Uchaguzi 2020 Wana-Arusha wamtaka Godbless Lema kumpa ushirikiano Mrisho Gambo

Uchaguzi 2020 Wana-Arusha wamtaka Godbless Lema kumpa ushirikiano Mrisho Gambo

Unavyo waza ndivyo walivyowaza Wakoloni
Walijua wataitawala milele Tanzania kama koloni lao kwa kuwa watu weusi wengi walikuwa wajinga kama kina Mangungo hivyo Wakoloni walijitapa sana tu kuliko hata unavyojisifu wewe na kumsifu huyo pimbi mkoloni mweusi
Nikwambie tu kuwa Tanzania sio mali ya watawala waovu
Tanzania ni mali ya Mungu na tulipewa watanzania wote hii nchi, hao watawala waovu watapita na Tanzania itabaki ile ile
Kama walivyo toweshwa Wakoloni wa kizungu na kiarabu ndivyo watakavyotoweshwa wakolon weusi ccm
Kura feki

Mmeibiwa kura

Nyie miaka yote huwa hamkosi kuibiwa kwanini mshindwe kudhibiti wizi ? Kama mmeshindwa kudhibiti wizi ili msiibiwe na nyie muwe mnaiba

Unajua upinzani wa tanzania ni upinzani ambao hauna akili kabisa kuliko wapinzani wowote ule duniani

Kwa sababu mara zote huwa mnaingia kushiriki uchaguzi ambao hata nyie wenyewe huwa mnatambua kabisa kuwa hamuwezi kushinda bali mnashiriki ili badae mje msingizie kuwa mmeibiwa.

Wengi mmekuwa mkilalamika kuwa tatizo ni tume ya uchaguzi NEC siyo huru kwa sababu inateuliwa na rais aliye madarakani

Basi kama shida ni tume muwe basi mnagomea kushiriki uchaguzi kabisa ili mshinikize tume ibadilishwe iwe huru na siyo mnakubali kushiriki uchaguzi alafu mnarudi kulalamika oooh....tume ni ya ccm...
Miaka nenda rudi hayo ndiyo malalamiko yenu kuwa mnaibiwa kura, tume siyo huru sijui porojo gani zingine..

Kama tatizo ni kuibiwa tafteni mbnu za kumdhibiti mwizi maana sasa kama ni mwizi ashawazoea anawaibiaje chaguzi zote na nyie mpo mpo tu .

Kwa ukosefu huu wa viongozi makini wa upinzani basi hamuwezi kuitoa ccm madarakani hata kwa miaka 100 ijayo.
 
Hata kama unakaa Monduli mwana Arusha hawezi kuwaza kama ulivyowaza wewe

Lema amekaa miaka kumi kama mbunge ameishia kuwekwa ndan tu, hata kuwasemea wana arusha hawezi miaka kumi yote! tafuta clip yoyote lema anaelezea matatizo ya wana arusha ama anapita kwa wananchi kuwatatulia matatizo yao, kifupi ni bora kasepa tu! na sina chuki nae, na ni ndugu yangu kabisa ila ndo ivo, wenzako walishafnya ubunge ndo ajira
 
Nyie si mumeshia kwa kishindo, Lema mnahangaika nae wa nini wakati mmekua mkidai kua alikua anawakwamisha kuleta maendeleo Arusha!
 
Gambo ana lipi jipya wkt hata u RC ulimshinda?
Lema amekaa miaka kumi kama mbunge ameishia kuwekwa ndan tu, hata kuwasemea wana arusha hawezi miaka kumi yote! tafuta clip yoyote lema anaelezea matatizo ya wana arusha ama anapita kwa wananchi kuwatatulia matatizo yao, kifupi ni bora kasepa tu! na sina chuki nae, na ni ndugu yangu kabisa ila ndo ivo, wenzako walishafnya ubunge ndo ajira
 
Ndugu zangu,

Nipo hapa maeneo ya Moshono jijini Arusha nimekutana na kundi la vijana ambao wanaonesha bashasha usoni mwao. Kijana mmoja amejitambulisha kwa majina ya Protas Shao akizungumza kwa kujiamini amemtaka Godbles Lema ampe ushirikiano Mbunge mteule Mrisho Gambo kwani miaka kumi waliompa imetosha.

Naye Munguatosha Shoo amesisitiza kuwa hayo ni maamuzi ya wananchi hivyo Lema anapaswa kushirikiana na wananchi nje ya Bunge. Mzee Loning'o Elias amewataka wananchi wa Arusha kuwa watulivu huku wakimpa ushirikiano Mrisho Gambo.

Nimalize tu kwa kumtakia maisha yenye furaha na amani katika kustaafu ndugu Lema.
Tutatumia nguvu sana kuleta umoja wa kitaifa. Ni madhara ya kutaka kuongeza uharamu kwa kitu ambacho ungeweza kukipata hila haramu. Sasa chote ulichopata kinaonekana haramu.
 
Ndugu zangu,

Nipo hapa maeneo ya Moshono jijini Arusha nimekutana na kundi la vijana ambao wanaonesha bashasha usoni mwao. Kijana mmoja amejitambulisha kwa majina ya Protas Shao akizungumza kwa kujiamini amemtaka Godbles Lema ampe ushirikiano Mbunge mteule Mrisho Gambo kwani miaka kumi waliompa imetosha.

