Wana-Intelligence naomba mnisaidie ili niwe Mwana-Intelligence niliyekamilika

Namba 1. Napingana nayo, labda uwe unaishi uswazi na huna usafiri
 
Upo vizuriiii ongezeaaa point zingine
 
Mkuu hupaswi kuwa mwana intel kwa kuwa ni mwepes sana wa kuandika mambo ya kiintel mitandaon hivyo bas ikiwa kweli utapata unachotafuta ni wazi kuwa utakuja tena jukwaan na kutoa asante hata kuandika yale yanayofanyika lkn pia naamin kuna kitu unakitafuta kupitia JF kujua uelewa wa jf members kuhusu ujasusi si ndio!!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapana hii ni elimu na kila mmoja anajifunza hapo kama mimi mengi nmeyajua
 
Aisee kila la kheri mkuu nakutakia mafanikio mema[emoji86]
 
Points zingine ni:-

*Jua kudanganya na usisahau na Ujue mtu kama anakudanganya

*Kuwa na kumbukumbu nzuri katika mambo yako au kuwa na schedule nzuri ya life yako.

.*Jaribu kubadilika badilika mfano: kama unaenda sehem wasiyo kujua unaweza ukavaa miwani /mzuraa n.k

*Katika matumizi yako ya simu ukifanya chatting na mtu yoyote clear all text zote ulizochat watsap na text za kawaida kama ni fb usipost kila kitu unachokifanya katika daily life ukiweza kabisa tumia picha za mtu mwingine zisiwe zako.

*Jitahidi kuongeza Marafiki nacho ni kitu mhimu sana sana cheka na watu lakin hakikisha hawajui profile yako ya maisha

*Tumiaa/kuwa na majina matatu tofauti tofauti mfano: jina lako hailisi ni JOFREY unaweza ukajiita Ryan,Jeff, au Rodri

Ni hayooo tuuuu
Source lifehack.com/how to be intelligence
 
-Unaposafiri hakikisha hakuna mtu anayejua kama hakuna ulazima wa kufanya hivyo..

-ila la kutokuwa na njia moja ya kwenda na kurudi nyumbani nalifanya pia, vile vile kutokuwa na muda maalum

-usizoee kula sehemu moja peke yake
Safi ni somo zuri kuwa na tahadhari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…