Wamiliki wa magari ya Uber/Bolt, tupeane mbinu za uendeshaji wa hii biashara

Wamiliki wa magari ya Uber/Bolt, tupeane mbinu za uendeshaji wa hii biashara

malela.nc

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2013
Posts
256
Reaction score
345
Habari zenu wadau,

Naomba tujuzane kidogo mbinu mnazotumia kuendesha hii biashara. Kwa muda kidogo nimepata changamoto za uendeshaji wa hii biashara nikiwa kama mmiliki wa chombo(gari), kutokana na changamoto na sababu za dereva kila kukicha nkaona ngoja niangalie kama kweli biashara ngumu.

Juzi Jumamosi nkajitoa nijaribu kwa akaunti yake dereva, ajabu nlifanikiwa kupata hesabu ya Tsh 92,000 kwa mafuta ya Tsh 30,000. Na leo Jumapili nimepata Tsh 78,000 kwa mafuta ya 20,000.

Swali langu mbona mimi nimeweza kupata kwa hesabu kwa siku mbili tu maaana hesabu nlimpa 150,000 kwa week sasa yeye anashindwaje kuipata ndani ya week?
Karibuni tupeane mbinu.
 
Mimi nimejaribu kujisajili nashindwa mkuu! Ebu nisaidie
 
Mimi nimejaribu kujisajili nashindwa mkuu! Ebu nisaidie

Jitahidi naona hela inapatikana mkuu mimi nijionea mwenyewe.
IMG_1513.jpg
 
Mimi natafuta mtu/kampuni inayotoa Uber/Bolt kwa mkataba.....labda ndani ya uzi huu ninaweza pata mwanga.
 
Mwambie awe anakuonesha hiyoo earning per day kama kwel yy ni muaminifu
 
Habari zenu wadau,

Naomba tujuzane kidogo mbinu mnazotumia kuendesha hii biashara. Kwa muda kidogo nimepata changamoto za uendeshaji wa hii biashara nikiwa kama mmiliki wa chombo(gari), kutokana na changamoto na sababu za dereva kila kukicha nkaona ngoja niangalie kama kweli biashara ngumu.

Juzi Jumamosi nkajitoa nijaribu kwa akaunti yake dereva, ajabu nlifanikiwa kupata hesabu ya Tsh 92,000 kwa mafuta ya Tsh 30,000. Na leo Jumapili nimepata Tsh 78,000 kwa mafuta ya 20,000.

Swali langu mbona mimi nimeweza kupata kwa hesabu kwa siku mbili tu maaana hesabu nlimpa 150,000 kwa week sasa yeye anashindwaje kuipata ndani ya week?
Karibuni tupeane mbinu.
ebu jaribu na katikat ya week huenda weekend wateja ni wengi,,, [emoji3]
 
Dereva tapeli huyo chek mtu mwingine,150k ni normal per week,nichek nikupatie kijana safi😊
 
Mimi natafuta dereva ambaye anatumia inDriver nasikia kwa sasa ndio habari ya mjini kwa mikoa ya Arusha na Dar Es Salaam
Screenshot_20210728-075514_One%20UI%20Home.jpg
 
Habari zenu wadau,

Naomba tujuzane kidogo mbinu mnazotumia kuendesha hii biashara. Kwa muda kidogo nimepata changamoto za uendeshaji wa hii biashara nikiwa kama mmiliki wa chombo(gari), kutokana na changamoto na sababu za dereva kila kukicha nkaona ngoja niangalie kama kweli biashara ngumu.

Juzi Jumamosi nkajitoa nijaribu kwa akaunti yake dereva, ajabu nlifanikiwa kupata hesabu ya Tsh 92,000 kwa mafuta ya Tsh 30,000. Na leo Jumapili nimepata Tsh 78,000 kwa mafuta ya 20,000.

Swali langu mbona mimi nimeweza kupata kwa hesabu kwa siku mbili tu maaana hesabu nlimpa 150,000 kwa week sasa yeye anashindwaje kuipata ndani ya week?
Karibuni tupeane mbinu.
Nikuulize kwa hiyo hela uliyoipata imeshatoa hela ya mafuta uliyoyaweka?

Kuna kitu bado hujakifahamu, siku zote huwezi ukapata amount ya juu kuna kipindi zinashuka, huwezi kusema mtu anashindwa kuleta hesabu kwa kutazama hela ndani ya siku moja tu.

Kuna makato dereva anakwatwa kila mwisho wa wiki usipopeleka hela account inazuiliwa kwa muda mpaka ulipe.

Kuna matumizi madogo madogo yakiwemo kuosha gari na chakula.

NB: Siku ya jumapili huwa haina foleni utambue hilo na ndiyo maana ukasema ulilosema hapo juu

Sent from my Moto C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom