Wana-CHADEMA waunganishe nguvu, wampumzishe Mbowe kisha waibadilishe na kurekebisha katiba ya chama

Wana-CHADEMA waunganishe nguvu, wampumzishe Mbowe kisha waibadilishe na kurekebisha katiba ya chama

Bams

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
19,362
Reaction score
48,879
Kwenye hotuba yake ya kutangaza kuendelea kuutaka uongozi wa CHADEMA, alisema kuwa kuna watu wanasema Mbowe amechoka, katika kulijibu hilo, akasema kuwa yeye bado ana nguvu, ana uwezo wa kufanya mikutano hadi 8 kwa siku, na kwamba, hao wanaosema amechoka, wamwambie ni nani anaweza kufanya hivyo. Ilikuwa ni kauli ya kushangaza na kuonesha kuwa kweli Mbowe, kiuwezo amechoka.

Kwanza, Mbowe yeye mikutano yake hutumia chopa, wenzake wanatumia magari, wakati wenzake wanatumia muda mwingi barabarani, ikitokea yeye amefika maeneo mengi kuwazidi wanaotumia magari, eti hicho ni kipimo cha yeye kuwa na nguvu!! Kwani anafika maeneo mengi kwa kutumia mbawe zake, hadi ajisifu ana uwezo wa kufika maeneo mengi? Unawanyima wenzako hata pesa ya mafuta, wewe unatumia usafiri wa gharama kubwa kupindukia, halafu unajisifu kuwa una nguvu! Je, hili si dhihirisho tosha kuwa Mbowe amechoka?

Kwa fikra na mtazamo wa Mbowe, tamaa yake ya uchu wa madaraka, itaisha pale mwili wake utapokuwa umegoma kabisa! Yaani asiwe na uwezo hata wa kutembea.

Mbowe amekataa kabisa kuweka muda wa ukomo kwenye uongozi, anadai kuwa ukomo ni pale wananchi watakapomkataa!! Mbowe hata baada ya kukaa kwenye madaraka kwa muda mrefu, ameshindwa ama kwa makusudi au kwa bahati mbaya kuelewa kuwa nchi zote, na taasisi zote zinazoweka ukomo wa madaraka, ni kwa sababu zinatambua kuwa mtu aliyepo kwenye madaraka, ana advantage kubwa au uwezo wa kumanuplate ili aendelee kuwepo madarakani. Kwa hiyo hata kama wananchi hawamtaki, lakini ni vigumu sana kumwondoa ambaye yupo madarakani.

Fikiria Mbowe ashindane na mjumbe wa kamati kuu ambaye hamiliki chochote ndani ya chama zaidi ya utu wake, wakati kwa mfumo wa CHADEMA, kila kitu, mpaka pesa za chama, ni mali ya Mwenyekiti Mbowe, watendaji wote wa chama wa ngazi ya Taifa, ni mali ta Mbowe, anayepanga mishahara yao, anayeamua nani awe mwajiriwa au kibarua wa chama, ni Mbowe; je, unadhani kunakuwa na mazingira sawia ya ushindani?

Anaweza kuondolewa, lakini lazima kuwa na nguvu kubwa ya ziada, tofauti na kwa upande wake.

Mbowe, bila shaka ni wale viongozi wa aiana ya Museveni wa Uganda, Banda wa Malawi au Mugabe wa Zimbabwe. Ni watu wanaotaka, ikiwezekana wafie madarakani, kwao hayo ndiyo mafanikio makubwa na kudhihirisha walikuwa na nguvu mpaka dakika ya mwisho.

WanaCHADEMA, waunganishe nguvu, wampumzishe Mbowe, kisha waibadilishe na kurekebisha katiba ya chama ili kuondoa hii hali mbaya ya sasa wanayokumbana nayo. Tamaa na uking'ang'anizi wa Mbowe, umewasaidia kutambua matobo ya katiba yao.
 
WanaCHADEMA, waunganishe nguvu, wampumzishe Mbowe, kisha waibadilishe na kurekebisha katiba ya chama ili kuondoa hii hali mbaya ya sasa wanayokumbana nayo. Tamaa na uking'ang'anizi wa Mbowe, umewasaidia kutambua matobo ya katiba yao.
Chadema ni mali ya Mbowe kwa Sasa, hakuna wa kumtoa hapo.
 
Mtu mwenye uwezo huo unamuachaje kumpa nafasi? aendelee tu.

Kwa sasa chadema sio chama cha kianaharakati
 
Kwenye hotuba yake ya kutangaza kuendelea kuutaka uongozi wa CHADEMA, alisema kuwa kuna watu wanasema Mbowe amechoka, katika kulijibu hilo, akasema kuwa yeye bado ana nguvu, ana uwezo wa kufanya mikutano hadi 8 kwa siku, na kwamba, hao wanaosema amechoka, wamwambie ni nani anaweza kufanya hivyo. Ilikuwa ni kauli ya kushangaza na kuonesha kuwa kweli Mbowe, kiuwezo amechoka.

Kwanza, Mbowe yeye mikutano yake hutumia chopa, wenzake wanatumia magari, wakati wenzake wanatumia muda mwingi barabarani, ikitokea yeye amefika maeneo mengi kuwazidi wanaotumia magari, eti hicho ni kipimo cha yeye kuwa na nguvu!! Kwani anafika maeneo mengi kwa kutumia mbawe zake, hadi ajisifu ana uwezo wa kufika maeneo mengi? Unawanyima wenzako hata pesa ya mafuta, wewe unatumia usafiri wa gharama kubwa kupindukia, halafu unajisifu kuwa una nguvu! Je, hili si dhihirisho tosha kuwa Mbowe amechoka?

Kwa fikra na mtazamo wa Mbowe, tamaa yake ya uchu wa madaraka, itaisha pale mwili wake utapokuwa umegoma kabisa! Yaani asiwe na uwezo hata wa kutembea.

Mbowe amekataa kabisa kuweka muda wa ukomo kwenye uongozi, anadai kuwa ukomo ni pale wananchi watakapomkataa!! Mbowe hata baada ya kukaa kwenye madaraka kwa muda mrefu, ameshindwa ama kwa makusudi au kwa bahati mbaya kuelewa kuwa nchi zote, na taasisi zote zinazoweka ukomo wa madaraka, ni kwa sababu zinatambua kuwa mtu aliyepo kwenye madaraka, ana advantage kubwa au uwezo wa kumanuplate ili aendelee kuwepo madarakani. Kwa hiyo hata kama wananchi hawamtaki, lakini ni vigumu sana kumwondoa ambaye yupo madarakani.

Fikiria Mbowe ashindane na mjumbe wa kamati kuu ambaye hamiliki chochote ndani ya chama zaidi ya utu wake, wakati kwa mfumo wa CHADEMA, kila kitu, mpaka pesa za chama, ni mali ya Mwenyekiti Mbowe, watendaji wote wa chama wa ngazi ya Taifa, ni mali ta Mbowe, anayepanga mishahara yao, anayeamua nani awe mwajiriwa au kibarua wa chama, ni Mbowe; je, unadhani kunakuwa na mazingira sawia ya ushindani?

Anaweza kuondolewa, lakini lazima kuwa na nguvu kubwa ya ziada, tofauti na kwa upande wake.

Mbowe, bila shaka ni wale viongozi wa aiana ya Museveni wa Uganda, Banda wa Malawi au Mugabe wa Zimbabwe. Ni watu wanaotaka, ikiwezekana wafie madarakani, kwao hayo ndiyo mafanikio makubwa na kudhihirisha walikuwa na nguvu mpaka dakika ya mwisho.

WanaCHADEMA, waunganishe nguvu, wampumzishe Mbowe, kisha waibadilishe na kurekebisha katiba ya chama ili kuondoa hii hali mbaya ya sasa wanayokumbana nayo. Tamaa na uking'ang'anizi wa Mbowe, umewasaidia kutambua matobo ya katiba yao.
Nasikia hapendi kuabika atakapo gundua kwamba ataibika ataaharisha kugombea
 
Kwenye hotuba yake ya kutangaza kuendelea kuutaka uongozi wa CHADEMA, alisema kuwa kuna watu wanasema Mbowe amechoka, katika kulijibu hilo, akasema kuwa yeye bado ana nguvu, ana uwezo wa kufanya mikutano hadi 8 kwa siku, na kwamba, hao wanaosema amechoka, wamwambie ni nani anaweza kufanya hivyo. Ilikuwa ni kauli ya kushangaza na kuonesha kuwa kweli Mbowe, kiuwezo amechoka.

Kwanza, Mbowe yeye mikutano yake hutumia chopa, wenzake wanatumia magari, wakati wenzake wanatumia muda mwingi barabarani, ikitokea yeye amefika maeneo mengi kuwazidi wanaotumia magari, eti hicho ni kipimo cha yeye kuwa na nguvu!! Kwani anafika maeneo mengi kwa kutumia mbawe zake, hadi ajisifu ana uwezo wa kufika maeneo mengi? Unawanyima wenzako hata pesa ya mafuta, wewe unatumia usafiri wa gharama kubwa kupindukia, halafu unajisifu kuwa una nguvu! Je, hili si dhihirisho tosha kuwa Mbowe amechoka?

Kwa fikra na mtazamo wa Mbowe, tamaa yake ya uchu wa madaraka, itaisha pale mwili wake utapokuwa umegoma kabisa! Yaani asiwe na uwezo hata wa kutembea.

Mbowe amekataa kabisa kuweka muda wa ukomo kwenye uongozi, anadai kuwa ukomo ni pale wananchi watakapomkataa!! Mbowe hata baada ya kukaa kwenye madaraka kwa muda mrefu, ameshindwa ama kwa makusudi au kwa bahati mbaya kuelewa kuwa nchi zote, na taasisi zote zinazoweka ukomo wa madaraka, ni kwa sababu zinatambua kuwa mtu aliyepo kwenye madaraka, ana advantage kubwa au uwezo wa kumanuplate ili aendelee kuwepo madarakani. Kwa hiyo hata kama wananchi hawamtaki, lakini ni vigumu sana kumwondoa ambaye yupo madarakani.

Fikiria Mbowe ashindane na mjumbe wa kamati kuu ambaye hamiliki chochote ndani ya chama zaidi ya utu wake, wakati kwa mfumo wa CHADEMA, kila kitu, mpaka pesa za chama, ni mali ya Mwenyekiti Mbowe, watendaji wote wa chama wa ngazi ya Taifa, ni mali ta Mbowe, anayepanga mishahara yao, anayeamua nani awe mwajiriwa au kibarua wa chama, ni Mbowe; je, unadhani kunakuwa na mazingira sawia ya ushindani?

Anaweza kuondolewa, lakini lazima kuwa na nguvu kubwa ya ziada, tofauti na kwa upande wake.

Mbowe, bila shaka ni wale viongozi wa aiana ya Museveni wa Uganda, Banda wa Malawi au Mugabe wa Zimbabwe. Ni watu wanaotaka, ikiwezekana wafie madarakani, kwao hayo ndiyo mafanikio makubwa na kudhihirisha walikuwa na nguvu mpaka dakika ya mwisho.

WanaCHADEMA, waunganishe nguvu, wampumzishe Mbowe, kisha waibadilishe na kurekebisha katiba ya chama ili kuondoa hii hali mbaya ya sasa wanayokumbana nayo. Tamaa na uking'ang'anizi wa Mbowe, umewasaidia kutambua matobo ya katiba yao.
Kwa hoja zako hapo juu nakubaliana na wewe, kamwe haitawekana CCM kutoka madarakani.

Kama ni hivyo hivi vyama vingine vinaleta ulaghai na kuongeza gharama tu maana hawa instruments zozote zile za kuwafanya waje washinde.

Muhimu ni kuwaamini hao wajumbe kuwa wataweza kufanya maamuzi sahihi kwa kuzingatia siasa za sasa. Tuamini pia hakuna kiongozi anaweza wahongo ama kufanya ujanja wowte ule.

Vinginevyo tukiogopa hatuna sababu ya kufanya harakati za kuwatoa waliopo madarakani.
 
Chadema ni mali ya Mbowe kwa Sasa, hakuna wa kumtoa hapo.
Everything is happening for a reason !
Ilibidi hii purukushani itokee ili vilivyo fichika kwa muda mrefu vijitokeze vionekane !
Mwamba Mmoja amesema there is no too late in life !
Ben Haraba 😅👏👍
 
Kwenye hotuba yake ya kutangaza kuendelea kuutaka uongozi wa CHADEMA, alisema kuwa kuna watu wanasema Mbowe amechoka, katika kulijibu hilo, akasema kuwa yeye bado ana nguvu, ana uwezo wa kufanya mikutano hadi 8 kwa siku, na kwamba, hao wanaosema amechoka, wamwambie ni nani anaweza kufanya hivyo. Ilikuwa ni kauli ya kushangaza na kuonesha kuwa kweli Mbowe, kiuwezo amechoka.

Kwanza, Mbowe yeye mikutano yake hutumia chopa, wenzake wanatumia magari, wakati wenzake wanatumia muda mwingi barabarani, ikitokea yeye amefika maeneo mengi kuwazidi wanaotumia magari, eti hicho ni kipimo cha yeye kuwa na nguvu!! Kwani anafika maeneo mengi kwa kutumia mbawe zake, hadi ajisifu ana uwezo wa kufika maeneo mengi? Unawanyima wenzako hata pesa ya mafuta, wewe unatumia usafiri wa gharama kubwa kupindukia, halafu unajisifu kuwa una nguvu! Je, hili si dhihirisho tosha kuwa Mbowe amechoka?

Kwa fikra na mtazamo wa Mbowe, tamaa yake ya uchu wa madaraka, itaisha pale mwili wake utapokuwa umegoma kabisa! Yaani asiwe na uwezo hata wa kutembea.

Mbowe amekataa kabisa kuweka muda wa ukomo kwenye uongozi, anadai kuwa ukomo ni pale wananchi watakapomkataa!! Mbowe hata baada ya kukaa kwenye madaraka kwa muda mrefu, ameshindwa ama kwa makusudi au kwa bahati mbaya kuelewa kuwa nchi zote, na taasisi zote zinazoweka ukomo wa madaraka, ni kwa sababu zinatambua kuwa mtu aliyepo kwenye madaraka, ana advantage kubwa au uwezo wa kumanuplate ili aendelee kuwepo madarakani. Kwa hiyo hata kama wananchi hawamtaki, lakini ni vigumu sana kumwondoa ambaye yupo madarakani.

Fikiria Mbowe ashindane na mjumbe wa kamati kuu ambaye hamiliki chochote ndani ya chama zaidi ya utu wake, wakati kwa mfumo wa CHADEMA, kila kitu, mpaka pesa za chama, ni mali ya Mwenyekiti Mbowe, watendaji wote wa chama wa ngazi ya Taifa, ni mali ta Mbowe, anayepanga mishahara yao, anayeamua nani awe mwajiriwa au kibarua wa chama, ni Mbowe; je, unadhani kunakuwa na mazingira sawia ya ushindani?

Anaweza kuondolewa, lakini lazima kuwa na nguvu kubwa ya ziada, tofauti na kwa upande wake.

Mbowe, bila shaka ni wale viongozi wa aiana ya Museveni wa Uganda, Banda wa Malawi au Mugabe wa Zimbabwe. Ni watu wanaotaka, ikiwezekana wafie madarakani, kwao hayo ndiyo mafanikio makubwa na kudhihirisha walikuwa na nguvu mpaka dakika ya mwisho.

WanaCHADEMA, waunganishe nguvu, wampumzishe Mbowe, kisha waibadilishe na kurekebisha katiba ya chama ili kuondoa hii hali mbaya ya sasa wanayokumbana nayo. Tamaa na uking'ang'anizi wa Mbowe, umewasaidia kutambua matobo ya katiba yao.
Mkuu. Mbowe ni mtu wa maigizo na ndiyo maana ana-tathmini mafanio yake kwa mikutano anayofanya. Hata ufanye mikutano 20 kila siku na watu wawe wanajaa, kama chama hakifanyi vizuri wakati wa uchaguzi au huwezi kubadilisha mindsets za wananchi ni bure. Sana sana utakuwa unapoteza muda tu na pengine wananchi wanakuja kuangalia helkopta. Mafanikio ya chama yanapimwa kwa kukubalika na kuweza kuongoza nchi au kuwa na wabunge wengi. Mbowe anasumbuliwa na hangover ya ulevi wa madaraka.
 
Everything is happening for a reason !
Ilibidi hii purukushani itokee ili vilivyo fichika kwa muda mrefu vijitokeze vionekane !
Mwamba Mmoja amesema there is no too late in life !
Ben Haraba 😅👏👍
Ni kweli. Kama hili lisingetokea tungeendelea kumwita ''mwamba'' na kumlilia ''atuvushe''. Tapeli mkubwa huyu. Sasa naanza kuamini kuwa hata chaguzi za nyuma alikuwa anatuuza.
 
Kwenye hotuba yake ya kutangaza kuendelea kuutaka uongozi wa CHADEMA, alisema kuwa kuna watu wanasema Mbowe amechoka, katika kulijibu hilo, akasema kuwa yeye bado ana nguvu, ana uwezo wa kufanya mikutano hadi 8 kwa siku, na kwamba, hao wanaosema amechoka, wamwambie ni nani anaweza kufanya hivyo. Ilikuwa ni kauli ya kushangaza na kuonesha kuwa kweli Mbowe, kiuwezo amechoka.

Kwanza, Mbowe yeye mikutano yake hutumia chopa, wenzake wanatumia magari, wakati wenzake wanatumia muda mwingi barabarani, ikitokea yeye amefika maeneo mengi kuwazidi wanaotumia magari, eti hicho ni kipimo cha yeye kuwa na nguvu!! Kwani anafika maeneo mengi kwa kutumia mbawe zake, hadi ajisifu ana uwezo wa kufika maeneo mengi? Unawanyima wenzako hata pesa ya mafuta, wewe unatumia usafiri wa gharama kubwa kupindukia, halafu unajisifu kuwa una nguvu! Je, hili si dhihirisho tosha kuwa Mbowe amechoka?

Kwa fikra na mtazamo wa Mbowe, tamaa yake ya uchu wa madaraka, itaisha pale mwili wake utapokuwa umegoma kabisa! Yaani asiwe na uwezo hata wa kutembea.

Mbowe amekataa kabisa kuweka muda wa ukomo kwenye uongozi, anadai kuwa ukomo ni pale wananchi watakapomkataa!! Mbowe hata baada ya kukaa kwenye madaraka kwa muda mrefu, ameshindwa ama kwa makusudi au kwa bahati mbaya kuelewa kuwa nchi zote, na taasisi zote zinazoweka ukomo wa madaraka, ni kwa sababu zinatambua kuwa mtu aliyepo kwenye madaraka, ana advantage kubwa au uwezo wa kumanuplate ili aendelee kuwepo madarakani. Kwa hiyo hata kama wananchi hawamtaki, lakini ni vigumu sana kumwondoa ambaye yupo madarakani.

Fikiria Mbowe ashindane na mjumbe wa kamati kuu ambaye hamiliki chochote ndani ya chama zaidi ya utu wake, wakati kwa mfumo wa CHADEMA, kila kitu, mpaka pesa za chama, ni mali ya Mwenyekiti Mbowe, watendaji wote wa chama wa ngazi ya Taifa, ni mali ta Mbowe, anayepanga mishahara yao, anayeamua nani awe mwajiriwa au kibarua wa chama, ni Mbowe; je, unadhani kunakuwa na mazingira sawia ya ushindani?

Anaweza kuondolewa, lakini lazima kuwa na nguvu kubwa ya ziada, tofauti na kwa upande wake.

Mbowe, bila shaka ni wale viongozi wa aiana ya Museveni wa Uganda, Banda wa Malawi au Mugabe wa Zimbabwe. Ni watu wanaotaka, ikiwezekana wafie madarakani, kwao hayo ndiyo mafanikio makubwa na kudhihirisha walikuwa na nguvu mpaka dakika ya mwisho.

WanaCHADEMA, waunganishe nguvu, wampumzishe Mbowe, kisha waibadilishe na kurekebisha katiba ya chama ili kuondoa hii hali mbaya ya sasa wanayokumbana nayo. Tamaa na uking'ang'anizi wa Mbowe, umewasaidia kutambua matobo ya katiba yao.
Ngoja nimuite muumini wa mlevi wa madaraka True voter
 
Magufuli alikuwa anafanya Mikutano 12 😀

Nilishuhudia Kutoka Masasi hadi Rufiji alifanya Mikutano 16 Siku moja

Na Kutoka Kahama hadi Manyoni Mikutano 14 Siku moja

RIP Shujaa Magufuli 🌹
Kinacho fanyika CHADEMA sasa ikiwa TL atashinda na kweli akafanikiwa kubalisha katiba ikawa ya weledi , basi ndicho kinacho takiwa kufanyika CCM ili tupate mtu atayr weka utaifa kwanza atuletee katiba mpya yenye nia njema ya kulipeleka taifa hili mbele kiuchumi na kisiasa badala ya lukatiba hili la hovyo linalo fuga wezi,walarushwa na mafisadi na lina leta miungu watu
 
Kwenye hotuba yake ya kutangaza kuendelea kuutaka uongozi wa CHADEMA, alisema kuwa kuna watu wanasema Mbowe amechoka, katika kulijibu hilo, akasema kuwa yeye bado ana nguvu, ana uwezo wa kufanya mikutano hadi 8 kwa siku, na kwamba, hao wanaosema amechoka, wamwambie ni nani anaweza kufanya hivyo. Ilikuwa ni kauli ya kushangaza na kuonesha kuwa kweli Mbowe, kiuwezo amechoka.

