Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 842
- 3,449
Hawa watu hua najiulizaga, akili zao wote zinafanana, Mazoea yao na mbwa wao wanachukulia kila yule anayo..
Mtu dude unaona kabisa linakuja kwa kasi, unajichekesha tu "hahahaaaa usijali hang'ati" unamsemea mbwa? Hakuna mbwa anayekuja kwa Mgeni(anaamini ni adui) kwa kukukimbilia na kubweka asiwe na nia ya kung'ata, kinachosaidia wengi ni reactions tuu.
Ili mtu usionekane mwoga au umepanic,
Unamwambia mwenyeji kwa Sauti ya kawaida "Oya mzuie basi" ila kiuhalisia hio tune haijatoka ndani, halafu mbaya zaid mbwa wapo wawili, mmoja kakuzunguka, Halafu simple tuu analeta uzungu kwa ma mbwa koko eti "Tom njoo uingie bandani" ,"leo nimechelewa kuwafungia".
Dude limepaa, mdomo kama jagi, unaniambia nisiogope?, hapo hapo nikaona kuna kuku mkubwa tuu kafa manyoya nyoya yametoka na damu (nikahisi kabisa yule ni mbwa) nikauliza yule kuku pale vipi? Akazuga. Ndio najua sipaswi kukimbia, hilo kosa siwezi fanya ila tatizo nipo katikati, halafu kuna dude jingine limezunguka nyuma lenyewe halibweki, huyu wa mbele yupo serious hana mchezo.
Anyway " nilisogea kiubavu ubavu Nikaokota Chungu cha Maua nikamtandika nacho cha ubavu, Mbio zake kuelekea bandani na lile yowe Yule mwingine sikumona alipotelea wapi, na kelele za kuku bandani, Wote wakatoka nje wanauliza kuna nini? Eti kisa mbwa kalia, wakati anabweka kwa nini wasiulize?
Anyway Amani ikatoweka na biashara iliishia pale pale, wanaita sikurudi nikasepa. Potelea kote.
Mtu dude unaona kabisa linakuja kwa kasi, unajichekesha tu "hahahaaaa usijali hang'ati" unamsemea mbwa? Hakuna mbwa anayekuja kwa Mgeni(anaamini ni adui) kwa kukukimbilia na kubweka asiwe na nia ya kung'ata, kinachosaidia wengi ni reactions tuu.
Ili mtu usionekane mwoga au umepanic,
Unamwambia mwenyeji kwa Sauti ya kawaida "Oya mzuie basi" ila kiuhalisia hio tune haijatoka ndani, halafu mbaya zaid mbwa wapo wawili, mmoja kakuzunguka, Halafu simple tuu analeta uzungu kwa ma mbwa koko eti "Tom njoo uingie bandani" ,"leo nimechelewa kuwafungia".
Dude limepaa, mdomo kama jagi, unaniambia nisiogope?, hapo hapo nikaona kuna kuku mkubwa tuu kafa manyoya nyoya yametoka na damu (nikahisi kabisa yule ni mbwa) nikauliza yule kuku pale vipi? Akazuga. Ndio najua sipaswi kukimbia, hilo kosa siwezi fanya ila tatizo nipo katikati, halafu kuna dude jingine limezunguka nyuma lenyewe halibweki, huyu wa mbele yupo serious hana mchezo.
Anyway " nilisogea kiubavu ubavu Nikaokota Chungu cha Maua nikamtandika nacho cha ubavu, Mbio zake kuelekea bandani na lile yowe Yule mwingine sikumona alipotelea wapi, na kelele za kuku bandani, Wote wakatoka nje wanauliza kuna nini? Eti kisa mbwa kalia, wakati anabweka kwa nini wasiulize?
Anyway Amani ikatoweka na biashara iliishia pale pale, wanaita sikurudi nikasepa. Potelea kote.