Wana CCM Wajipanga Kuikomboa Moshi Mjini



Mkuu,

Nakuambia CCM nao huwa wana vituko,kwa mfano 2005 nilikua kule wakati wa Kampeni.Yaani nakuambia walikufuru kwa kumwaga hela,watu wanakodisha baa nzima ni pombe na mbuzi choma tu na mziki mnene.

Kesho yake karibu na eneo hilo hilo Ndesa akaingia,akamwaga sera huku watu wakimuita Mbunge mtarajiwa.

Nikajifunza kuwa CCM humwaga hela bila back up ya hoja,unakuta watu wana-concetrate kwenye mlo tu lakini anything to do na kupigia kura hyo next month ni ajenda nyingine.Kwa kweli niliwasifu sana wapiga kura wa huko maanke that's the only way ya kuwafundisha mafisadi kuwa pesa zao ni laana siku zote
 

Dr Chami, alikuwa mwana Tanzanet wa siku nyingi. Wasomi wetu wengi waliokuwa mabingwa wa kuongea kwenye vijiwe wakiwa nje, wanachemsha kweli kweli wakifika Tanzania.

Akina Mtanzania, Mkandara, Rev. Kishoka, FMES, Mzee Mwanakijiji, Kitila na wengine, jiandaeni mkirudi TZ, msije mkaishia kundi la akina Dr. Chami, Dr. Msekela, Dr. Kamala, na wengine.

Wengine tunatunza makabrasha yenu tu ili mkianza kufanya tofauti tuweze kuyafungua. Wengine yetu macho na masikio! kwi kwi kwi!!!
 



Mkuu Mtanzania,

Heshima nawe,more respect kwa kukumbushia hili mkuu.But my worry ni kwamba how are you going to identify them? most of us and may be be except Mr.Kitila huwa tunatumia nicknames,utawajua kweli?
 
Mkuu Mtanzania,

Heshima nawe,more respect kwa kukumbushia hili mkuu.But my worry ni kwamba how are you going to identify them? most of us and may be be except Mr.Kitila huwa tunatumia nicknames,utawajua kweli?

Ben,

Hivi wewe huwajui? Kwi kwi kwi!!!

Bahati nzuri hao wote niliowataja hapo juu mimi nawajua, ila siwezi kutoa siri hata ukinipa
EPA yote.

Nikiona na wewe unakaribia kuchukua form ya CHADEMA nitakujua tu mkuu.

Any way JF hatutakiwi kutafutana kujuana majina. Vinginevyo mtafute Jasusi atakuambia Mtanzania ni nani.
 

ukinikumbusha ngotolainyo nasikia kichefuchefu maana hata jina lake halieleweki lakini huyu ni msambaa hana neno
 


Mkuu wangu,


Hata mkuu Jasusi nae atataka Chupa ya John Walker! Teh teh teh.

Ha ha ha,mkuu hapo nilipo-bold nako unaniua mkuu,unajua leo ni Jumatatu tu?
 
Upinzani usilale, hawa vijana wa CCM kina Chami et al hawana kipya chochote zaidi ya kufuata upepo dawa ni kuwang,oa wote. Kuna rafiki yangu kaniambia bosi wake ameletewa kadi ya mchango wenye lengo la kmng'oa Dk Slaa Karatu. Nilijaribu kupata moja ila sikufanikiwa, inaelekea mafisadi wameanza kijipanga mapema.
 
Kwamba Moshi Mjini wanataka kumng'oa mzee Ndesa nafikiri hiyo ni ndoto tena ya mchana. Huyu mzee amejengea uzio makaburi makubwa ya kata ya Pasua, Kata ya Kaloleni na kata ya Majengo kwa hela yake. Kanunua ambulance mbili, kawanunulia wamachinga soko la kisasa kwa TSH 160,000,000/=, alikwishawahi kuzuia wanachuo 72 wa TUmaini University waliokuwa wanadaiwa ada wasirudishwe nyumbani kwa kutoa 10,000,000/=. Ofisi yake ni kama kliniki ambako watu hawaishi kwenda kutoa shida zao binafsi na kusaidiwa. Amefungua SACCOS 8 mjini Moshi.

Ninachojua kuhusu huyu mzee ni kuwa ana uwezo wa hali ya juu wa kuwafanyia timing CCM. Huyu mzee ni mjanja sana.

CCM wasahau kumng'oa Moshi Mjini.
 
Labda jimbo lingine au Mzee NDESA asigombee,mbona hata 2005 walichanga hela za kumngoa lakini hamna kitu
 
Belo,
Do not underestimate these thugs. Kumwondoa sio lazima iwe through the ballot. Haya majambazi yamekwisha pofushwa na ulafi so they can do anything. Just think of Tarime.
 
tatizo ni kuwa amezeeka sana ana hana uwezo wa kujimudu yeye binafsi wala kazi ya ubunge.nimemuona kama mwezi mmoja ata kutembea hawezi.
 

Kumbe ubunge maana yake ni ufadhili? sikujua kuwa mbunge mzuri ni yule anaetoa pesa mfukoni mwake.
 



Leeelelelee ambaa!
 
Kumbe ubunge maana yake ni ufadhili? sikujua kuwa mbunge mzuri ni yule anaetoa pesa mfukoni mwake.

Au mbunge mzuri ni yule aliye fisadi, asiyejali maisha ya wapigakura wake?

Bw. Masatu kwa hili - kajifikirie upya!
 
lazima uwe na definition nzuri ya neno kukomboa, ukiweka jimbo chini ya himaya ya mafisadi unaita huo ni ukombozi? au wewe unatumia ukombozi hapa kwa maana ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…