wamiliki St Joseph University ni Mafia

wamiliki St Joseph University ni Mafia

komredi ngosha

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2011
Posts
382
Reaction score
71
wana jf,
kuna chuo kinaendeshwa na wahindi cha St Joseph kwa kweli kinajiendesha kwa mbinu chafu.
Wamekua wakitegemea njia za Panya kupata fedha ikiwemo kutoa sup kiholela ili wanafunzi wakifanya waweze kunufaikwa kwa pesa za sup(sup zinalipiwa), michango bubu kama vile kulipia tution kwa waliofeli supplimentary exams na kuzuia kimakusudi pesa za bumu wanazopewa na bodi ktk fixed account ili wapate cha juu na kusababisha wanafunzi wengi kuishi maisha ya shida bila hela. Mbaya zaidi wana watu wao bodi na TCU yani hata malalamiko yakienda hakuna kitu halafu wanajiita masista wa katoliki!
Kwa dhuluma hizo hizo wamezuia malipo ya mafunzo kwa vitendo kwa mwaka wa mwisho mpaka watakapokubali kukatwa madeni ya ada wanayodaiwa.
swali la kujiuliza, wanapata wapi hiyo jeuri? Wanapoamua kutumia ubabe kuchukua pesa za mafunzo kwa vitendo za wanafunzi wenye madeni ya ada, je haki iko wapi?
 
Acheni kushabikia tuu wanafunzi wa chuo hiko wanakaa mbali na jiji na wanapenda sana kujirusha na masomo yanayotolewa pale mengi ya science na ni magumu sana sasa wakicheza kifuatacho sup so inakula kwao kwani elimu ya chuo sio mchezo vijana someni vyuoni huko acheni ushalobaro na ushalohero
 
Acheni kushabikia tuu wanafunzi wa chuo hiko wanakaa mbali na jiji na wanapenda sana kujirusha na masomo yanayotolewa pale mengi ya science na ni magumu sana sasa wakicheza kifuatacho sup so inakula kwao kwani elimu ya chuo sio mchezo vijana someni vyuoni huko acheni ushalobaro na ushalohero

unayajua masomo magumu wewe?
Pale gpa za kupeana, mfano kuna mwaka wa 4 wameenda India, nasikia wote wamepewa gpa ya 5 eti kwa kua walikubali kwenda India na hivyo kulipia gharama za kuishi kule na kuiongezea chuo kipato
pia ni rahisi kumkuta mhitimu wa chuo hiki ana gpa ya 5 au first class kali sana lakini kichwani mweupe na hakuna anachojua
 
hvi nyie akili zenu fupi mnalazimishwa kusoma hapo!!! Thats Private insititute kama unaona hawatoi kinachotakiwa basi kamlilie kikwete aongeze vyuo vkuu au kafauli usome DIT,MIST,ATC, au COeT.
 
Huwa ninasikia ni chuo kizuri cha IT and Engineering!!! Haya masomo pia ni magumu kama mwanafuzi si serious na masomo. Ila pia yawezekana yasemayo ni kweli au uongo. Weka evidence hapa mleta mada ili isiwe ni majungu. Hiyo ndiyo itakuwa ni pona yako maana wale ndugu zangu hawakosi kufyekenyua mambo ili mradi kupakana matope.
 
sasa kama imeandikwa ktk sheria na taratibu kuwa ulipie supp inabidi ulipie, maana huenda wana-outsource mkufunzi sasa wewe ulitaka zigo la sup zako alibebe nani?
 
Huwa ninasikia ni chuo kizuri cha IT and Engineering!!! Haya masomo pia ni magumu kama mwanafuzi si serious na masomo. Ila pia yawezekana yasemayo ni kweli au uongo. Weka evidence hapa mleta mada ili isiwe ni majungu. Hiyo ndiyo itakuwa ni pona yako maana wale ndugu zangu hawakosi kufyekenyua mambo ili mradi kupakana matope.

yap, chuo kizuri cha IT hakina hata Internet kwa wanafunzi, hata website ya chuo haikuwepo wameweka mwaka huu june
wewe muulize anaesoma pale utapata majawabu
mfumo mbovu+ walimu vilaza = engineer mzuri? May be
 
Kuweni serious na masomo acheni longolongo!!!
Mwanafunzi yeyote asitegemee kufaulu bila juhudi. Mimi naamini hakuna mwalimu yeyote anayeweza kukufelisha kwa makusudi ama kukupa alama za juu kwa upendeleo. Juhudi yako ndio itakayokutoa tu!!!!!

