Wana Arusha veepee, tumewafunika wa Dar mbaya mbovu

bushland

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2015
Posts
7,015
Reaction score
4,985
Oyooo machaliii veepee, manyookaaa veeepee, marasta veepeee, mafly culture veepee,
Mi nipo picnic hapa viwanja vya stress free zone, haya mavazi ya wahudumu mbona balaa, mizungu ya unga toka Mererani wamefunikaje hapa,wanagawa Bia wacha kabisa migodi imetema balaa, Vip huko milestone, Masai camp, via via , naona wazungu wamejimwaga mbaya Sana midolari inatembea Tu.
 
Picnic umeenda kuangalia uchi wa dada zako tu
 
January wataanza isoma namba kwa kirumi ni mwendo wa iv,v,viii . maana wanaisoma kwa kiswahili bado wabishi
 
Nyie vijana si mnasema pesa hakuna na maisha ni magumu sasa hiyo pesa ya kuruka viwanja imetoka wapi au ni unafiki tuu ndo umewajaa
 
Ukitoka hapo nenda "Matako Bar" ukashangae dunia ya Arusha
 

Dar kwa jinsi walivyo malofa bado wanazungusha mikono ili kuona mabadiliko!!!
Mawazo ya vijana wa vijijini shida mpaka basi.Mmeshanyonya viroba na mbege mnahisi mko ulaya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nyie vijana si mnasema pesa hakuna na maisha ni magumu sasa hiyo pesa ya kuruka viwanja imetoka wapi au ni unafiki tuu ndo umewajaa
Kuna watalii Na wazee wa madini mzee
 
Embu jongea hapa picnic mzee, maana naona wahudumu wapo Kama walivyozaliwa, nataka nile kona
Ngojea nije hapo, kuna mtu kaniambia traffic wapo wengi road eti wanapima waliokunywa...

Nipo muda mrefu hapa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…