Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Shirikisho la Soka nchini (TFF) limewaita watu wote wanaoonesha mpira katika 'vibanda' Jijini Dar kwa ajili ya majadiliano ya ushirikiano
TFF imesema imewaita watu hao katika kikao kitakachofanyika kesho Agosti 27, katika ofisi za shirikisho zilizopo Karume katika Manispaa ya Ilala
TFF imesema imewaita watu hao katika kikao kitakachofanyika kesho Agosti 27, katika ofisi za shirikisho zilizopo Karume katika Manispaa ya Ilala