Wamiliki wa mabus tunaomba mje route ya Songea

Wamiliki wa mabus tunaomba mje route ya Songea

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Mikoa mingi ya pembezoni Ina ushindani wa kampuni za mabus mfano mkoa wa Kagera ambao ni mbali zaidi ya mkoa wa Ruvuma kutokea Dar ila kampuni kama Aboods, Frester, Happy Nation, Friends, city boy wote Wana route huko.

Mkoa wa Ruvuma makampuni ya mabus ni mawili Superfeo na Newforce but Newforce ni kama msindikizaji kwenye chaka la Superfeo kwa kifupi unaweza kusema Superfeo ndio kashika mkoa wa Ruvuma na wilaya zake zote hii inatutesa sana wenyeji wa Kusini ni either unaridhika ama uridhishwi na huduma za Superfeo utalazimika kupanda bus lao.

Kuna tetesi ambazo sio rasmi serikali kupitia aliyekuwa afisa mwandamizi wa ikulu ambaye kwa sasa anatumika kupeleka pesa za goli la mama ambaye ni mngoni mwenzetu wanafanya hujuma ili kampuni Moja tu ndiyo ibaki route ya Songea inasemekana na yeye ni miongoni mwa Wana hisa wakubwa wa kampuni hiyo.

Hatuna shida na Superfeo tunataka tuwe na wigo mpana wa kuchagua bus la kusafiri nalo kama wenzetu wa Mbeya, Dodoma, Mwanza, Moshi, Arusha n.k
 
Mkoa wa Ruvuma makampuni ya mabus ni mawili Superfeo na Newforce but Newforce ni kama msindikizaji kwenye chaka la Superfeo kwa kifupi unaweza kusema Superfeo ndio kashika mkoa wa Ruvuma na wilaya zake zote hii inatutesa sana wenyeji wa Kusini ni either unaridhika ama uridhishwi na huduma za Superfeo utalazimika kupanda bus lao.
Nimekumbuka kulikuwa na usafiri unaitwa Msigwa Bus Service kama sijakosea enzi zile ilikuwa unalambwa makofi unasukumiwa ndani na matusi juu huna kwa kushitaki na bado utasafiri na mzigo kichwani
 
Mikoa mingi ya pembezoni Ina ushindani wa kampuni za mabus mfano mkoa wa Kagera ambao ni mbali zaidi ya mkoa wa Ruvuma kutokea Dar ila kampuni kama Aboods, Frester, Happy Nation, Friends, city boy wote Wana route huko.

Mkoa wa Ruvuma makampuni ya mabus ni mawili Superfeo na Newforce but Newforce ni kama msindikizaji kwenye chaka la Superfeo kwa kifupi unaweza kusema Superfeo ndio kashika mkoa wa Ruvuma na wilaya zake zote hii inatutesa sana wenyeji wa Kusini ni either unaridhika ama uridhishwi na huduma za Superfeo utalazimika kupanda bus lao.

Kuna tetesi ambazo sio rasmi serikali kupitia aliyekuwa afisa mwandamizi wa ikulu ambaye kwa sasa anatumika kupeleka pesa za goli la mama ambaye ni mngoni mwenzetu wanafanya hujuma ili kampuni Moja tu ndiyo ibaki route ya Songea inasemekana na yeye ni miongoni mwa Wana hisa wakubwa wa kampuni hiyo.

Hatuna shida na Superfeo tunataka tuwe na wigo mpana wa kuchagua bus la kusafiri nalo kama wenzetu wa Mbeya, Dodoma, Mwanza, Moshi, Arusha n.k
Mamilima yale kwa haya mabasi ya Kichina, miaka miwili tu unayazika. Huyo Super Feo na mdogo wake, Selous Express, ni kwa vile wenye nayo ni watu wa huko.

New Force wao ni utaratibu wao ni mabasi yao kuyatumia kwa miaka miwili, kisha wanayasukuma, kwao siyo shida. Ila hawa wengine ni lazima wawaze mara mbili.

