Mkuu ulikuwa sahihi ukiona mtu anajibu pumba kwahuu uzi uliouleta ujuwe huyo anamiliki baiskel achana naye mimi nimemiliki mazda imenitesa kwenye spea najuta kwenye Toyota kifaa cha 125000 mazda utapata kwa 400,000 wakati huo spea nishida kuzipata, kwa ushauli mfuko ukituna gari yakununua ni Toyota
Scania wenyewe hawana lorry lenye cc25,000Mwenye abc ya hii gari afunguke kidogo hasa hizi za cc 25000
hawa Gumtree ushawahi kufanya nao bishara mkuu?nahitaji testimonial zinawazowahusu,,pleaseNenda Ebay uk au gumtree range bei sawa na bure kule
Gumtree ni platform. Ukipenda gari unawasiliana na mwenyewe. Ama kama ni kampuni ndio hivyo.hawa Gumtree ushawahi kufanya nao bishara mkuu?nahitaji testimonial zinawazowahusu,,please
Babu umepotea njia hukuNaombeni utofauti wa IST 1290 CC NA 1490 CC
MAANA KUNA MWANA KANAMBIA ETI ZENYE 1290 ZINA SHIDA....ILA HAELEZI NI SHIDA GANI!
.....Wenye maujuzi na haya magari anisaidie maana nataka kuvuta yenye cc 1290
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetokea kuipenda sana hii kampuni,nilionja nikajikuta nimenasaHonda inspire
OkeyHuyu jamaa nimemkubali sana, nilikuwa natafuta spare ya nissan bluebird hapa dar naambiwa 360,000 ila nilipomcheki yeye kaniagizia nje nadhani nairobi kwa 140,000 ndani ya siku mbili mzigo nikaupata na sasa nadunda mtaani.
Ukisikia ile phrase ya "Endless money pit" ujue hapi ndipo panako! Utapukutishwa hela hutaamini na hesabu ni za laki 8 na kuendelea.Hii kitu naikubali sana japo 4600cc ila wasiwasi spea
Nunua shockup babu! Nyie sindio wafia Nissan. Kuchwa kuponda watu wa Toyota.Sie pair ya shockup hazizidi laki bee (2) na hizo ni japan quality!Natafuta sehemu wanaojaza mafuta shockobsober ya Nissan tiida wakuu,genuine shock up bei yake imesismama pair 600+ hizi ni front shock up tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nunua shockup babu! Nyie sindio wafia Nissan. Kuchwa kuponda watu wa Toyota.Sie pair ya shockup hazizidi laki bee (2) na hizo ni japan quality!Natafuta sehemu wanaojaza mafuta shockobsober ya Nissan tiida wakuu,genuine shock up bei yake imesismama pair 600+ hizi ni front shock up tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sbt wana gari nzuri sana, nimenunua kwa hizi kampuni mbili Be foward na sbt..ila kipenda rohoSawa mkuu. Nasubiria ofa za BeFoward mwisho wa mwaka. SBT wana products za ovyo sana
Haa haaa haa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nilkuwa na ki gar knaitwa opel,kwa kwel nilipitia vikwanzo ving sana nika vumilia ila mwsho lkanitoa kabsa n hivi ,servce nlkuwa nafanya vzur tu sku nikajchnganya mafund wa vchochoron nikampa filter vzr tu wakat anafungua kbuyu pakuwekea filter akatumia nguvu akavunja ,msala ukaja hakuna kinapopatikan kwa mazingira nlyokuwepo ikabd aforce aniwekee filter ya toyota namba 2 ....kla sku kna soma alarm ya oil nikimuambia anasema ipo saf hyoo nikikanyaga inapotea .....haikunichukua week biashara ikawa imefika tamati R.I.P opel !! Mwaka jana akaja m2 akakitaka kikiwa apo apo
Gerage kaniambia ananipa lak8 nikamwambia ww kaijuchukue tu ukiipata laki 8 tuma mpesa ,ad leo ajatuma sijui anaendeleaje nako hukoo ....maisha ya mjeruman n matter of time na pesa lakin kufa hakuzuilki kwa mazingira ya kwetuView attachment 1404626View attachment 1404629
Sent using Jamii Forums mobile app
Nissan Fuga Imenitesa vibayaNatafuta sehemu wanaojaza mafuta shockobsober ya Nissan tiida wakuu,genuine shock up bei yake imesismama pair 600+ hizi ni front shock up tu
Sent using Jamii Forums mobile app