Aisee ni ki2 kizuri ila sijapenda huo ubaguz ambao kina octavian mmeuonyesha,je hamuitaji mawazo ya wana azania waliomaliza below 2000? Mawazo ya kina Mdudu,chapa mamba,van damme,kaboka mchizi na kina wenzi hamuyaitaji?
Na sisi wake zenu je tunaruhusiwa?
Hahahahaaa orange nini?!!
Khee, kwani ukiolewa na wa Azania nawe unakuwa umesoma hapo? WE INAONYESHA HUMUAMINI MUMEI HIVYO UNATAKA UKABE HADI PENATI..... Hebu muache huko aende peke yake, kumbuka kukuowa hakuondoi ukweli kuwa ana marafiki aliosoma nao..Na sisi wake zenu je tunaruhusiwa?
Azajangwa nipo hapa ila Azania mlikuwa wachafu ila kichwani smart khaaaaa tehe tehe tehe mi nilinasa kwa kablazamen fulani hivi kalikuwa kananifundisha Mathematics