Kwanza, Mbowe yeye mikutano yake hutumia chopa, wenzake wanatumia magari, wakati wenzake wanatumia muda mwingi barabarani, ikitokea yeye amefika maeneo mengi kuwazidi wanaotumia magari, eti hicho ni kipimo cha yeye kuwa na nguvu!! Kwani anafika maeneo mengi kwa kutumia mbawe zake, hadi ajisifu ana uwezo wa kufika maeneo mengi? Unawanyima wenzako hata pesa ya mafuta, wewe unatumia usafiri wa gharama kubwa kupindukia, halafu unajisifu kuwa una nguvu! Je, hili si dhihirisho tosha kuwa Mbowe amechoka?

Kwa fikra na mtazamo wa Mbowe, tamaa yake ya uchu wa madaraka, itaisha pale mwili wake utapokuwa umegoma kabisa! Yaani asiwe na uwezo hata wa kutembea.

Mbowe amekataa kabisa kuweka muda wa ukomo kwenye uongozi, anadai kuwa ukomo ni pale wananchi watakapomkataa!! Mbowe hata baada ya kukaa kwenye madaraka kwa muda mrefu, ameshindwa ama kwa makusudi au kwa bahati mbaya kuelewa kuwa nchi zote, na taasisi zote zinazoweka ukomo wa madaraka, ni kwa sababu zinatambua kuwa mtu aliyepo kwenye madaraka, ana advantage kubwa au uwezo wa kumanuplate ili aendelee kuwepo madarakani. Kwa hiyo hata kama wananchi hawamtaki, lakini ni vigumu sana kumwondoa ambaye yupo madarakani.

Fikiria Mbowe ashindane na mjumbe wa kamati kuu ambaye hamiliki chochote ndani ya chama zaidi ya utu wake, wakati kwa mfumo wa CHADEMA, kila kitu, mpaka pesa za chama, ni mali ya Mwenyekiti Mbowe, watendaji wote wa chama wa ngazi ya Taifa, ni mali ta Mbowe, anayepanga mishahara yao, anayeamua nani awe mwajiriwa au kibarua wa chama, ni Mbowe; je, unadhani kunakuwa na mazingira sawia ya ushindani?

Anaweza kuondolewa, lakini lazima kuwa na nguvu kubwa ya ziada, tofauti na kwa upande wake.

Mbowe, bila shaka ni wale viongozi wa aiana ya Museveni wa Uganda, Banda wa Malawi au Mugabe wa Zimbabwe. Ni watu wanaotaka, ikiwezekana wafie madarakani, kwao hayo ndiyo mafanikio makubwa na kudhihirisha walikuwa na nguvu mpaka dakika ya mwisho.

WanaCHADEMA, waunganishe nguvu, wampumzishe Mbowe, kisha waibadilishe na kurekebisha katiba ya chama ili kuondoa hii hali mbaya ya sasa wanayokumbana nayo. Tamaa na uking'ang'anizi wa Mbowe, umewasaidia kutambua matobo ya katiba yao.

Mimi toka ujio wa Lowassa kwa njia ya vodafasta ndani ya cdm, nilikata shauri la kumkataa Mbowe kama mwenyekiti wa cdm. Kwa mshagao wangu 2019 akagombea uenyekiti tena huku kelele zikiwa nyingi kuhusu cheo chake. Akatumia uwepo wa Magufuli kuhadaa watu kuwa ndio anayemuweza, japo alikuwa na aibu kwa mbali, akasema 2024 hatagombea tena. Cha ajabu jana kachukua fomu na kusema ni mitano ya mwisho ili atoke akiwa kiumri sawa na mzee Makani ama Mtei! Anataka kuonyesha umri wa miaka 65+ ndio SI Unit ya kuachia uenyekiti.

