Wana CCM kataeni UHUNI uliofanyika Dodoma

Wana CCM kataeni UHUNI uliofanyika Dodoma

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Kwenu wana CCM mnaojitambua, wenye mapenzi mema na chama na mustakbali mwema wa nchi hii.

Hicho mlichofanyiwa Dodoma ni uhuni mtupu, hakipo ndani ya kanuni, taratibu wala culture ya chama.

Inakuwaje mnakubali genge dogo la watu wachache wanakaa chemba ili waje wawastukize kwa jambo nyeti kama hilo la kupata mgombea wa nafasi za Urais wa JMT na ZNZ?.

Kwa nini mgeuke rubber stamp tu ya maamuzi ya genge dogo lililokwepa taratibu za chama zilizozoeka?

Hebu jiulizeni, huyo anayekwepa mchakato wa kawaida wa kugombea anaogopa nini, kawakosea nini wana CCM hadi aruke vikao vya maamuzi vya chama kama mwanga arukavyo kwenye ungo?.

Ndugu wana CCM, mkikubaliana na uhuni huu maanq yake mnatengeneza precedence ya UHUNI mkubwa zaidi kufanyika ndani ya chama.

Aliyewahi kuwa katibu mkuu mwenezi wa CCM bwana Polepole amewahi kusema kuwa ndani ya CCM kuna WAHUNI na bila shaka mmethibitisha wenye hili jambo kwa UHUNI usio na chembe ya haya wala aibu, kwa kuletewa mgombea kwa mlango wa nyuma bila ngazi tofauti za chama na taratibu zake kufuatwa.

Najua bado mna hyesteria ya mkutano, wengine posho zimewatia upofu, Pengine mastarehe ya muda mfupi yaendayo na mkutano bado mna hangover nayo. Lakini Jiulizeni hiki kilichofanyika ni sawasawa.

Hebu simameni sasa muanze kukataa uhuni huu wa watu wachache kupika mambo sirini halafu wanakuja kuwastukiza kama mmekamatwa ugoni vile.

Msikubali kuwa pawns au kete za kutumika tu katika hii chess ya mustakbali wa chama na nchi. Anzeni kuonyesha hisia zenu waziwazi.

Hii siyo CCM ya Nyerere, hii ni CCM ya kihuni.
 
Kwenu wana CCM mnaojitambua, wenye mapenzi mema na chama na mustakbali mwema wa nchi hii.

Hicho mlichofanyiwa Dodoma ni uhuni mtupu, hakipo ndani ya kanuni, taratibu wala culture ya chama.

Inakuwaje mnakubali genge dogo la watu wachache wanakaa chemba ili waje wawastukize kwa jambo nyeti kama hilo la kupata mgombea wa nafasi za Urais wa JMT na ZNZ?.

Kwa nini mgeuke rubber stamp tu ya maamuzi ya genge dogo lililokwepa taratibu za chama zilizozoeka?

Hebu jiulizeni, huyo anayekwepa mchakato wa kawaida wa kugombea anaogopa nini, kawakosea nini wana CCM hadi aruke vikao vya maamuzi vya chama kama mwanga arukavyo kwenye ungo?.

Ndugu wana CCM, mkikubaliana na uhuni huu maanq yake mnatengeneza precedence ya UHUNI mkubwa zaidi kufanyika ndani ya chama.

Aliyewahi kuwa katibu mkuu mwenezi wa CCM bwana Polepole amewahi kusema kuwa ndani ya CCM kuna WAHUNI na bila shaka mmethibitisha wenye hili jambo kwa UHUNI usio na chembe ya haya wala aibu, kwa kuletewa mgombea kwa mlango wa nyuma bila ngazi tofauti za chama na taratibu zake kufuatwa.

Najua bado mna hyesteria ya mkutano, wengine posho zimewatia upofu, Pengine mastarehe ya muda mfupi yaendayo na mkutano bado mna hangover nayo. Lakini Jiulizeni hiki kilichofanyika ni sawasawa.

Hebu simameni sasa muanze kukataa uhuni huu wa watu wachache kupika mambo sirini halafu wanakuja kuwastukiza kama mmekamatwa ugoni vile.

Msikubali kuwa pawns au kete za kutumika tu katika hii chess ya mustakbali wa chama na nchi. Anzeni kuonyesha hisia zenu waziwazi.

Hii siyo CCM ya Nyerere, hii ni CCM ya kihuni.
Huo ndio ukosefu wa akili.Mkutano Mkuu wa CCM umeamua kwa sauti moja kutoa maamuzi wanayoona wao yanafaa kwa mustakabali wa Chama chao wewe ambaye sio mwanachama wa CCM hutaki. Kama sio ukosefu wa shughuli ya kufanya sijui hali yako itaitwaje?Kwani wewe ulitegemea nini?Kuwepo na malumbano?
 
Mosi, Ushauri mwema hauna limit ya kisiasa au itikadi.

Pili, Kumbuka ruzuku ya CCM ni kodi yetu sisi wananchi. Tukiona uhuni unaofanyika humo lazima tutoe neno
Kujibu mosi yako, nakubaliana na wewe kwamba ushauri hauna itikadi, LAKINI UJUWE kuukubali au kuukataa ushauri tikadi hutumika.

Kujibu ishu yako ya pili, narudia, kama wana CCM wanakaa kimya juu ya kilichotoikea huku wakikipigia makofi, ACHA WAFU WAZIKANE. Unachoweza kufanya, kama taratibu zinaruhusu, KAWASHITAKI
 
Kwenu wana CCM mnaojitambua, wenye mapenzi mema na chama na mustakbali mwema wa nchi hii.

Hicho mlichofanyiwa Dodoma ni uhuni mtupu, hakipo ndani ya kanuni, taratibu wala culture ya chama.

