Wamiliki jengo lililoporomoka Kariakoo wafikishwa Mahakamani Kisutu

Wamiliki jengo lililoporomoka Kariakoo wafikishwa Mahakamani Kisutu

Wafanyabiashara watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashtaka 31 ya kuua bila kukusudia.

Washtakiwa hao ambao wanadaiwa kuwa wamiliki wa jengo lililoanguka mtaa wa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam na kusabanisha vifo vya watu 31 wamefikishwa mahakamani hapo leo Ijumaa Novemba 29, 2024 na kusomewa mashtaka hayo.

Waliofikishwa mahakamani hapo ni Leondela Mdete (49), mkazi wa Mbezi Beach, Zenabu Islam (61), mkazi wa Kariakoo na Ashour Awadh Ashour (38), mkazi wa Ilala.

Washtakiwa hao wamesomewa kesi hiyo na mawakili watatu waandamizi wa Serikali – Adolf Lema, Grace Mwanga na Erick Kamala mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Godfrey Mhini.

Kwenye mashtaka hayo, washtakiwa hao wanadaiwa Novemba 16, 2024 katika mtaa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam, isivyo halali, kwa pamoja walishindwa kutimiza majukumu na kusabashisha vifo vya watu 31.

Chanzo: Mwananchi
Hamna kitu hapo hayo ni maigizo matupu!!!

Riport ya kuunguansoko la Kariakoo ipo wapi???
 
Wafanyabiashara watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashtaka 31 ya kuua bila kukusudia.

Washtakiwa hao ambao wanadaiwa kuwa wamiliki wa jengo lililoanguka mtaa wa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam na kusabanisha vifo vya watu 29, wamefikishwa mahakamani hapo leo Ijumaa Novemba 29, 2024 na kusomewa mashtaka hayo.

Waliofikishwa mahakamani hapo ni Leondela Mdete (49), mkazi wa Mbezi Beach, Zenabu Islam (61), mkazi wa Kariakoo na Ashour Awadh Ashour (38), mkazi wa Ilala.

Soma, Pia:
Washtakiwa hao wamesomewa kesi hiyo na mawakili watatu waandamizi wa Serikali – Adolf Lema, Grace Mwanga na Erick Kamala mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Godfrey Mhini.

Kwenye mashtaka hayo, washtakiwa hao wanadaiwa Novemba 16, 2024 katika mtaa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam, isivyo halali, kwa pamoja walishindwa kutimiza majukumu na kusabashisha vifo vya watu 29.
Siamini kama hawa ndio wamiliki wa Jengo. Labda hawa ndio mafundi (contractors)
 
Kuna wapuuzi wamesema mkinga mmoja ndo ana miliki kawatoa wenzie kafara. Nyie nyie lukolo
 
Wafanyabiashara watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashtaka 31 ya kuua bila kukusudia.

Washtakiwa hao ambao wanadaiwa kuwa wamiliki wa jengo lililoanguka mtaa wa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam na kusabanisha vifo vya watu 29, wamefikishwa mahakamani hapo leo Ijumaa Novemba 29, 2024 na kusomewa mashtaka hayo.

Waliofikishwa mahakamani hapo ni Leondela Mdete (49), mkazi wa Mbezi Beach, Zenabu Islam (61), mkazi wa Kariakoo na Ashour Awadh Ashour (38), mkazi wa Ilala.

Soma, Pia:
Washtakiwa hao wamesomewa kesi hiyo na mawakili watatu waandamizi wa Serikali – Adolf Lema, Grace Mwanga na Erick Kamala mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Godfrey Mhini.

Kwenye mashtaka hayo, washtakiwa hao wanadaiwa Novemba 16, 2024 katika mtaa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam, isivyo halali, kwa pamoja walishindwa kutimiza majukumu na kusabashisha vifo vya watu 29.
Kwahiyo kesi yao hapo ni ipi, naomba elimu kidogo. Ninachojua mimi ni ajali kama ya Hanang tu
 
Kobaaz kwa kutoa kafara tu.