Acha Longolongo na stori za kuharibu sifa ya vyuo vinavyoheshimika kwa kutoa elimu ya uhakika hapa nchini.
 
Je wewe maane unasoma hapo au unaandika tu???
 
nilivosikia mafia nilidhani wanateka watu nyara, umeenda mbali sana kuwahusisha nao
 
Mtoa mada utakuwa kilaza, una-sap, kwa ubongo wako finyu.
 
Me brow wangu yupo pale, na anachukua civil eng. Cjawahi kuxikia malalamiko toka kwake, ila nimewahi kuxikia icho chuo kikixifiwa na wa2 mbalimbali when it comes to academic issuez!
 
unayajua masomo magumu wewe?
Pale gpa za kupeana, mfano kuna mwaka wa 4 wameenda India, nasikia wote wamepewa gpa ya 5 eti kwa kua walikubali kwenda India na hivyo kulipia gharama za kuishi kule na kuiongezea chuo kipato
pia ni rahisi kumkuta mhitimu wa chuo hiki ana gpa ya 5 au first class kali sana lakini kichwani mweupe na hakuna anachojua

Hata chuo unachokiona wewe ni bora UD wapo wa kumwaga, hebu tuondolee u-pupu na GPA yako ya 2.1 hapa.., alaaah

hvi nyie akili zenu fupi mnalazimishwa kusoma hapo!!! Thats Private insititute kama unaona hawatoi kinachotakiwa basi kamlilie kikwete aongeze vyuo vkuu au kafauli usome DIT,MIST,ATC, au COeT.

Nilikuwa sijui, kumbe Private institutes wanasoma waliofeli tu.
 
Hata chuo unachokiona wewe ni bora UD wapo wa kumwaga, hebu tuondolee u-pupu na GPA yako ya 2.1 hapa.., alaaah



Nilikuwa sijui, kumbe Private institutes wanasoma waliofeli tu.

Ngoja nipunguze ukali wa kauli yako

"Walioshindwa kufikisha alama za vyuo vya serikali"
 
yap, chuo kizuri cha IT hakina hata Internet kwa wanafunzi, hata website ya chuo haikuwepo wameweka mwaka huu june
wewe muulize anaesoma pale utapata majawabu
mfumo mbovu+ walimu vilaza = engineer mzuri? May be

Kama ni hivi why don't you get this to public? Kwa maana hiyo graduates from there are likely to be incompetent. Mbona hii ni hatari. Try to reach public in a more wider way like magazeti. Pia najiuliza kwani TCU hawana taarifa hizi? If not wanafunzi wajiunge waandike barua TCU. All this, is the outcome of mushrooming academic institutions, which are unregulated plus unethical managers!!! Tanzania imara!!!
 
unayajua masomo magumu wewe?
Pale gpa za kupeana, mfano kuna mwaka wa 4 wameenda India, nasikia wote wamepewa gpa ya 5 eti kwa kua walikubali kwenda India na hivyo kulipia gharama za kuishi kule na kuiongezea chuo kipato
pia ni rahisi kumkuta mhitimu wa chuo hiki ana gpa ya 5 au first class kali sana lakini kichwani mweupe na hakuna
anachojua

Mh!mtoa mada kama ni interview tu kwangu ameshindwa hayupo compitent....wamiliki wanatoa sup kwani hao ndo ma lecturer,vilevile hakuna wa Tz toka CoET,DIT wanaofundisha part time,kingine kimenifanya nijiulize mara useme watu wanapewa GPA kubwa wakati mada yako sup ni nyingi ili waingize fedha sasa kama wanatoa GPA kubwa wanajingiziaje fedha na hizo sup,sup si zitakua chache na kipato kitakua kidogo,mwisho umetueleza wanatoa GPA sasa iweje wewe tu unyimwe kama huwa wanazitoa tu....INAMANA WEWE UNAONEWA.
Nimewasilisha tu.
 
Back
Top Bottom