the say
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,772
- 3,360
Umeongea kwa weledi Sana mkuu, mkuu nataka niingie kwenye Suzuki escudo vp spea zake babu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ulikuwa sahihi ukiona mtu anajibu pumba kwahuu uzi uliouleta ujuwe huyo anamiliki baiskel achana naye mimi nimemiliki mazda imenitesa kwenye spea najuta kwenye Toyota kifaa cha 125000 mazda utapata kwa 400,000 wakati huo spea nishida kuzipata, kwa ushauli mfuko ukituna gari yakununua ni Toyota
Sent using Jamii Forums mobile app