Inakuwaje mnakubali genge dogo la watu wachache wanakaa chemba ili waje wawastukize kwa jambo nyeti kama hilo la kupata mgombea wa nafasi za Urais wa JMT na ZNZ?.

Kwa nini mgeuke rubber stamp tu ya maamuzi ya genge dogo lililokwepa taratibu za chama zilizozoeka?

Hebu jiulizeni, huyo anayekwepa mchakato wa kawaida wa kugombea anaogopa nini, kawakosea nini wana CCM hadi aruke vikao vya maamuzi vya chama kama mwanga arukavyo kwenye ungo?.

Ndugu wana CCM, mkikubaliana na uhuni huu maanq yake mnatengeneza precedence ya UHUNI mkubwa zaidi kufanyika ndani ya chama.

Aliyewahi kuwa katibu mkuu mwenezi wa CCM bwana Polepole amewahi kusema kuwa ndani ya CCM kuna WAHUNI na bila shaka mmethibitisha wenye hili jambo kwa UHUNI usio na chembe ya haya wala aibu, kwa kuletewa mgombea kwa mlango wa nyuma bila ngazi tofauti za chama na taratibu zake kufuatwa.

Najua bado mna hyesteria ya mkutano, wengine posho zimewatia upofu, Pengine mastarehe ya muda mfupi yaendayo na mkutano bado mna hangover nayo. Lakini Jiulizeni hiki kilichofanyika ni sawasawa.

Hebu simameni sasa muanze kukataa uhuni huu wa watu wachache kupika mambo sirini halafu wanakuja kuwastukiza kama mmekamatwa ugoni vile.

Msikubali kuwa pawns au kete za kutumika tu katika hii chess ya mustakbali wa chama na nchi. Anzeni kuonyesha hisia zenu waziwazi.

Hii siyo CCM ya Nyerere, hii ni CCM ya kihuni.
Unawashwa, thread ya tatu sasa

Anzisha chama chako
 
Huo ndio ukosefu wa akili.Mkutano Mkuu wa CCM umeamua kwa sauti moja kutoa maamuzi wanayoona wao yanafaa kwa mustakabali wa Chama chao wewe ambaye sio mwanachama wa CCM hutaki. Kama sio ukosefu wa shughuli ya kufanya sijui hali yako itaitwaje?Kwani wewe ulitegemea nini?Kuwepo na malumbano?

Mkutano mkuu siyo mara yake ya kwanza kufanyika ktk historia ya CCM ila UHUNI wa hivi haujawahi kutokea
 
Mkutano mkuu siyo mara yake ya kwanza kufanyika ktk historia ya CCM ila UHUNI wa hivi haujawahi kutokea
Uhuni upi?Wapi kwenye ibara za Katiba ya CCM katiba hiyo imevunjwa?Unaongelea jambo usilolijua ili uonekane na wewe umechangia.Mkutano Mkuu wa CCM ndio chombo cha juu cha uamuzi.Na ndicho kilichoamua.Wewe usiyehusika na lolote kwenye uamuzi huo unapiga kelele pembeni ili iweje?
 
Utakuja kufika wakati hili suala litapigiwa kelele sana. Ni nani alitegemea kusikia yote yanayosemwa na CDM juu ya Mbowe hii leo?

Ni kiasi cha muda tu, litakuja kuibuliwa na kila mmoja atakiri namna alivyolipokea.
 
Hii ishu inaweza kumuondolea Samia credibility mbele ya wananchi na CCM yenyewe, maana imekaa kama anataka uongozi bila merits bali kwa "kuwezeshwa" huku taratibu xa chama zikinajisiwa.

Magufuli na ubandidu wake wote wa kisiasa hakuthubutu kufanya hivi kwenye uchaguzi wa 2020 Japo alikuwa na uwexo wa kufanya hivyo.

Hii move Itabackfire!
 
CCM ya kwao. Wao wameamua. Wewe inakuhusu nini.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Hii ishu inaweza kumuondolea Samia credibility mbele ya wananchi na CCM yenyewe, maana imekaa kama anataka uongozi bila merits bali kwa "kuwezeshwa" huku taratibu xa chama zikinajisiwa.

Magufuli na ubandidu wake wote wa kisiasa hakuthubutu kufanya hivi kwenye uchaguzi wa 2020 Japo alikuwa na uwexo wa kufanya hivyo.

Hii move Itabackfire!
Taratibu zipi zimevunjwa?Weka ibara iliyovunjwa ili hoja yako iwe na nguvu.Kuandika sweeping statements bila ku back up na ushahidi ni utoto tu.Assumption na wishful thinking hazitakupa unachokitafuta.Hoja yako ingekuwa na maana ungeleta ushahidi. Hapa sio vikao vya kahawa.
 
Taratibu zipi zimevunjwa?Weka ibara iliyovunjwa ili hoja yako iwe na nguvu.Kuandika sweeping statements bila ku back up na ushahidi ni utoto tu.Assumption na wishful thinking hazitakupa unachokitafuta.Hoja yako ingekuwa na maana ungeleta ushahidi. Hapa sio vikao vya kahawa.
Halafu kwa kumsaidia mpinzani mwenzangu ni kwmba Jiwe kipindi kile ilitoka form moja tu...hakuruhusu form zaidi ya moja maana mzee wa gusa ninuke alikuwa anataka kuchukua ashindane nae....kilichofanyika jana ni jambo lilelile ila kwa style nyingine....Hawa jamaa Wana mbinu nyingi sana kwny kufanikisha jambo lao....tutabaki kupiga mayowe humu ndani ila ndo hvyo jambo lishaisha🤣🤣🤣....
 
Back
Top Bottom