Wamisri wachukia dhana kwamba Malkia Cleopatra II alikuwa ni mwafrika mweusi

Wamisri wachukia dhana kwamba Malkia Cleopatra II alikuwa ni mwafrika mweusi

Hakuwa chotara. Cleopatra alikiwa mgiriki pure. Walipenda kuoana wenyewe kwa wenyewe wakati mwingine kaka na dada
Una uhakika gani alikuwa mgiriki pure? Mama yake hajulikani. Na pi kama walipenda kuoana wenyewe kwa wenyewe ikawaje akaolewa na Kaizari na baadaye Mark Anthony?
 
Una uhakika gani alikuwa mgiriki pure? Mama yake hajulikani. Na pi kama walipenda kuoana wenyewe kwa wenyewe ikawaje akaolewa na Kaizari na baadaye Mark Anthony?
Ceaser alimkuta akiwa mke wa kaka yake ambaye walishirikiana kuitawala Misri. Mama na baba yake wanajulikana.
 
Ceaser alimkuta akiwa mke wa kaka yake ambaye walishirikiana kuitawala Misri. Mama na baba yake wanajulikana.
Mama wa Cleopatra hajulikani. Sawa, kama pia aliweza kuolewa na Kaizari na Mark Anthony inamaanisha walikuwa wakiolewa nje ya familia.
 
Mama wa Cleopatra hajulikani. Sawa, kama pia aliweza kuolewa na Kaizari na Mark Anthony inamaanisha walikuwa wakiolewa nje ya familia.
Ngoja nikujibu mara ya mwisho. Aliolewa na Ceaser na Mark baada ya kushindwa vita. Haikuwa hiari yake. Ndoa yake ya kwanza ilikuwa kaolewa na kaka yake. Mama yake anajulikana jishughulishe utajua.

Kama walifikia kuoana kaka na dada it means hata wazazi wao walikuwa ndugu waliooana na hiyo inamaanisha walikuwa Wagiriki pia
 
Wamisri wenyewe ni Coptic na walikuwa na lugha yao ambao ilipotea na kufa baada ya conquest y Waarabu/Waislamu ila haimaniishi natives walikuwa weusi bali Egyptians hao hao na genome zao zikistadiwa na hao pharaohs zinaonekena kufanana kwa asilimia kubwa. Libya, Tunisia, Algeria, Morocco hao ni Amazigh/ Berber ambao pia walikuwa conquered na Waarabu na Waislamu. Cleopatra alikuwa Mgiriki Macedonian Greek and not mtu mweusi. Iyo obsession ya Egypt kwa African Americans is because it's so popular among Westerners when they dismiss many actual black civilizations including Ethiopia, Kush present day Sudan which have many pyramids than Egypt, Songhai Empire, Ashanti Empire,Ghana empire, Benin empire, Swahili city states, Kongo, Zulu etc but wao Egypt Egypt Egypt kwa kweli wanaboa. But kw 25th dynasty ya historia ya utawala wa Misri Ndo watu weusi waliitawala ambao walikuwa wanatokea Nubia present day Sudan and pia southern Egypt leo wapo
Kizazi cha watu weusi wa Misri kilipotea vipi

Na je waarabu nchini Misri sio asili yao?

Naomba utuelimishe


Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Ngoja nikujibu mara ya mwisho. Aliolewa na Ceaser na Mark baada ya kushindwa vita. Haikuwa hiari yake. Ndoa yake ya kwanza ilikuwa kaolewa na kaka yake. Mama yake anajulikana jishughulishe utajua.

Kama walifikia kuoana kaka na dada it means hata wazazi wao walikuwa ndugu waliooana na hiyo inamaanisha walikuwa Wagiriki pia
Hakuolewa baada ya kushindwa vita. Huyo kaka yake aliyemuoa alikuwa mtawala mwenza. Baada ya kutofautiana Cleopatra akafurumushiwa Syria. Baadaye Kaizari akawa anaenda Misri na jeshi kumfuatilia muasi. Cleopatra naye akaona chansi ya kurudi Misri. Walipokutana Misri ndiyo wakaanza kulana. Cleopatra hajawahi pigana na Kaizari.

Mama yake hajulikani, kama unamjua mtaje. Pia baba yake hakuzaa na mwanamke mmoja.
 
Juzi hapa Netflix waliachia Trailer la series inayohusu maisha ya Malkia Cleopatra wa Misri. Baada ya trailer hiyo watu(ambao sio Negro/Weusi) wameponda sana kumuweka/kumuonyesha Cleopatra alikuwa mweusi.
Wanasema hawataitizama kwakuwa haikisi ukweli kwamba Cleopatra alikuwa mweusi.

👉Kuna watu weusi wengine wamekuwa wakijibizana na wazungu kwamba ni Racist.

Najua na humu JF mnaweza kuwaponda wazungu lakini kiukweli wapo sahihi, Cleopatra hakuwa mweusi.

Baada ya Alexander the Great kufariki miaka kadhaa mbele (Mwaka 305BC) Moja kati ya majenerali waliokuwa nae huko Mirsi alibadirisha mfumo wa utawala wa Misri akaibadili Misri kuwa Ufalme wa Plotemy (Plotemaic Dynasty) Waliweka sheria kuwa wafalme wanatakiwa kujifunza mila na desturi za nyumbani kwao Ugiriki (Makedonia) ili kutimiza hilo walioana wao kwa wao yaani kaka anamuoa dada au shangazi na ndugu wengine na walikuwa hawaruhusu kujifunza lugha wala tamaduni za wamisri.

Mwaka 69BC huko Alexandria Misri, Cleopatra Anazaliwa

Cleopatra alikuwa anatoka kwenye huo ukoo wa Plotemy ila alikuwa anapenda kujifunza vitu na kuwa na watu hivyo yeye ndio akawa wa kwanza kujifunza lugha na tamaduni za Kimisri. Kwakuwa Cleopatra alikuwa anajua na alizifuata mila na desturi za Misri ndio maana wengi huwa wanadhani kuwa Cleopatra alikuwa Mmisri mweusi, ila kiukweli alikuwa mweupe pee! Mgiriki.

Inasemekana Cleopatra alikuwa anaongea lugha zaid ya 12.

Pia soma > Jinsi mapenzi yalivyofanya ufalme wa Egypt/Mizraim kuanguka na kusambaratika

View attachment 2587740

----
African Queens: Queen Cleopatra features British actress Adele James as the Egyptian ruler

A Netflix docudrama series that depicts Queen Cleopatra VII as a black African has sparked controversy in Egypt.

A lawyer has filed a complaint that accuses African Queens: Queen Cleopatra of violating media laws and aiming to "erase the Egyptian identity".

A top archaeologist insisted Cleopatra was "light-skinned, not black".

But the producer said "her heritage is highly debated" and the actress playing her told critics: "If you don't like the casting, don't watch the show."

Adele James made the comment in a Twitter post featuring screengrabs of abusive comments that included racist slurs.

Cleopatra was born in the Egyptian city of Alexandria in 69 BC and became the last queen of a Greek-speaking dynasty founded by Alexander the Great's Macedonian general Ptolemy.

She succeeded her father Ptolemy XII in 51 BC and ruled until her death in 30 BC. Afterwards, Egypt fell under Roman domination.

The identity of Cleopatra's mother is not known, and historians say it is possible that she, or any other female ancestor, was an indigenous Egyptian or from elsewhere in Africa.

Netflix's companion website Tudum reported in February that the choice to cast Adele James, a British actress who is of mixed race, as Cleopatra in its new documentary series was "a nod to the centuries-long conversation about the ruler's race".

Jada Pinkett Smith, the American actress who was executive producer and narrator, was meanwhile quoted as saying: "We don't often get to see or hear stories about black queens, and that was really important for me, as well as for my daughter, and just for my community to be able to know those stories because there are tons of them!"

But when the trailer was released last week many Egyptians condemned the depiction of Cleopatra.

The BBC is not responsible for the content of external sites. YouTube content may contain adverts.

This article contains content provided by Google YouTube. We ask for your permission before anything is loaded, as they may be using cookies and other technologies. You may want to read Google’s cookie policy, external and privacy policy, external before accepting. To view this content choose ‘accept and continue’.

Zahi Hawass, a prominent Egyptologist and former antiquities minister, told the al-Masry al-Youm newspaper: "This is completely fake. Cleopatra was Greek, meaning that she was light-skinned, not black."

Mr Hawass said the only rulers of Egypt known to have been black were the Kushite kings of the 25th Dynasty (747-656 BC).

"Netflix is trying to provoke confusion by spreading false and deceptive facts that the origin of the Egyptian civilisation is black," he added and called on Egyptians to take a stand against the streaming giant.

On Sunday, lawyer Mahmoud al-Semary filed a complaint with the public prosecutor demanding that he take "the necessary legal measures" and block access to Netflix's services in Egypt.

He alleged that the series included visual material and content that violated Egypt's media laws and accused Netflix of trying to "promote the Afrocentric thinking... which includes slogans and writings aimed at distorting anderasing the Egyptian identity".

Three years ago, plans for a movie about Cleopatra starring the Israeli actress Gal Gadot triggered a heated debate on social media, with some people insisting that the role should instead go to an Arab or African actress.

Gadot subsequently defended the casting decision, saying: "We were looking for a Macedonian actress that could fit Cleopatra. She wasn't there, and I was very passionate about Cleopatra."

Source: BBC
Kinacho wachukiza ni kipi hao mapunguani?
Kwani wanavyokasirika Cleopatra kuwa mweusi ndiyo atabadilika na kuwa Mwarabu?
Cleopatra alikua ni Mwafrika kwa kuzaliwa lakini wazazi wake walutokea Macedonia huko Ugiriki.
So, wasitake kujipendekeza wakati wagiriki wenyewe wala hawana noma hata ikisemwa kuwa Cleopatra alikua ni Mndengereko au Mnyakyusa.
 