Adiosamigo ielewemitaa Malaria 2 Kosugi Jagina

Nyau de adriz
We mfuasi wa mkosa nyumba hivi bado mnajitoa Kafara ya Kubatizwa kanisani. Hebu tazama bibilia yenu inasema nini
UFUNUO 2-12-13 Napajua Ukaapo Kanisani ni katika kiti cha enzi cha Shetani.

Shetani Kiti chake cha enzi ni Kanisani
maana yake ni; Wakristo wamemkalia Shetani kanisani.
Je ipo Aya katika biblia kuwa Shetani huyo aliye Kalia Kiti kanisani alitoka au bado yupo hadi sasa.

Kama yupo itakuwa ninyi Wakristo mnamuabudu ni Shetani 100% Au ndio kila siku mnapiga maombi kwa Kusema. Pepo Toka Pepo Toka hahahaha

Sasa mnamfukuzaje Baba Mwenye Nyumba, nyie vichaa kweli aisay.
 
Wafanyabiashara watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashtaka 31 ya kuua bila kukusudia.

Washtakiwa hao ambao wanadaiwa kuwa wamiliki wa jengo lililoanguka mtaa wa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam na kusabanisha vifo vya watu 29, wamefikishwa mahakamani hapo leo Ijumaa Novemba 29, 2024 na kusomewa mashtaka hayo.

Waliofikishwa mahakamani hapo ni Leondela Mdete (49), mkazi wa Mbezi Beach, Zenabu Islam (61), mkazi wa Kariakoo na Ashour Awadh Ashour (38), mkazi wa Ilala.

Soma, Pia:
Washtakiwa hao wamesomewa kesi hiyo na mawakili watatu waandamizi wa Serikali – Adolf Lema, Grace Mwanga na Erick Kamala mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Godfrey Mhini.

Kwenye mashtaka hayo, washtakiwa hao wanadaiwa Novemba 16, 2024 katika mtaa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam, isivyo halali, kwa pamoja walishindwa kutimiza majukumu na kusabashisha vifo vya watu 29.
Yuko wapi:
1. Engineer Aliyeidhinisha ujenzi?
2. Msanifu majengo?
3. CRB waliotoa kibali?
4. Mhandisi mshauri?
5. Engineer msimamizi wa mradi?
6. Waliotoa kibali cha ujenzi?

Hawa wote lazima waunganishwe kwenye hii kesi
 
Hahaha napendaga sana kuwachokozaga hawa ndugu zangu jamvi linachangamka kichiz. ITR incharge wananimind kichiz haki ya nani wakinijua wanawaweza nichinja tatizo nikiwatag siku hizi hawanijibu wananipotezea basi naumiaa kichiz. THE BIG SHOW ananiogopaga kahtaan ndo usiseme hadi kasusa jamvi.

Nyau de adriz
Kwa hiyo huyo wa kamba ya mbuzi shingoni,pia katoa kafara.
 
Hahaha napendaga sana kuwachokozaga hawa ndugu zangu jamvi linachangamka kichiz. ITR incharge wananimind kichiz haki ya nani wakinijua wanawaweza nichinja tatizo nikiwatag siku hizi hawanijibu wananipotezea basi naumiaa kichiz. THE BIG SHOW ananiogopaga kahtaan ndo usiseme hadi kasusa jamvi.

Nyau de adriz
Kobaaz kwa kutoa kafara tu.

Adiosamigo ielewemitaa Malaria 2 Kosugi Jagina

Nyau de adriz
Kwa hiyo huyo.mvaa kamba ya mbuzi shingoni,pia katoa kafara.
 
Waliotoa vibali ya kujenga sehemu inayotitia wakamatwe
Watu wa mpango mji wakamatwe
Wahandishi wakamatwe
Watu wa uokoaji wakamatwe

Ndo nitaona haki
Wenye jengo na watoa Kibali cha ujenzi walitakiwa wakae 10 yrs bila dhamana kwanza ili kidooooogo kupata akili ............
 
Back
Top Bottom