la SGR likiwa linatoka Station ya Kilosa kuja Kidete.

BUNDI aliwasiliana na NGEDERE kwa haraka sana,kwa ajili ya ukaguzi wa kutizama "Value for Money" katika ununuzi wa Treni hizo ambazo Taifa liliambiwa zinatumia Umeme na Mafuta.

NGEDERE alifanikiwa kufyatua Nyaya za umeme pasipo kuharibu miundo mbinu ya TANESCO, na hatimaye umeme ukajizima na kurudi kituo cha kupooza umeme cha Godegode.

NGEDERE na BUNDI wanasema walishangazwa na Kuona Treni hiyo ya SGR kuganda kwa masaa 4 na nusu bila kuwasha mfumo wa Mafuta na kuendelea na Safari kuelekea Dodoma.
Wala siyo 2 na nusu kama wanavyosena TRC walivyosema jana

Wakitoa Ripoti ya Ukaguzi wa Treni za SGR NGEDERE amewataka Watanzania kujenga tabia ya kuwa wadadisi kama wao na siyo Kukubali kila taarifa zinazotolewa na Serikali.

BUNDI naye aliongeza kwa kusema kuwa Kama tulilipa pesa ya Kununua Treni za Umeme na Mafuta na zikaja hizi ambazo Umeme ukikatika zinaganda kwakuwa hazina mfumo wa Mafuta basi TRC na Mzabuni aliyetuuzia Treni hizi za RGR alirudishe chenji kwa Taifa kabla hatua za Kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.

Mwisho NGEDERE na BUNDI wamewataka Watumishi na Watendaji wa Serikali kuwa makini na kazi zao,kwakuwa ukaguzi huu wa Kushtukiza utaendelea katika miradi mbalimbali ya serikali mikubwa kwa ajili ya kulinda kodi za Watanzania ambao wamezubaa na hawajitambui.View attachment 3057560
Wanasingiziwa sana

We jamaa unakaribia kuchizika wallah
😂😂😂😂
Umeelezea vema ila umehitimisha vibaya kwa kuwananga Watanzania🥺
CC: Mayor mstaafu
Hongera yao Ngedele na Bundi.
Hatutaki maelezo tunataka treni walizosema.

Hata kipindi cha ununuzu wa mabasi ya mwendo kasi waliwaonya. Waliwaambia kuwa hayo mabasi kampuni ya dragon ni mabovu.
Wakasema si mabovu .
Wakadai China wanafanya ku assemble , bali injini yake inatoka ujerumani.

Sasa zamu ya treni ya mwendo kasi.
View attachment 3057684View attachment 3057685
Hello Tanzagiza!🥳
HiView attachment 3057713
View attachment 3057713
 

Attachments

  • IMG-20240731-WA0100.jpg
    IMG-20240731-WA0100.jpg
    63.3 KB · Views: 2
  • IMG-20240731-WA0094.jpg
    IMG-20240731-WA0094.jpg
    115 KB · Views: 2
Back
Top Bottom