Wamiliki wa Mitsubish Pajero IO, GDI Tukutane Hapa

Wamiliki wa Mitsubish Pajero IO, GDI Tukutane Hapa

Kila la kheri mkuu na safari. Kama huta-mind naomba utupie kapicha ka hiyo -complete fuel system cleaner ambayo umeshaitumia na kufanya kazi, lakini ukitaja duka ambako inapatikana kwa Dar utakuwa umetusaidia sana.
Mrejesho wa bei,huko ulikoenda kuangalia spear?
 
Sjaenda kuangalia spea nimeenda kwa matembezi. Na mbona nilirudi siku hiyo hiyo. Gari iko order
 
Engine za GDI zinatengeneza uchafu sana aina ya carbon kwenye engine. Na hii ikizidi engine inakosa power, gari kuwa na miss na kuzima zima na baadae inaweza engine inaweza kuharibika kabisa.

Chukua tahadhari: mwenye GDI iliyofika mileage 100000km au zaidi, nunua dawa "complete fuel system cleaner" na umwagilie kwenye tenki lako la petroli halafu jaza mafuta (FUATA MAELEKEZO YALIYOKO KWENYE CHUPA YA DAWA HIYO".
Ukirudia kufanya hivi kama marambili kwa kila kabla ya oil service (yaani 5000km) sio mbaya.
Dawa utazipata kwenye maduka ya oil za gari kama lumumba na livingstone.

Angalizo:natoa ujuzi tu na siko kwa ajili ya matangazo ya kibiashara
Ahsante sana mkuu imeanza huo mchezo nikiwa safari niko niko full tank je naweza weka hiyo dawa gari ikiwa full tank?

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom