jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Wanajamvi,
Naona kama kuna panic ya hali ya juu humu jamvini, ya members wengi maarufu humu mfano Troll JF johnthebaptist, wakidai kuwepo na kikao cha mwenyekiti wa CHADEMA na Membe kuhusu nafasi ya kuiwakilisha chadema kwenye uchaguzi mkuu wa rais mwaka huu Oktoba.
Lakini kwa uelewa wangu, sidhani hata kama wanachosema ni kweli hata kidogo. Kwa vyovyote vile, wana nia ya kuanza kuweka mianya kwa upinzani. Lissu mwenyewe ni mtu anayekipenda chama chake. Hata kwenye issue ya Lowassa kuja, hakujiondoa kwenye chama kama alivyofanya Slaa. Nadhani hata Lissu angejitoa, badala ya risasi, angepewa cheo. Lakini yeye ni muumini wa mabadiliko ya kuiondoa ccm madarakani.
Kwa wale waelewa, tunasubiri kauli ya Tundu Lissu kabla ya kusema mengi ambayo yanaweza kupanda mbegu mbaya itakayoweza kusambaratisha upinzani zaidi.
Naona kama kuna panic ya hali ya juu humu jamvini, ya members wengi maarufu humu mfano Troll JF johnthebaptist, wakidai kuwepo na kikao cha mwenyekiti wa CHADEMA na Membe kuhusu nafasi ya kuiwakilisha chadema kwenye uchaguzi mkuu wa rais mwaka huu Oktoba.
Lakini kwa uelewa wangu, sidhani hata kama wanachosema ni kweli hata kidogo. Kwa vyovyote vile, wana nia ya kuanza kuweka mianya kwa upinzani. Lissu mwenyewe ni mtu anayekipenda chama chake. Hata kwenye issue ya Lowassa kuja, hakujiondoa kwenye chama kama alivyofanya Slaa. Nadhani hata Lissu angejitoa, badala ya risasi, angepewa cheo. Lakini yeye ni muumini wa mabadiliko ya kuiondoa ccm madarakani.
Kwa wale waelewa, tunasubiri kauli ya Tundu Lissu kabla ya kusema mengi ambayo yanaweza kupanda mbegu mbaya itakayoweza kusambaratisha upinzani zaidi.