Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nguo walizovaa ni za CCM,kulala wanalala CCM,kula wanakula CCM. Wakikua wanakuwa wajumbe wa CCM ambaye itakuwa ndiyo ajira yao ya kudumu.CCM kwa kuiga.
Baadhi ya wananchi mkoani Songwe wakideki barabara kwa ajili ya kumpokea mgombea urais wa @ccm_tanzania @MagufuliJP
#Uchaguzi2020
#OktobaTutawezana
View attachment 1586637
Hawa watakuwa ulipo tupo wa Lowasa.CCM kwa kuiga.
Baadhi ya wananchi mkoani Songwe wakideki barabara kwa ajili ya kumpokea mgombea urais wa @ccm_tanzania @MagufuliJP
#Uchaguzi2020
#OktobaTutawezana
View attachment 1586637
Ndio haohao aliondoka nao chadema.Wale waliomdekia LOWASA walipewaga sh. Ngapi?
Hiyo tulishaijadili 5 yrs ago, tujadili ya leo, ila inaonekana wagombea kutoka CCM wanapenda sana ubwanyenye.Wale waliomdekia LOWASA walipewaga sh. Ngapi?
Leo hii wanachama ambao mnasema ndio watakaowashindisha kwa kishindo mnawaita "mbwa"!!!?Izo mbwa nne ndo unataka kutuamisha kuwa ndo wanamkoa wa Songwe?
Ukiangalia harakaharaka hawa ni wavuta bangiCCM kwa kuiga.
Baadhi ya wananchi mkoani Songwe wakideki barabara kwa ajili ya kumpokea mgombea urais wa @ccm_tanzania @MagufuliJP
#Uchaguzi2020
#OktobaTutawezana
View attachment 1586637
Watumishi wengi wa umma wanagawiwa mashati na madera ya kijani, ili wavae na kuonyesha ccm inakubalika. Lakini ukweli ni kwamba ccm haina kibali cha wananchi.Mimi nipo tunduma huku namsubiri nimevaa jora la kijani nikipewa 10000 yangu navua nalitupilia mbali
Chukua, hata ukiweza nenda mara mbili hizo hela ndizo walizotoa ndugu zetu maskini eti kitambulisho cha mjasirialia mali.Mimi nipo tunduma huku namsubiri nimevaa jora la kijani nikipewa 10000 yangu navua nalitupilia mbali
Leo Green guard wamekuwa mbwa.Izo mbwa nne ndo unataka kutuamisha kuwa ndo wanamkoa wa Songwe?