Wamiliki jengo lililoporomoka Kariakoo wafikishwa Mahakamani Kisutu

Wamiliki jengo lililoporomoka Kariakoo wafikishwa Mahakamani Kisutu

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wafanyabiashara watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashtaka 31 ya kuua bila kukusudia.

Washtakiwa hao ambao wanadaiwa kuwa wamiliki wa jengo lililoanguka mtaa wa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam na kusabanisha vifo vya watu 29, wamefikishwa mahakamani hapo leo Ijumaa Novemba 29, 2024 na kusomewa mashtaka hayo.

1732884285762.png
Waliofikishwa mahakamani hapo ni Leondela Mdete (49), mkazi wa Mbezi Beach, Zenabu Islam (61), mkazi wa Kariakoo na Ashour Awadh Ashour (38), mkazi wa Ilala.

Soma, Pia:
Washtakiwa hao wamesomewa kesi hiyo na mawakili watatu waandamizi wa Serikali – Adolf Lema, Grace Mwanga na Erick Kamala mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Godfrey Mhini.

Kwenye mashtaka hayo, washtakiwa hao wanadaiwa Novemba 16, 2024 katika mtaa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam, isivyo halali, kwa pamoja walishindwa kutimiza majukumu na kusabashisha vifo vya watu 29.
snapinsta.jpg
 
Screenshot 2024-11-29 153508.png
Wafanyabiashara watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashtaka 31 ya kuua bila kukusudia.

Washtakiwa hao ambao wanadaiwa kuwa wamiliki wa jengo lililoanguka mtaa wa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam na kusabanisha vifo vya watu 31 wamefikishwa mahakamani hapo leo Ijumaa Novemba 29, 2024 na kusomewa mashtaka hayo.

Waliofikishwa mahakamani hapo ni Leondela Mdete (49), mkazi wa Mbezi Beach, Zenabu Islam (61), mkazi wa Kariakoo na Ashour Awadh Ashour (38), mkazi wa Ilala.

Washtakiwa hao wamesomewa kesi hiyo na mawakili watatu waandamizi wa Serikali – Adolf Lema, Grace Mwanga na Erick Kamala mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Godfrey Mhini.

Kwenye mashtaka hayo, washtakiwa hao wanadaiwa Novemba 16, 2024 katika mtaa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam, isivyo halali, kwa pamoja walishindwa kutimiza majukumu na kusabashisha vifo vya watu 31.

Chanzo: Mwananchi
 
Wafanyabiashara watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashtaka 31 ya kuua bila kukusudia.

Washtakiwa hao ambao wanadaiwa kuwa wamiliki wa jengo lililoanguka mtaa wa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam na kusabanisha vifo vya watu 31, wamefikishwa mahakamani hapo leo Ijumaa Novemba 29, 2024 na kusomewa mashtaka hayo.

Waliofikishwa mahakamani hapo ni Leondela Mdete (49), mkazi wa Mbezi Beach, Zenabu Islam (61), mkazi wa Kariakoo na Ashour Awadh Ashour (38), mkazi wa Ilala.

Washtakiwa hao wamesomewa kesi hiyo na mawakili watatu waandamizi wa Serikali – Adolf Lema, Grace Mwanga na Erick Kamala mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Godfrey Mhini.

Kwenye mashtaka hayo, washtakiwa hao wanadaiwa Novemba 16, 2024 katika mtaa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam, isivyo halali, kwa pamoja walishindwa kutimiza majukumu na kusabashisha vifo vya watu 31.

Chanzo: Mwananchi
 
Wafanyabiashara watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashtaka 31 ya kuua bila kukusudia.

Washtakiwa hao ambao wanadaiwa kuwa wamiliki wa jengo lililoanguka mtaa wa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam na kusabanisha vifo vya watu 29, wamefikishwa mahakamani hapo leo Ijumaa Novemba 29, 2024 na kusomewa mashtaka hayo.

Waliofikishwa mahakamani hapo ni Leondela Mdete (49), mkazi wa Mbezi Beach, Zenabu Islam (61), mkazi wa Kariakoo na Ashour Awadh Ashour (38), mkazi wa Ilala.

Soma, Pia:
Washtakiwa hao wamesomewa kesi hiyo na mawakili watatu waandamizi wa Serikali – Adolf Lema, Grace Mwanga na Erick Kamala mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Godfrey Mhini.

Kwenye mashtaka hayo, washtakiwa hao wanadaiwa Novemba 16, 2024 katika mtaa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam, isivyo halali, kwa pamoja walishindwa kutimiza majukumu na kusabashisha vifo vya watu 29.
Kobaaz kwa kutoa kafara tu.

Adiosamigo ielewemitaa Malaria 2 Kosugi Jagina

Nyau de adriz
 
Mbona kosa lao halijawekwa wazi ni nini? Walishindwa kutimiza wajibu wao kivipi?
Kwanini washtakiwe kuua bila kukusudia? Kwamba mmiliki wa jengo likiporomoka anashtakiwa?

Bado hakuna sababu za msingi za kuwatia hatiani, labda ndio ule utaratibu wetu wa kushikiliwa wakati upelelezi unaendelea.
 
Mbona kosa lao halijawekwa wazi ni nini? Walishindwa kutimiza wajibu wao kivipi?
Kwanini washtakiwe kuua bila kukusudia? Kwamba mmiliki wa jengo likiporomoka anashtakiwa?

Bado hakuna sababu za msingi za kuwatia hatiani, labda ndio ule utaratibu wetu wa kushikiliwa wakati upelelezi unaendelea.
Kama ni wamiliki tu hapo sio poa.
Maana kuna mkandarasi na kuna waliotoa vibali
 
Maelezo hayo ni kesi nyepesi sana kwao, hatuna uzoefu na sheria lakini ukiyasikiliza unaona kabisa ni kesi itakayo kuwa na hukumu isiyo lingana na athari zilizopatikana.
 
Usihusishe na dini
Jiheshimi japo kidogo
Hahaha napendaga sana kuwachokozaga hawa ndugu zangu jamvi linachangamka kichiz. ITR incharge wananimind kichiz haki ya nani wakinijua wanawaweza nichinja tatizo nikiwatag siku hizi hawanijibu wananipotezea basi naumiaa kichiz. THE BIG SHOW ananiogopaga kahtaan ndo usiseme hadi kasusa jamvi.

Nyau de adriz
 
Wafanyabiashara watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashtaka 31 ya kuua bila kukusudia.

Washtakiwa hao ambao wanadaiwa kuwa wamiliki wa jengo lililoanguka mtaa wa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam na kusabanisha vifo vya watu 29, wamefikishwa mahakamani hapo leo Ijumaa Novemba 29, 2024 na kusomewa mashtaka hayo.

Waliofikishwa mahakamani hapo ni Leondela Mdete (49), mkazi wa Mbezi Beach, Zenabu Islam (61), mkazi wa Kariakoo na Ashour Awadh Ashour (38), mkazi wa Ilala.

Soma, Pia:
Washtakiwa hao wamesomewa kesi hiyo na mawakili watatu waandamizi wa Serikali – Adolf Lema, Grace Mwanga na Erick Kamala mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Godfrey Mhini.

Kwenye mashtaka hayo, washtakiwa hao wanadaiwa Novemba 16, 2024 katika mtaa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam, isivyo halali, kwa pamoja walishindwa kutimiza majukumu na kusabashisha vifo vya watu 29.
Drama ata work
 
Back
Top Bottom