Wamisri wenyewe ni Coptic na walikuwa na lugha yao ambao ilipotea na kufa baada ya conquest y Waarabu/Waislamu ila haimaniishi natives walikuwa weusi bali Egyptians hao hao na genome zao zikistadiwa na hao pharaohs zinaonekena kufanana kwa asilimia kubwa. Libya, Tunisia, Algeria, Morocco hao ni Amazigh/ Berber ambao pia walikuwa conquered na Waarabu na Waislamu. Cleopatra alikuwa Mgiriki Macedonian Greek and not mtu mweusi. Iyo obsession ya Egypt kwa African Americans is because it's so popular among Westerners when they dismiss many actual black civilizations including Ethiopia, Kush present day Sudan which have many pyramids than Egypt, Songhai Empire, Ashanti Empire,Ghana empire, Benin empire, Swahili city states, Kongo, Zulu etc but wao Egypt Egypt Egypt kwa kweli wanaboa. But kw 25th dynasty ya historia ya utawala wa Misri Ndo watu weusi waliitawala ambao walikuwa wanatokea Nubia present day Sudan and pia southern Egypt leo wapo
Siyo kweli. Watu walioanzisha ustaarabu wa Misri walikuwa weusi ti. Baadaye ndiyo wakaja hao lightskin. African Americans wako sahihi kabisa kutetea kuibwa kwa historia ya mtu mweusi.
 
Hao unaowaona wapo misri sasa wametokea Ulaya..
Tunawaita waarabu Kwa sababu dini Yao ni waislam na wanaongea Arabic language na culture baada ya Ottoman empire kutawala hapo na dini ya Kiislam kuwa dini ya Taifa maeneo hayo ila hao asili Yao ni Macedonia,Greece na meditaranean Europe .... Actually North Africa yote Haina waarabu....wazungu wanafanya ujanja wa Ku preach uongo mda mrefu Sana Hadi watu tuanawaamini

Wamorocco na wahispania...same same tofauti ni dini Tu

Tunisia na Italians same same tofauti Dini... majority ya Egyptians WA sasa walitoka Greece na Macedonia

Wale ma farao wazamani waliojenga pyramids walikuwa Nubians ambao sasa Wengi wapo Sudan

Zamani Egypt ya Sasa na Sudan zilikuwa nchi moja, history imekuwa edited Sana nna thread humu inaitwa Moors watu weusi waliotawala Ulaya.

Watu weusi sio Tu walitawala Egypt lakini Hadi Ulaya walitawala...hata nchi kama Sweden na Denmark zinaficha history ya "blacks Vikings"...waliowaokoa na kuanzisha mataifa Yao .walikuwa weusi. Europe yote ilikuwa na watu weusi tena watawala na wapiganaji vita. History imechafuliwa Sana hata Leo ukiambiwa unaona kama ndo uongo
Endelea ku edit mkuu, tuendelee tu ku edit hadi dunia ichanganyikiwe ijione haijawahi kuwepo kabisa.
Na wale Waarabu walipotoka Ulaya kabla ya kufika Egypt waliisha sana pande za Masukulu na Matwebe kabla ya kuelekea Egypt.
History ni kama dini tu, itategemea na kitabu ulichoamua kukiamini
 
Endelea ku edit mkuu, tuendelee tu ku edit hadi dunia ichanganyikiwe ijione haijawahi kuwepo kabisa.
Na wale Waarabu walipotoka Ulaya kabla ya kufika Egypt waliisha sana pande za Masukulu na Matwebe kabla ya kuelekea Egypt.
History ni kama dini tu, itategemea na kitabu ulichoamua kukiamini
Egypt ya Sasa Haina waraabu..
Tunawaita waarabu Kwa sababu ya lugha ya kiarabu Tu...Wengi wametokea Macedonia na Greeks...
 
Egypt ya Sasa Haina waraabu..
Tunawaita waarabu Kwa sababu ya lugha ya kiarabu Tu...Wengi wametokea Macedonia na Greeks...
Nijuavyo mimi hata Egypt ya kale haikuwahi kuwa na waarabu, kinacho ifungamanisha Egypt na Uarabu ni utamaduni uliofuata miaka mingi baadaye vitu kama utamaduni na lugha mbavyo vililetwa na kuwa well sead na dini.
 
Kinacho wachukiza ni kipi hao mapunguani?
Kwani wanavyokasirika Cleopatra kuwa mweusi ndiyo atabadilika na kuwa Mwarabu?
Cleopatra alikua ni Mwafrika kwa kuzaliwa lakini wazazi wake walutokea Macedonia huko Ugiriki.
So, wasitake kujipendekeza wakati wagiriki wenyewe wala hawana noma hata ikisemwa kuwa Cleopatra alikua ni Mndengereko au Mnyakyusa.
Nimeshtuka nikajua unamaanisha Cleopatra alikua mweusi. Hao warabu wa misr wanatafuta kiki tu, kwamba Cleopatra hakua mweusi wala mzungu
 
Hii ni series mbaya kuwahi kutokea netflix haina uhalisia hata kidogo
 
Hii ni series mbaya kuwahi kutokea netflix haina uhalisia hata kidogo
Mimi napenda biography ila hii Netflix dah wamezingua tena kuangalia mfano kwenye shows nyingi za adaptation wamebadilisha sana characters yan mpaka jinsia unachezea tofauti
 
Back
Top Bottom