Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeh the trouble Maker himself
Nyie ndio mmetoa kafara Yesu acha kutusingizia sisi watu wema
Huogopi jambia
Hamna kitu hapo hayo ni maigizo matupu!!!Wafanyabiashara watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashtaka 31 ya kuua bila kukusudia.
Washtakiwa hao ambao wanadaiwa kuwa wamiliki wa jengo lililoanguka mtaa wa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam na kusabanisha vifo vya watu 31 wamefikishwa mahakamani hapo leo Ijumaa Novemba 29, 2024 na kusomewa mashtaka hayo.
Waliofikishwa mahakamani hapo ni Leondela Mdete (49), mkazi wa Mbezi Beach, Zenabu Islam (61), mkazi wa Kariakoo na Ashour Awadh Ashour (38), mkazi wa Ilala.
Washtakiwa hao wamesomewa kesi hiyo na mawakili watatu waandamizi wa Serikali – Adolf Lema, Grace Mwanga na Erick Kamala mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Godfrey Mhini.
Kwenye mashtaka hayo, washtakiwa hao wanadaiwa Novemba 16, 2024 katika mtaa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam, isivyo halali, kwa pamoja walishindwa kutimiza majukumu na kusabashisha vifo vya watu 31.
Chanzo: Mwananchi
Siamini kama hawa ndio wamiliki wa Jengo. Labda hawa ndio mafundi (contractors)Wafanyabiashara watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashtaka 31 ya kuua bila kukusudia.
Washtakiwa hao ambao wanadaiwa kuwa wamiliki wa jengo lililoanguka mtaa wa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam na kusabanisha vifo vya watu 29, wamefikishwa mahakamani hapo leo Ijumaa Novemba 29, 2024 na kusomewa mashtaka hayo.
Waliofikishwa mahakamani hapo ni Leondela Mdete (49), mkazi wa Mbezi Beach, Zenabu Islam (61), mkazi wa Kariakoo na Ashour Awadh Ashour (38), mkazi wa Ilala.
Soma, Pia:
Washtakiwa hao wamesomewa kesi hiyo na mawakili watatu waandamizi wa Serikali – Adolf Lema, Grace Mwanga na Erick Kamala mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Godfrey Mhini.
- Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 leo Nov 22, 2024
- Vifo Kariakoo vyafikia 29, zoezi la uokoaji lafikia tamati
Kwenye mashtaka hayo, washtakiwa hao wanadaiwa Novemba 16, 2024 katika mtaa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam, isivyo halali, kwa pamoja walishindwa kutimiza majukumu na kusabashisha vifo vya watu 29.
Drama wapi ww. Uliza kama wamepewa dhamana!!??Drama tu.
Mawakili wa serekali pamoja na polisi sio wajinga hujui kwamba majengo ya mjini yana tittle deedSiamini kama hawa ndio wamiliki wa Jengo. Labda hawa ndio mafundi (contractors)
Mtu mzima kama ww unakuwa limbukeni,
Kwahiyo kesi yao hapo ni ipi, naomba elimu kidogo. Ninachojua mimi ni ajali kama ya Hanang tuWafanyabiashara watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashtaka 31 ya kuua bila kukusudia.
Washtakiwa hao ambao wanadaiwa kuwa wamiliki wa jengo lililoanguka mtaa wa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam na kusabanisha vifo vya watu 29, wamefikishwa mahakamani hapo leo Ijumaa Novemba 29, 2024 na kusomewa mashtaka hayo.
Waliofikishwa mahakamani hapo ni Leondela Mdete (49), mkazi wa Mbezi Beach, Zenabu Islam (61), mkazi wa Kariakoo na Ashour Awadh Ashour (38), mkazi wa Ilala.
Soma, Pia:
Washtakiwa hao wamesomewa kesi hiyo na mawakili watatu waandamizi wa Serikali – Adolf Lema, Grace Mwanga na Erick Kamala mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Godfrey Mhini.
- Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 leo Nov 22, 2024
- Vifo Kariakoo vyafikia 29, zoezi la uokoaji lafikia tamati
Kwenye mashtaka hayo, washtakiwa hao wanadaiwa Novemba 16, 2024 katika mtaa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam, isivyo halali, kwa pamoja walishindwa kutimiza majukumu na kusabashisha vifo vya watu 29.
We mfuasi wa mkosa nyumba hivi bado mnajitoa Kafara ya Kubatizwa kanisani. Hebu tazama bibilia yenu inasema nini
Ulaya huko ila nchi zetu hizi utakuta sura zile zile si umesikia huko aliyekula taqo la yule dogo kashinda kesiJela haina mwenyewe
Yuko wapi:Wafanyabiashara watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashtaka 31 ya kuua bila kukusudia.
Washtakiwa hao ambao wanadaiwa kuwa wamiliki wa jengo lililoanguka mtaa wa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam na kusabanisha vifo vya watu 29, wamefikishwa mahakamani hapo leo Ijumaa Novemba 29, 2024 na kusomewa mashtaka hayo.
Waliofikishwa mahakamani hapo ni Leondela Mdete (49), mkazi wa Mbezi Beach, Zenabu Islam (61), mkazi wa Kariakoo na Ashour Awadh Ashour (38), mkazi wa Ilala.
Soma, Pia:
Washtakiwa hao wamesomewa kesi hiyo na mawakili watatu waandamizi wa Serikali – Adolf Lema, Grace Mwanga na Erick Kamala mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Godfrey Mhini.
- Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 leo Nov 22, 2024
- Vifo Kariakoo vyafikia 29, zoezi la uokoaji lafikia tamati
Kwenye mashtaka hayo, washtakiwa hao wanadaiwa Novemba 16, 2024 katika mtaa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam, isivyo halali, kwa pamoja walishindwa kutimiza majukumu na kusabashisha vifo vya watu 29.
Kwa hiyo huyo wa kamba ya mbuzi shingoni,pia katoa kafara.Hahaha napendaga sana kuwachokozaga hawa ndugu zangu jamvi linachangamka kichiz. ITR incharge wananimind kichiz haki ya nani wakinijua wanawaweza nichinja tatizo nikiwatag siku hizi hawanijibu wananipotezea basi naumiaa kichiz. THE BIG SHOW ananiogopaga kahtaan ndo usiseme hadi kasusa jamvi.
Nyau de adriz
Hahaha napendaga sana kuwachokozaga hawa ndugu zangu jamvi linachangamka kichiz. ITR incharge wananimind kichiz haki ya nani wakinijua wanawaweza nichinja tatizo nikiwatag siku hizi hawanijibu wananipotezea basi naumiaa kichiz. THE BIG SHOW ananiogopaga kahtaan ndo usiseme hadi kasusa jamvi.
Nyau de adriz
Kwa hiyo huyo.mvaa kamba ya mbuzi shingoni,pia katoa kafara.
Wenye jengo na watoa Kibali cha ujenzi walitakiwa wakae 10 yrs bila dhamana kwanza ili kidooooogo kupata akili ............Waliotoa vibali ya kujenga sehemu inayotitia wakamatwe
Watu wa mpango mji wakamatwe
Wahandishi wakamatwe
Watu wa uokoaji wakamatwe
Ndo nitaona haki
Huyo mbunge kaawaimbia waende ili kuzuga wadanganyika ,kabla ya Xmas wako hurumbona yule mbunge wa mbogamboga simuoni hapa kwa watuhumiwa? aisee laana hizi sijui mpaka lini