Huenda hizi tetesi kuwa Mbowe anatumika na dola ni za kweli, ama ameshindwa kusoma alama za nyakati. Ukweli ni kuwa hata kama Mbowe atashinda huo uenyekiti,hana uwezo tena kwa kuamsha ari ya wafuasi wa cdm kama ilivyokuwa huko nyuma. Na ataviziba mdomo vyama vya upinzani kuibana ccm kwenye demokrasia.
 
Kwenye hotuba yake ya kutangaza kuendelea kuutaka uongozi wa CHADEMA, alisema kuwa kuna watu wanasema Mbowe amechoka, katika kulijibu hilo, akasema kuwa yeye bado ana nguvu, ana uwezo wa kufanya mikutano hadi 8 kwa siku, na kwamba, hao wanaosema amechoka, wamwambie ni nani anaweza kufanya hivyo. Ilikuwa ni kauli ya kushangaza na kuonesha kuwa kweli Mbowe, kiuwezo amechoka.

Kwanza, Mbowe yeye mikutano yake hutumia chopa, wenzake wanatumia magari, wakati wenzake wanatumia muda mwingi barabarani, ikitokea yeye amefika maeneo mengi kuwazidi wanaotumia magari, eti hicho ni kipimo cha yeye kuwa na nguvu!! Kwani anafika maeneo mengi kwa kutumia mbawe zake, hadi ajisifu ana uwezo wa kufika maeneo mengi? Unawanyima wenzako hata pesa ya mafuta, wewe unatumia usafiri wa gharama kubwa kupindukia, halafu unajisifu kuwa una nguvu! Je, hili si dhihirisho tosha kuwa Mbowe amechoka?

Kwa fikra na mtazamo wa Mbowe, tamaa yake ya uchu wa madaraka, itaisha pale mwili wake utapokuwa umegoma kabisa! Yaani asiwe na uwezo hata wa kutembea.

Mbowe amekataa kabisa kuweka muda wa ukomo kwenye uongozi, anadai kuwa ukomo ni pale wananchi watakapomkataa!! Mbowe hata baada ya kukaa kwenye madaraka kwa muda mrefu, ameshindwa ama kwa makusudi au kwa bahati mbaya kuelewa kuwa nchi zote, na taasisi zote zinazoweka ukomo wa madaraka, ni kwa sababu zinatambua kuwa mtu aliyepo kwenye madaraka, ana advantage kubwa au uwezo wa kumanuplate ili aendelee kuwepo madarakani. Kwa hiyo hata kama wananchi hawamtaki, lakini ni vigumu sana kumwondoa ambaye yupo madarakani.

Fikiria Mbowe ashindane na mjumbe wa kamati kuu ambaye hamiliki chochote ndani ya chama zaidi ya utu wake, wakati kwa mfumo wa CHADEMA, kila kitu, mpaka pesa za chama, ni mali ya Mwenyekiti Mbowe, watendaji wote wa chama wa ngazi ya Taifa, ni mali ta Mbowe, anayepanga mishahara yao, anayeamua nani awe mwajiriwa au kibarua wa chama, ni Mbowe; je, unadhani kunakuwa na mazingira sawia ya ushindani?

Anaweza kuondolewa, lakini lazima kuwa na nguvu kubwa ya ziada, tofauti na kwa upande wake.

Mbowe, bila shaka ni wale viongozi wa aiana ya Museveni wa Uganda, Banda wa Malawi au Mugabe wa Zimbabwe. Ni watu wanaotaka, ikiwezekana wafie madarakani, kwao hayo ndiyo mafanikio makubwa na kudhihirisha walikuwa na nguvu mpaka dakika ya mwisho.

WanaCHADEMA, waunganishe nguvu, wampumzishe Mbowe, kisha waibadilishe na kurekebisha katiba ya chama ili kuondoa hii hali mbaya ya sasa wanayokumbana nayo. Tamaa na uking'ang'anizi wa Mbowe, umewasaidia kutambua matobo ya katiba yao.
Mkuu Bams,
Huyo Mbowe afanye mikutano 8 anayosema au afanye mikutano 20 kwa siku...siyo issue. Issue ni nani atakayekaenda msikiliza Mbowe wakati watu washang'amua yeye ni kiyoyozi cha kuzima fukuto la upinzani wenye afya? Na hilo Mbowe analijua fika ila anafanya kusudi kwa vile yuko kazini...kuua hamasa ya watu kuishikisha adabu ccm isiyowajibika
 
Back
Top Bottom