Naye Munguatosha Shoo amesisitiza kuwa hayo ni maamuzi ya wananchi hivyo Lema anapaswa kushirikiana na wananchi nje ya Bunge. Mzee Loning'o Elias amewataka wananchi wa Arusha kuwa watulivu huku wakimpa ushirikiano Mrisho Gambo.

Nimalize tu kwa kumtakia maisha yenye furaha na amani katika kustaafu ndugu Lema.
Ampe ushirikiano ili acheleweshe maendeleo tena, wana ccm mbona kama hamjui mnataka nini?
 
Ndugu zangu,

Nipo hapa maeneo ya Moshono jijini Arusha nimekutana na kundi la vijana ambao wanaonesha bashasha usoni mwao. Kijana mmoja amejitambulisha kwa majina ya Protas Shao akizungumza kwa kujiamini amemtaka Godbles Lema ampe ushirikiano Mbunge mteule Mrisho Gambo kwani miaka kumi waliompa imetosha.

Naye Munguatosha Shoo amesisitiza kuwa hayo ni maamuzi ya wananchi hivyo Lema anapaswa kushirikiana na wananchi nje ya Bunge. Mzee Loning'o Elias amewataka wananchi wa Arusha kuwa watulivu huku wakimpa ushirikiano Mrisho Gambo.

Nimalize tu kwa kumtakia maisha yenye furaha na amani katika kustaafu ndugu Lema.
Labda Moshono ya Chato. Nzi wenzio wa kijani ninaowaona hapa Arusha wanaona hadi aibu kukutana na watu na wakazungumzia kituko mlichofanya.
TUTAWAHUJUMU TU.
 
Gambo ana lipi jipya wkt hata u RC ulimshinda?

ccm wanamapungufu yao lakini atleast they make common sense decisions: ukiachana na killings zlizotokea na swala la rushwa, wako smart sana na wanawazunguka chadema miaka na miaka lakini chadema hola, yaani hiki chama ni wafu tu wapo uko! sasa nyie mlitakiwa mchukue nguvu ya wananchi tuwatetee sio mnakuja apa kusema fly over haina kazi, we ushawahi kuvuka sam mujoma kwenda buguruni wewe? ingekua ni hali ya kisiasa kama 2015 ambapo ccm ilichokwa wananchi wangekua upande wenu ila saaahv hata muite maandamano wapi, watu wanafurahia maendeleo nyie mnapinga, mna akili kweli nyie?

eti mnaambia watu kuna corona alafu mnaita watu kwenye kampeni zenu, eti ndege hazina kazi alafu kampeni unafanyia choper! nmefurahi sana mmepigwa kisu, sasa ni mbele kwa mbele maendeleo mpaka kieleweke! hapa nasubiri stiglers ikamilike umeme ushushwe bei kama alivosema mweshimiwa ,
 
Nawaunga mkono wananchi wa Arusha wote washirikiane na mb wa zamani na wa sasa kuleta maendeleo
 
Yeye anasema ni "mkombozi"
Lema amekaa miaka kumi kama mbunge ameishia kuwekwa ndan tu, hata kuwasemea wana arusha hawezi miaka kumi yote! tafuta clip yoyote lema anaelezea matatizo ya wana arusha ama anapita kwa wananchi kuwatatulia matatizo yao, kifupi ni bora kasepa tu! na sina chuki nae, na ni ndugu yangu kabisa ila ndo ivo, wenzako walishafnya ubunge ndo ajira
 
Kura feki

Mmeibiwa kura

Nyie miaka yote huwa hamkosi kuibiwa kwanini mshindwe kudhibiti wizi ? Kama mmeshindwa kudhibiti wizi ili msiibiwe na nyie muwe mnaiba

Unajua upinzani wa tanzania ni upinzani ambao hauna akili kabisa kuliko wapinzani wowote ule duniani

Kwa sababu mara zote huwa mnaingia kushiriki uchaguzi ambao hata nyie wenyewe huwa mnatambua kabisa kuwa hamuwezi kushinda bali mnashiriki ili badae mje msingizie kuwa mmeibiwa.

Wengi mmekuwa mkilalamika kuwa tatizo ni tume ya uchaguzi NEC siyo huru kwa sababu inateuliwa na rais aliye madarakani

Basi kama shida ni tume muwe basi mnagomea kushiriki uchaguzi kabisa ili mshinikize tume ibadilishwe iwe huru na siyo mnakubali kushiriki uchaguzi alafu mnarudi kulalamika oooh....tume ni ya ccm...
Miaka nenda rudi hayo ndiyo malalamiko yenu kuwa mnaibiwa kura, tume siyo huru sijui porojo gani zingine..

Kama tatizo ni kuibiwa tafteni mbnu za kumdhibiti mwizi maana sasa kama ni mwizi ashawazoea anawaibiaje chaguzi zote na nyie mpo mpo tu .

Kwa ukosefu huu wa viongozi makini wa upinzani basi hamuwezi kuitoa ccm madarakani hata kwa miaka 100 ijayo.
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Back
Top Bottom