Wamiliki wa fremu Sinza zenye tisheti mbili tu na kiyoyozi, tunaombeni siri ya urembo

Wamiliki wa fremu Sinza zenye tisheti mbili tu na kiyoyozi, tunaombeni siri ya urembo

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Inashangaza sana ndugu zanguni. Unakutana na fremu ina tisheti 2 na jinzi moja lenye mitatuko, pembeni kuna kepu imening'inizwa. Fremu lenyewe la kioo halafu full kiyoyozi. Mhuni aliyepanga fremu hiyo amechili tu akiwa na smartphone yake anaperuzi, muda huo meno nje nje. Nje imepaki BMW

Unaamua kuvuta muda uone kama kuna mteja ataingia lakini wapi. Cha ajabu ukipita kesho unakuta fremu limefunguliwa huku bidhaa ni zilezile nne. Halafu bila aibu anafungua saa 5

Hivi nini hasa ni siri ya urembo?
Kwenye hizo t shirt 2 mnazoning'iniza mwezi mzima ndizo ambazo mnalipia kodi ya fremu?

Na hili nalo Mama akalitazame kwa kina

Naombeni siri ya urembo
 
Huyu ni wewe au pacha wako?
IMG_4063.jpeg
 
Inashangaza sana ndugu zanguni. Unakutana na fremu ina tisheti 2 na jinzi moja lenye mitatuko, pembeni kuna kepu imening'inizwa. Fremu lenyewe la kioo halafu full kiyoyozi. Mhuni aliyepanga fremu hiyo amechili tu akiwa na smartphone yake anaperuzi, muda huo meno nje nje. Nje imepaki BMW

Unaamua kuvuta muda uone kama kuna mteja ataingia lakini wapi. Cha ajabu ukipita kesho unakuta fremu limefunguliwa huku bidhaa ni zilezile nne. Halafu bila aibu anafungua saa 5

Hivi nini hasa ni siri ya urembo?
Kwenye hizo t shirt 2 mnazoning'iniza mwezi mzima ndizo ambazo mnalipia kodi ya fremu?

Na hili nalo Mama akalitazame kwa kina

Naombeni siri ya urembo
😀😀😀😀 kabla hatujakupa code ya mafanikio, kwanza unaweza kulala chumba kimoja na chatu?
 
Inashangaza sana ndugu zanguni. Unakutana na fremu ina tisheti 2 na jinzi moja lenye mitatuko, pembeni kuna kepu imening'inizwa. Fremu lenyewe la kioo halafu full kiyoyozi. Mhuni aliyepanga fremu hiyo amechili tu akiwa na smartphone yake anaperuzi, muda huo meno nje nje. Nje imepaki BMW

Unaamua kuvuta muda uone kama kuna mteja ataingia lakini wapi. Cha ajabu ukipita kesho unakuta fremu limefunguliwa huku bidhaa ni zilezile nne. Halafu bila aibu anafungua saa 5

Hivi nini hasa ni siri ya urembo?
Kwenye hizo t shirt 2 mnazoning'iniza mwezi mzima ndizo ambazo mnalipia kodi ya fremu?

Na hili nalo Mama akalitazame kwa kina

Naombeni siri ya urembo
Hizo ni cover up, ni geresha, wana biashara nyingine behind the scene ambazo ni kinyume na sheria za nchi mara nyingi
 
Back
Top Bottom