Wana Gangilonga mpo?

Wana Gangilonga mpo?

dah, enzi ya mzee kabongo, samwel sitta, gen. Lupogo! Nilipiga buku pale na kina steven kibasa, emanuel luvinga, imani mzungu, mabrouk kina huwel, samel sitta jr, damian masasi enzi za teacher Hassan ukipelekwa uwanja wa damu umekwisha. Rip mwl. Dule, mama mwakajila aunt yangu jamani, kina shambe, abdul masoli, du long time.


Shambe wapo ila wamekuwa 'VYA-POMBE" Mama yao ndio tajiri mkubwa pale ana-miliki ghorofa refu kuliko yote Iringa...
 
duh, inawezekana tulikuwa wote lakini niliondoka 1983, namkumbuka rafiki yangu Godfrey mbwilo
LAT hili jina la Godfrey Mbwilo nalikumbuka alikuwa anakaa wapi kwa pale Iringa,By the way Mercy Sanga hivi sasa ndi Mariedo wa Iringa ana duka kubwa la nguo opposite na ilipokuwa BAKWATA Dispensary...
 
LAT hili jina la Godfrey Mbwilo nalikumbuka alikuwa anakaa wapi kwa pale Iringa,By the way Mercy Sanga hivi sasa ndi Mariedo wa Iringa ana duka kubwa la nguo opposite na ilipokuwa BAKWATA Dispensary...

mkuu. nimeishaisahau iringa kabisa
 
na wewe tusker baridi umekula chumvi kumbe! Kh kh kh kh! Mie tulikwa ma-LY (last year-std 7) mwaka 1993!
 
na wewe tusker baridi umekula chumvi kumbe! Kh kh kh kh! Mie tulikwa ma-LY (last year-std 7) mwaka 1993!

Ni kweli kabisa nimekula CHUMVI SANA na NIMEKOSWA KOSWA na MISHALE MINGI... Mwaka 1993 Nilikuwa Chuo...
 
Gangilonga naikumbuka sana.namkumbuka sana mwl hassan(m'baku) na uwanja wa damu,gombe sugu.acha kabisa ilikuwa balaa yule mwalimu.nawakumbuka mwl kyambile,mwakalalile,matembo,mfilinge na wengine wengi.wanafunzi niliosoma nao mimi ni shambe,julius ngatunga,sanura nurdin(mtt wa DD wa gangilonga),christina mwakangale,halima,nyamizi bila kumsahau wende jacob nyimbo,lista kulanga,doto na kulwa,catherine,judith beshobeza na wengine wengi.tulikuwa tunaenda sana jiwe gangi kula matunda pori.i real remember those times.kweli wakati ni moshi
 
Gangilonga naikumbuka sana.namkumbuka sana mwl hassan(m'baku) na uwanja wa damu,gombe sugu.acha kabisa ilikuwa balaa yule mwalimu.nawakumbuka mwl kyambile,mwakalalile,matembo,mfilinge na wengine wengi.wanafunzi niliosoma nao mimi ni shambe,julius ngatunga,sanura nurdin(mtt wa DD wa gangilonga),christina mwakangale,halima,nyamizi bila kumsahau wende jacob nyimbo,lista kulanga,doto na kulwa,catherine,judith beshobeza na wengine wengi.tulikuwa tunaenda sana jiwe gangi kula matunda pori.i real remember those times.kweli wakati ni moshi

Matunda pori ni MITOO na MISASATI ama sio... Wewe umesoma na mdogo wangu kwani Nyamizi na Wende nawakumbuka sana...
 
clement kiwia yupo wapi, tulikuwa tunakaa opposite pale karibu na TANCUT

Kwenye uwanja wa redcross, mimi nilikuwa nagholofa ya kinondoni clemence mara ya mwisho tulikutana dar akiwa engeneer wa ndege.
 
Gangilonga imebalika sana,wamekata miti.Vumbi mtindo moja.
Tukumbushane highlands pia.Mnakumbuka karani mnoko Hamisi Aka mwalimu hamisi?

Tehe! Hasan bado yupo Highlands kazeeeka, chodota kawa mkulima, chodri sijui yuko wapi, Mwalimu Masims alitangulia mbele ya haki.
 
Jamani Mwalimu Hellen wa Gangilonga...wakati huo alikuwa anakaa kati ya mtaa wa nyuma ya Chuo cha afya na ile silo ya NMC yuko wapi "alikuwa Mrembo saaana..."
 
Kwenye uwanja wa redcross, mimi nilikuwa nagholofa ya kinondoni clemence mara ya mwisho tulikutana dar akiwa engeneer wa ndege.

Wee Calist weee mbona HUSOMEEEKI??? Fafanua... redcross,gholofa Kinondoni,Clemence na eti engeneer YALLAH ulisoma Mlandege,Ndiuka au Shule ya msingi Kitanzini???
 
Back
Top Bottom