Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Mkuu @Wakudadavua, asante kwa bandiko hili, mimi nimesoma Ilboru, hivyo ulinitajia Mzee Loning'o, umenikumbusha mbali!, hakuna mtu aliyesoma Ilboru asiyemjua Mzee Loning'o, ni mzee mwenye duka kubwa jirani na shule.Ndugu zangu,
Nipo hapa maeneo ya Moshono jijini Arusha nimekutana na kundi la vijana ambao wanaonesha bashasha usoni mwao. Kijana mmoja amejitambulisha kwa majina ya Protas Shao akizungumza kwa kujiamini amemtaka Godbles Lema ampe ushirikiano Mbunge mteule Mrisho Gambo kwani miaka kumi waliompa imetosha.
Naye Munguatosha Shoo amesisitiza kuwa hayo ni maamuzi ya wananchi hivyo Lema anapaswa kushirikiana na wananchi nje ya Bunge. Mzee Loning'o Elias amewataka wananchi wa Arusha kuwa watulivu huku wakimpa ushirikiano Mrisho Gambo.
Nimalize tu kwa kumtakia maisha yenye furaha na amani katika kustaafu ndugu Lema.
Pascal hebu lete andiko moja matata sana hapa bhana maana ww najua una DNA na shekhe Yahya. Ha ha ha( jokes) ila bado hujatupa tathmini nzima uchaguz ulivyoenda,kuanzia mwanzo wa kampen mpk siku ya mwisho,tunalisubiri wale wanaosemaga unatafuta nafas bas tuwaadhib hapa hapaMkuu @Wakudadavua, asante kwa bandiko hili, mimi nimesoma Ilboru, hivyo ulinitajia Mzee Loning'o, umenikumbusha mbali!, hakuna mtu aliyesoma Ilboru asiyemjua Mzee Loning'o, ni mzee mwenye duka kubwa jirani na shule.
Huu ni ushauri mzuri sana kwa Lema, asifanye hasira na kususa kutoa ushirikiano kwa Gambo, na badala yake akaamua kurudia kazi yake kabla ya ubunge, hala hala...
yatakuwa mengine.
P
Usiwasemee watu, kura feki zitawapa ushirikiano wa kutosha mnaoutaka.
Ushirikiano gani tena kwani wakati anagombea alimshirikisha Lema.Ndugu zangu,
Nipo hapa maeneo ya Moshono jijini Arusha nimekutana na kundi la vijana ambao wanaonesha bashasha usoni mwao. Kijana mmoja amejitambulisha kwa majina ya Protas Shao akizungumza kwa kujiamini amemtaka Godbles Lema ampe ushirikiano Mbunge mteule Mrisho Gambo kwani miaka kumi waliompa imetosha.
Naye Munguatosha Shoo amesisitiza kuwa hayo ni maamuzi ya wananchi hivyo Lema anapaswa kushirikiana na wananchi nje ya Bunge. Mzee Loning'o Elias amewataka wananchi wa Arusha kuwa watulivu huku wakimpa ushirikiano Mrisho Gambo.
Nimalize tu kwa kumtakia maisha yenye furaha na amani katika kustaafu ndugu Lema.
Mkuu @Wakudadavua, asante kwa bandiko hili, mimi nimesoma Ilboru, hivyo ulinitajia Mzee Loning'o, umenikumbusha mbali!, hakuna mtu aliyesoma Ilboru asiyemjua Mzee Loning'o, ni mzee mwenye duka kubwa jirani na shule.
Huu ni ushauri mzuri sana kwa Lema, asifanye hasira na kususa kutoa ushirikiano kwa Gambo, na badala yake akaamua kurudia kazi yake kabla ya ubunge, hala hala...
yatakuwa mengine.
P
Pascal Mayalla Njaa yake bado ipo palepale hata baada ya kuunga mkono juhudi miaka 5 bila mafanikio ya kuteuliwa bado hajakata tamaa ataunga mkono juhudi miaka 5 mingine huenda akafanikia. Msukuma kusoma Ilboru haimfanyi kuwa msemaji wa WanaArusha ambao hatumtaki kabisa Mbunge mpya toka Usukumani aliyechaguliwa kwa kura feki na aliyeshindwa kabisa kuongoza Mkoa akiwa Mkuu wa Mkoa mpaka ikabidi atumbuliwe.Mkuu @Wakudadavua, asante kwa bandiko hili, mimi nimesoma Ilboru, hivyo ulinitajia Mzee Loning'o, umenikumbusha mbali!, hakuna mtu aliyesoma Ilboru asiyemjua Mzee Loning'o, ni mzee mwenye duka kubwa jirani na shule.
Huu ni ushauri mzuri sana kwa Lema, asifanye hasira na kususa kutoa ushirikiano kwa Gambo, na badala yake akaamua kurudia kazi yake kabla ya ubunge, hala hala...
yatakuwa mengine.
P
Usiwasemee watu, kura feki zitawapa ushirikiano wa kutosha mnaoutaka.
Mkuu @Wakudadavua, asante kwa bandiko hili, mimi nimesoma Ilboru, hivyo ulinitajia Mzee Loning'o, umenikumbusha mbali!, hakuna mtu aliyesoma Ilboru asiyemjua Mzee Loning'o, ni mzee mwenye duka kubwa jirani na shule.
Huu ni ushauri mzuri sana kwa Lema, asifanye hasira na kususa kutoa ushirikiano kwa Gambo, na badala yake akaamua kurudia kazi yake kabla ya ubunge, hala hala...
yatakuwa mengine.
P
Hatuna polisi wenye silaha za moto kama nyie.Kura feki
Mmeibiwa kura
Nyie miaka yote huwa hamkosi kuibiwa kwanini mshindwe kudhibiti wizi ? Kama mmeshindwa kudhibiti wizi ili msiibiwe na nyie muwe mnaiba
Unajua upinzani wa tanzania ni upinzani ambao hauna akili kabisa kuliko wapinzani wowote ule duniani
Kwa sababu mara zote huwa mnaingia kushiriki uchaguzi ambao hata nyie wenyewe huwa mnatambua kabisa kuwa hamuwezi kushinda bali mnashiriki ili badae mje msingizie kuwa mmeibiwa.
Wengi mmekuwa mkilalamika kuwa tatizo ni tume ya uchaguzi NEC siyo huru kwa sababu inateuliwa na rais aliye madarakani
Basi kama shida ni tume muwe basi mnagomea kushiriki uchaguzi kabisa ili mshinikize tume ibadilishwe iwe huru na siyo mnakubali kushiriki uchaguzi alafu mnarudi kulalamika oooh....tume ni ya ccm...
Miaka nenda rudi hayo ndiyo malalamiko yenu kuwa mnaibiwa kura, tume siyo huru sijui porojo gani zingine..
Kama tatizo ni kuibiwa tafteni mbnu za kumdhibiti mwizi maana sasa kama ni mwizi ashawazoea anawaibiaje chaguzi zote na nyie mpo mpo tu .
Kwa ukosefu huu wa viongozi makini wa upinzani basi hamuwezi kuitoa ccm madarakani hata kwa miaka 100 ijayo.
Wewe ni mwana haramu wala sio mwana Arusha umeleta uharo wa wanaharamu hapa, bado wana Arusha hatujatoa tamko fala wewe.
dogo mm mwana arusha nakaa sekei, na sjampigia kura lema, na watu walikua washamchoka