Ova
 
Mwaka 2017 niliwahi kugombana nao hao Superfeo kwasababu ni majeuri kinoma hasa kwenye mizigo,baada ya hapo nikahamia Newforce mwanzo ilikua unyama sana mara akaja Tavavil gari mpaka wifi bure nikahamia huko dah punde kampuni ya Tavavil ikayumba kinoma ikajifia nilipotudi Newforce nao ndo wanasua sua mchina gari mpya anapeleka mbeya na swax mpaka kesho Ruvuma anapeleka DKX tulizotumia tangu 2016 huku huduma za ndani zikiwa mbovu balaa.

Siku moja vikumbulu gari tairi zilishika moto ilikua patashika kinoma hapo nikaacha kusafiri na Newforce. Kwasasa nasikia Maning Nice kaleta gari mpya soon ataanza kwenda huko kupitia Lindi ,nitahamia kwake japo na yeye hana consistecy achelewi kutema ruti kama ilivyokua Mwanza.
 
Tatizo Songea nako mbali sana na milima mingi mno. Ukifika Njombe kutoka Dar ni kama unaanza safari upya, pana umbali unaoboa sanaNjombe

Tatizo Songea nako mbali sana na milima mingi mno. Ukifika Njombe kutoka Dar ni kama unaanza safari upya, pana umbali unaoboa sana
Mbona kutoka Njombe - Songea ni pafupi 2-3hrs umefika hasa ukiwa unaenda unashusha tu vilima.
 
Mamilima yale kwa haya mabasi ya Kichina, miaka miwili tu unayazika. Huyo Super Feo na mdogo wake, Selous Express, ni kwa vile wenye nayo ni watu wa huko.

New Force wao ni utaratibu wao ni mabasi yao kuyatumia kwa miaka miwili, kisha wanayasukuma, kwao siyo shida. Ila hawa wengine ni lazima wawaze mara mbili.

Ova
Gari service mpaka leo Superfeo DRT zinaenda na Newforce DKX zinaenda.
 
Tatizo Songea nako mbali sana na milima mingi mno. Ukifika Njombe kutoka Dar ni kama unaanza safari upya, pana umbali unaoboa sana
Je Songea ni mbali kulinganisha na Kagera ama mwanza? Kuhusu milima sio kweli kutoka Njombe to Songea hakuna mlima unaotisha kama kitonga.
 
Mamilima yale kwa haya mabasi ya Kichina, miaka miwili tu unayazika. Huyo Super Feo na mdogo wake, Selous Express, ni kwa vile wenye nayo ni watu wa huko.

New Force wao ni utaratibu wao ni mabasi yao kuyatumia kwa miaka miwili, kisha wanayasukuma, kwao siyo shida. Ila hawa wengine ni lazima wawaze mara mbili.

Ova
Hakuna mlima wa kuogopesha kiwango Cha matajiri kuhofia kupeleka magari yao
 
Mikoa mingi ya pembezoni Ina ushindani wa kampuni za mabus mfano mkoa wa Kagera ambao ni mbali zaidi ya mkoa wa Ruvuma kutokea Dar ila kampuni kama Aboods, Frester, Happy Nation, Friends, city boy wote Wana route huko.

Mkoa wa Ruvuma makampuni ya mabus ni mawili Superfeo na Newforce but Newforce ni kama msindikizaji kwenye chaka la Superfeo kwa kifupi unaweza kusema Superfeo ndio kashika mkoa wa Ruvuma na wilaya zake zote hii inatutesa sana wenyeji wa Kusini ni either unaridhika ama uridhishwi na huduma za Superfeo utalazimika kupanda bus lao.

Kuna tetesi ambazo sio rasmi serikali kupitia aliyekuwa afisa mwandamizi wa ikulu ambaye kwa sasa anatumika kupeleka pesa za goli la mama ambaye ni mngoni mwenzetu wanafanya hujuma ili kampuni Moja tu ndiyo ibaki route ya Songea inasemekana na yeye ni miongoni mwa Wana hisa wakubwa wa kampuni hiyo.

Hatuna shida na Superfeo tunataka tuwe na wigo mpana wa kuchagua bus la kusafiri nalo kama wenzetu wa Mbeya, Dodoma, Mwanza, Moshi, Arusha n.k
Hivi SOMO hana basi tena aka OTTAWA
 
Back
Top Bottom