Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Imekuwa kawaida viongozi wa CCM kupotosha ukweli kuhusu hoja ya Uhuru. Kwenye hotuba zao nyingi wamekuwa wakiiambia Dunia kwamba Tanzania ilipata uhuru tarehe 09/12/1961. Na hata tunaposherekea sikukuu ya Uhuru Naamini tutegemee kuendelea kusikia upotoshaji ukifantywa na wasomi wa Nchi hili.
Tarehe 9/12/1961 ninavyofahamu mimi hakukuwa na Tanzania. Tanzania ni matokeo ya muungano wa Nchi mbili huru ambazo ni Tanganyika iliyopata Uhuru 09/12/1961 pamoja na Zanzibar.
Kwa muktadha huo ni vyema Wana CCM watakupa ushahidi wa Tanzania kupata Uhuru au waamue kutubu na kutamka ukweli kwamba Tarehe 09/12/1961 ni Siku ya Tanganyika kupata Uhuru. Tuache ujanja ujanja wakijinga unaodumaza fikra zetu Kwa kivuli Cha uzalendo
Tarehe 9/12/1961 ninavyofahamu mimi hakukuwa na Tanzania. Tanzania ni matokeo ya muungano wa Nchi mbili huru ambazo ni Tanganyika iliyopata Uhuru 09/12/1961 pamoja na Zanzibar.
Kwa muktadha huo ni vyema Wana CCM watakupa ushahidi wa Tanzania kupata Uhuru au waamue kutubu na kutamka ukweli kwamba Tarehe 09/12/1961 ni Siku ya Tanganyika kupata Uhuru. Tuache ujanja ujanja wakijinga unaodumaza fikra zetu Kwa kivuli Cha uzalendo