Wana Dar Young's wenzangu njooni tujadiliane maandalizi ya kutwaa kombe

Mimi nilitegemea mtaitana kwa ajili ya kuendeleza ujasiliamali wa ufugaji kamabare, samaki, uvuvi, mashindano ya uogeleaji na mashidano ya kuendesha ngalawa na mtumbwi kabla ya msimu wa mvua kuisha.
Ni ushauri tu. Jadilini uwekezaji ndugu zangu.
Pia hao wanaolala hapo nje ya jengo wanachafua sana mazingira kiasi cha kutoa kinyaa. Wanaanika malapulapu yao kwenye kuta.
Mkileta ubishi hapa natumbukiza picha za mazingira ya ofisi yenu. Nendeni kafanye usafi pamoja na kupiga Rangi jengo.
 
Ya msimu tu hayo.. 🙂 🙂
 
Lakini wamitega nyavu vizuri, kambare wote walioko uwanjani hatatoka hata mmoja. Wanaweza kwenda Uza na kuongeza kipato kwa club.
 
Wewe nenda katafute bakuli mpite mitaani kukusanya 14b za kumlipa Moooooo

Klabu inaendeshwa na wahuni hawajui hata maana ya mkataba, leo hii wewe ndio wa kutushauri sisi.



Hapa mtu hawezi hata kuanika chupi yake, maana chupi ndio itachafuka
 
Wewe nenda katafute bakuli mpite mitaani kukusanya 14b za kumlipa Moooooo

Klabu inaendeshwa na wahuni hawajui hata maana ya mkataba, leo hii wewe ndio wa kutushauri sisi.



Hapa mtu hawezi hata kuanika chupi yake, maana chupi ndio itachafuka
Kwa hiyo wewe kuanika chupi kwenye ofisi za club ndio sahihi? By the way, matatizo na yanga na SIMBA hayatofautiani. Wanabadilishana misimu tu.
Ila frankly speaking, jengo ni chafu na linaongezewa uchafu na malapulapu.
 
Yanga na SIMBA wote wanaendesha club kwa mabakuli. Hakuna uwekezaji wowote wa clubs. Katika hili wote dugu moja
 
Kwa hiyo wewe kuanika chupi kwenye ofisi za club ndio sahihi? By the way, matatizo na yanga na SIMBA hayatofautiani. Wanabadilishana misimu tu.
Ila frankly speaking, jengo ni chafu na linaongezewa uchafu na malapulapu.
Hivi jengo la yanga na simba lipi chafu..
 
Kesho inshaallah tukutane uwanjani kushuhudia mechi yetu ya kutupatia ushindi
 
Mbona ndoo tunachukua asubuhi kweupeee. Sio wale wanaotaka kimataifa wakati wanapigwa bao ndani ya dk.0
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…