Elections 2010 Wana Igunga jitokezeni kwa wingi siku ya kupiga kura

Elections 2010 Wana Igunga jitokezeni kwa wingi siku ya kupiga kura

gibberish


Dont argue with a fool people may never notice what!

Anyway I have gone through something of your just trying to see out if your someone of his mind. I always respect people from the tribe of the name you hold,cause I belive they are intellectual, brave and free mind people but on you I hold my appreciation as the word on red above fits the level of yours in understanding and analysing issue.

I hope your not one of my level kind of generation, your kind of those young boys [Balisya] special for taking care of goats around litongo or mwitongo.
 
[video]http://www.youtube.com/user/chadematv?blend=12&ob=5#p/u[/video]

kwa kampeni iliyoenda shule namna hii mkipigia CCM hiyo tarehe 2 basi mganga wenu wa kuwaganga ulozi atakuwa amekufa!
 
Wanaigunga kuiweka serikali pembeni ni kuifundisha tukiwapa kura imekura kwetu watajihakikishia ufisadi hiki chama ni mafisadi kwa kweli
 
kama wana Igunga mnataka CCM iwaheshimu na kuwasikiliza basi jumapili musiipigie kura CCM mukichague chama kingine
ili CCM iwaheshimu na kuwasilikiliza ila mkifanya kosa ya kuendelea kuwachagua kama mnavyofanya miaka yote tangu uhuru

CCM itawadharau kama inavyowadharau wengine ktk majimbo mengine wanayoyashikilia na kuwaweka nyie ktk kundi la wateja wao mnataka CCM iwanyenyekee, iwasikilizeni ktk shida zenu na iwaheshimu basi jumapili ni siku ya kuifundisha CCM somo.

jifunzeni kwenye majimbo mengine watu wanalia hawana maji wala umeme na nyie mtakuwa mmejitumbukiza humo humo mkiendelea kulia hiyo ndio chance pekee mliyonayo musiipoteze.
 
Bora mkuu umewakumbusha! Hivi kwann watz tunakuwa wepesi wa kusahau!!? Utamuona raia kwa sura kama yu thabiti kiakili lakini anamuona mwanae anafuata maji 3km, sukari ndani hamna, umeme hamna kijiweni kwake halafu yuko mtaani anaisifu ccm kwamba wamempa tishirt na kofia za kijani!

Watz tunaelekea wapi jamani mbona hatujitambui!!? Aakhhh!
 
ilikuwa masiku sasa imebaki siku moja kabla wakazi wa mji wa igunga hawajafanya maamuzi ya kumchagua mbunge wao ambapo mchuano mkali upo kati ya CUF na CCM lakini mwelekeo unaonyesha CUF wataibuka washindi kwa kuwa inakubalika sana katika tarafa mbili kati ya nne tarafa ya SIMBO kwao na mgombea na tarafa ya IGURUBI, tarafa ya CHOMA CCM inakubalika ikifuatiwa na CDM tarafa ya igunga mjini inakubalika CDM ikifuatiwa na CUF.

Mkigoma ni mmoja niliye katika timu ya kampeni za CUF.
 
Wewe Mtatiro acha propaganda za kijinga.Wewe kazi yako ni kuripoti uongo kuhusu ccm na ccm b.Hatujasahau uliporipoti kuhusu kuwasili helkopta 2 za ccm kumbe ni uongo.

Tena bila aibu ulisema umeshuhudia kwa macho yako mawili. Nani atakuamini tena? Kajipange upya.
 
tarafa ya igunga mjini kuna wapiga kura 30000 na tarafa za vijijini ni 140000
 
Back
Top Bottom