FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Hali hii imekuja baada ya SGR ya Kenya kuanza kazi kwa ufanisi wa hali ya juu sana na gharama za chini mno ukilinganisha na malori, Video inajieleza.
Je, tumejiandaa vipi kupambana na hawa wa kwetu ili wasije kuihujumu SGR yetu kama walivyoihujumu CGR ya TAZARA?
Je, tumejiandaa vipi kupambana na hawa wa kwetu ili wasije kuihujumu SGR yetu kama walivyoihujumu CGR ya TAZARA?