Wamiliki wa Malori Kenya walia na Standard gauge railway

Wamiliki wa Malori Kenya walia na Standard gauge railway

Ila faraja yangu zaidi ni kuwa treni yetu itatumia umeme tofauti nanya Kenya ambayo nadhani inatumia diesel, hii maana yake ni kwamba gesi yetu ya Songosongo inayotumika kuzalisha umeme pale Kinyerezi itapata soko zaidi na kupunguza fedha za kigeni matrillion kwa matrillion zinazotumika kuagiza mafuta ya diesel kuendeshea malori, hii itaimarisha sana shillingi. Ila wasiwasi wangu upo kwa hawa waarabu koko wenye malori, je, wataiacha salama SGR au wataifanyia hujuma na kuiulia mbali kama walivyoihujuma na kuiua kwa makusudi TAZARA cape gauge railway? Tumejipanga vipi? Maana hawashindwi kupigisha shoti transformer zote za hiyo treni ili ife kabisa!
treni ipi hii ambayo watu mnaipinga [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...
 
Ila faraja yangu zaidi ni kuwa treni yetu itatumia umeme tofauti nanya Kenya ambayo nadhani inatumia diesel, hii maana yake ni kwamba gesi yetu ya Songosongo inayotumika kuzalisha umeme pale Kinyerezi itapata soko zaidi na kupunguza fedha za kigeni matrillion kwa matrillion zinazotumika kuagiza mafuta ya diesel kuendeshea malori, hii itaimarisha sana shillingi. Ila wasiwasi wangu upo kwa hawa waarabu koko wenye malori, je, wataiacha salama SGR au wataifanyia hujuma na kuiulia mbali kama walivyoihujuma na kuiua kwa makusudi TAZARA cape gauge railway? Tumejipanga vipi? Maana hawashindwi kupigisha shoti transformer zote za hiyo treni ili ife kabisa!

Hizo risk za stakeholders, mitigation yake ni awareness to them.
 
Ishu ni kuwa tumejiandaa vipi kimiundombinu na swala la umeme? Is it reliable? Hivi kwa nini mvua ikinyesha na umeme unakatika? Is it coincidence au ni ubovu wa miundombinu?
Ni ubovu wa miundombinu but umeme wa matumizi ya kawaida upo wa kutosha...ze proplem ni infrastractures of transmission
 
Back
Top Bottom