Uhuru24
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 4,112
- 4,361
Waungwana nawambia hawa wamiliki wa mabasi ya mikoani wakishirikiana dereva na makondakta,ni wakati sasa wa kuvunja mkataba na hiyo kampuni miliyoingia nayo kwa kuwasambazia video za muziki na picha(Movie)kama hiyo kampuni ipo.
Nimesafiri mikoa kadhaa hapa bongo lakini kitu ninachokutana nacho ndani ya gari ni maajabu ya miaka na si mwaka,muda mwingine tunatamani kuwaambia kabisa zimeni hizi kelele.
Utakuta ndani ya gari zinapigwa nyimbo hazieleweki kabisa,muda mwingine unatamani kujiliwaza na umbali wa usafiri lakin unabaki kama mtu unabeti vile,(labda itakayokuja inakuwa nzuri,basi inakuwa kituko kuliko hata kilichotoka)akisha play muziki na ikaisha ndio anaweka movie,sasa hapa ndio kwenye hekaheka,yaan movie tokea tupo wadogo unatuwekea leo hii????inamaana hiz mp4 zao hazi play video/movie za kisasa???kila basi hivyohivyo tumeshakariri ikitoka hii inakuja hichi.
Kwa hiki ninachokiona nadhani kuna mtu alipewa hii tender ya ku_supply hizi flash haiwezekani mabas yakafanana hivi kila ukipanda.
NAWASHAURI TU WAVUNJE MKATABA KM KUNA KAMPUNI IMEPEWA KAZI HII
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesafiri mikoa kadhaa hapa bongo lakini kitu ninachokutana nacho ndani ya gari ni maajabu ya miaka na si mwaka,muda mwingine tunatamani kuwaambia kabisa zimeni hizi kelele.
Utakuta ndani ya gari zinapigwa nyimbo hazieleweki kabisa,muda mwingine unatamani kujiliwaza na umbali wa usafiri lakin unabaki kama mtu unabeti vile,(labda itakayokuja inakuwa nzuri,basi inakuwa kituko kuliko hata kilichotoka)akisha play muziki na ikaisha ndio anaweka movie,sasa hapa ndio kwenye hekaheka,yaan movie tokea tupo wadogo unatuwekea leo hii????inamaana hiz mp4 zao hazi play video/movie za kisasa???kila basi hivyohivyo tumeshakariri ikitoka hii inakuja hichi.
Kwa hiki ninachokiona nadhani kuna mtu alipewa hii tender ya ku_supply hizi flash haiwezekani mabas yakafanana hivi kila ukipanda.
NAWASHAURI TU WAVUNJE MKATABA KM KUNA KAMPUNI IMEPEWA KAZI HII
Sent using Jamii Forums mobile app