FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Relax....Zingekuwa habari za kulawitiwa baba yake Mange Kimambi tungeshakuwa page ya 10 sasa hivi kwenye thread, stupid
Hali hii imekuja baada ya SGR ya Kenya kuanza kazi kwa ufanisi wa hali ya juu sana na gharama za chini mno ukilinganisha na malori, Video inajieleza.
Je, tumejiandaa vipi kupambana na hawa wa kwetu ili wasije kuihujumu SGR yetu kama walivyoihujumu CGR ya TAZARA?
Ila faraja yangu zaidi ni kuwa treni yetu itatumia umeme tofauti nanya Kenya ambayo nadhani inatumia diesel, hii maana yake ni kwamba gesi yetu ya Songosongo inayotumika kuzalisha umeme pale Kinyerezi itapata soko zaidi na kupunguza fedha za kigeni matrillion kwa matrillion zinazotumika kuagiza mafuta ya diesel kuendeshea malori, hii itaimarisha sana shillingi. Ila wasiwasi wangu upo kwa hawa waarabu koko wenye malori, je, wataiacha salama SGR au wataifanyia hujuma na kuiulia mbali kama walivyoihujuma na kuiua kwa makusudi TAZARA cape gauge railway? Tumejipanga vipi? Maana hawashindwi kupigisha shoti transformer zote za hiyo treni ili ife kabisa!Relax....
Umeweka taarifa ambayo imejitosheleza haihitaji mjadala....
JPM nia yake ya kusafirisha mizigo kupitia treni ilikua ya muda mrefu ili kuokoa fedha zinazoenda kwenye barabara... Na naamini wananchi na serikali wanaelewa hujuma za wenye malori na wamejiandaa kupambana nazo.... Kila maendeleo huja na vicheko na vilio kwa pamoja tatzo ni for how long.....
Kumbuka ya kwetu itatumia umeme, nimefafanua kwenye post namba 8. Na bila shaka hizo habari na tafiti ni propaganda za wenye malori.Mkuu umewahi kusoma huu uchambuzi wa wiki iliyopita wa The East African
Kenya’s SGR cargo volumes cast doubt on its viability
Japokuwa wenye malori wanalia lakini long run benefit za SGR ya Kenya zinaleta mashaka, hii inaweza kuwa case study kwetu pia
Hakuna hata study iliyofanyika. Sanasana utaambiwa hii imetokana na utafiti uliofanywa na mkuluMkuu umewahi kusoma huu uchambuzi wa wiki iliyopita wa The East African
Kenya’s SGR cargo volumes cast doubt on its viability
Japokuwa wenye malori wanalia lakini long run benefit za SGR ya Kenya zinaleta mashaka, hii inaweza kuwa case study kwetu pia
Sawa, lakini ni sawa na bandari ya nchi kavu inavyofanya kazi, ni kwamba unaondoa msongamano mjini kwa kutoingiza malori mengi mjini kufuata mzigo bandarini bila sababu za msingi, pia ni cheaper zaidi.Lakini mzigo ukifika Nairobi inabidi ukodi Lori tena mpaka eneo husika,tofauti na malori.
Haya ni mazingaombwe ndugu. Umeme hatuna wa kueleweka so turnover ya hiyo project sijui inatoka wapi mradi utageuka white elephant kama ilivyo kampuni ya ndege Tanzania. Imebaki kusifia ingali hakuna faidaIla faraja yangu zaidi ni kuwa treni yetu itatumia umeme tofauti nanya Kenya ambayo nadhani inatumia diesel, hii maana yake ni kwamba gesi yetu ya Songosongo inayotumika kuzalisha umeme pale Kinyerezi itapata soko zaidi na kupunguza fedha za kigeni matrillion kwa matrillion zinazotumika kuagiza mafuta ya diesel kuendeshea malori, hii itaimarisha sana shillingi. Ila wasiwasi wangu upo kwa hawa waarabu koko wenye malori, je, wataiacha salama SGR au wataifanyia hujuma na kuiulia mbali kama walivyoihujuma na kuiua kwa makusudi TAZARA cape gauge railway? Tumejipanga vipi? Maana hawashindwi kupigisha shoti transformer zote za hiyo treni ili ife kabisa!
Nasikia hiyo treni ni hybrid, yaani unaweza ukwasha engine ya diesel pindi umeme unapoleta shida, na kuhusu umeme nasikia mradi wa Kinyerezi Phase 2 umeshakamilika kwa 90%, meaning an increase of 240MW exclusively dedicated for the SGR, in the long run tunakuwa tunaokoa fedha za kigeni zilizokuwa zitumike kuagiza diesel toka uarabuni na badala yake tuna-utilise natural gas ambayo tunayo nyingi sana! Kumbuka, we have several comfirmed Trillion Cubic Feet (TCF) of natural gas reserves.Haya ni mazingaombwe ndugu. Umeme hatuna wa kueleweka so turnover ya hiyo project sijui inatoka wapi mradi utageuka white elephant kama ilivyo kampuni ya ndege Tanzania. Imebaki kusifia ingali hakuna faida
Ishu ni kuwa tumejiandaa vipi kimiundombinu na swala la umeme? Is it reliable? Hivi kwa nini mvua ikinyesha na umeme unakatika? Is it coincidence au ni ubovu wa miundombinu?Nasikia hiyo treni ni hybrid, yaani unaweza ukwasha engine ya diesel pindi umeme unapoleta shida, na kuhusu umeme nasikia mradi wa Kinyerezi Phase 2 umeshakamilika kwa 90%, meaning an increase of 240MW exclusively dedicated for the SGR, in the long run tunakuwa tunaokoa fedha za kigeni zilizokuwa zitumike kuagiza diesel toka uarabuni na badala yake tuna-utilise natural gas ambayo tunayo nyingi sana! Kumbuka, we have several comfirmed Trillion Cubic Feet (TCF) of natural gas reserves.
Sasa unakasirika nini?Zingekuwa habari za kulawitiwa baba yake Mange Kimambi tungeshakuwa page ya 10 sasa hivi kwenye thread, stupid
Wewe ulitaka nifurahi niniSasa unakasirika nini?
Nadhani miundo mbinu ya SGR itakuwa madhubuti sanaIshu ni kuwa tumejiandaa vipi kimiundombinu na swala la umeme? Is it reliable? Hivi kwa nini mvua ikinyesha na umeme unakatika? Is it coincidence au ni ubovu wa miundombinu?
Nimesema ufurahi? Mimi nimekuuliza unakasirika nini wewe unaanza oh nifurahi nini. Vipi wewe?Wewe ulitaka nifurahi nini
Mimi naona kwa utawala huu ikibainika kuna MTU anahujumu miundombinu ya reli, hakuna mjadala anakamatwa na zinataifishwa Mali zote anazomiliki apo ndio mambo yataendaRelax....
Umeweka taarifa ambayo imejitosheleza haihitaji mjadala....
JPM nia yake ya kusafirisha mizigo kupitia treni ilikua ya muda mrefu ili kuokoa fedha zinazoenda kwenye barabara... Na naamini wananchi na serikali wanaelewa hujuma za wenye malori na wamejiandaa kupambana nazo.... Kila maendeleo huja na vicheko na vilio kwa pamoja tatzo ni for how long.....