Wamiliki wa shule ya sekondari binafsi nchini, wana wasiwasi kuhusu mabadiliko ya mfumo wa elimu, hasa kutokana na kufutwa kwa darasa saba mwaka 2027

Wamiliki wa shule ya sekondari binafsi nchini, wana wasiwasi kuhusu mabadiliko ya mfumo wa elimu, hasa kutokana na kufutwa kwa darasa saba mwaka 2027

Kwa uelewa wangu nafikiri nia ya serikali ni kumpa ELIMU Bora mwanafunzi wa kitanzania ili aweze kuwa na upeo Mpana kwa kitu atakachochagua kukisoma ili kiwe ni msaada tosha kwa maisha yake bila kusubili asome ili asubili apewe ajira,darasa la saba kutokuwepo binafsi naona ni sawa tu kwani halina umuhimu kama mada zake ni marudio ya darasa la sita na kushuka
Wenzetu Kenya wanaongeza madarasa kwa shule za msingi, sisi TZ tunapunguza, kuna tarifa baadhi ya watoto wanaoenda form one hawajui kusoma, SASA SIJUI KAMA TUNAJENGA AU TUNABOMOA
 
Wenzetu Kenya wanaongeza madarasa kwa shule za msingi, sisi TZ tunapunguza, kuna tarifa baadhi ya watoto wanaoenda form one hawajui kusoma, SASA SIJUI KAMA TUNAJENGA AU TUNABOMOA
Ukifika la5 hujui soma na kuandika... Acha shule. La6 na la7 won't make a difference
 
Back
Top Bottom