Wana-Intelligence naomba mnisaidie ili niwe Mwana-Intelligence niliyekamilika

Wana-Intelligence naomba mnisaidie ili niwe Mwana-Intelligence niliyekamilika

1 ninapo toka nyumbani sina njia maaulumu ya kupita wala sina muda maalumu wa kurudi nyumbani.

HAPA SAHIHI KABISA

2 na ninapo kuwa njiani sitembei mwendo wa taratibu naogopa watu wanaweza kuniona ni mdhaifu.

HII SI KWELI. MWENDO HUTEGEMEANE NA EVENT OR JAMBO UNALO TAKA KUFANYA. UKIWA NA HARAKA NENDA FASTA. UKIWA WATAKA KUFATILIA KITU KWA MAKINI NENDA SLOW HUKU UKICHUKUA TAARIFA

3 kama nilikuwa nakula chakula ikitokea dharula yoyote na nikiludi tena hicho chakula sili.
HII INATEGEMEA NA SEHEMU ILIYOPO. PIA KUNA SOMETIMZ UNATAKIW UNUNUE TRUST YA ADUI ZAKO. WAKU UNDER ESTIMATE ILI WASIWE MAKINI SANA NAWE, sometimez unatakiwa ku risk ili kupata jambo kubwa zaidi.

4 sitaki kufuatilia mambo ambayo hayanihusu.

KUNA KIPIND WATAKIWA JUA KILA MTU ANAEKUZUNGUKA INDETAILS. JENGA TABIA YA KUSHIKA NA KUKUMBUKA KILA KITU UKIONACHO FROM THE FIRST SIGHT. KWAMBA HATA UKIPITA NJIAN ULION KIBAO CHEKUNDU KUMBUKA HILO.

MHUDUMU ALIYE KUHUDUMIA NAME TAG KUMBUKA.

Yaan kuzungukaz jua na kuwa makini.


KWA KIFUPI WEWE. WATAKA NJIA ZA KUJIHAMI USIDHURIKE, USALAMA NI ZAIDI YAHIVYO. INTELEGENC PIA INAMBINU ZA KUWEKA KUCHUKUA INFO KIUSAHIH NA KUJENGA OUTCOME UNAYO TAKA.

KWA KUONGEZEA TU.

Jifunze body language na microexpresion.
Kuwa na ABC za self defence.
Jifunze kutumia akili yako sana kuchanganua hisia zako, sio unaenda tu.
Pia jua binadam ni dynamic so hubadilika na akili mpya ya kukudhuru hubun so nawee usikalil mbinu bali buni. Develop za kwko kulingana na mazngira.

Lastly develop sense kali, kuna njia nyingi sana. Meditation, madawa etc BUT THE BEST NI KUKAA VEMA NA MUNGU...


Hayo ni some tu
Hiyo mkuu ya kudevelop sense kali inawezekana ukafanyaje
 
KIBINAADAM HATA YESU NI MWANA INTELLIGENCE,KWANI ALIISHI HIVYO,ALIWAJUA MAADUI ZAKE WOTE KABLA WAO KUMJUA,ALIISHI KUFUATA MISINGI ISIO YUMBA,HAKUWAI KUWA KIGEUGEU WA TARATIBU ALIZO JIWEKEA.ALIKUWA MTAFITI MPAKA AKAJUA KIFO CHAKE .NA ALIJUA HATA MARAFIKI WAKE WAKWELI NI WAPI NA WAONGO AU MSALITI NI YUPI.HUYU NI MWANA INTELLIGENCE NO 1 IN THE WORLD ( JESUS)
 
Oooh. Good boy
Sasa anza hivi
Jifunze vitu vyote mpaka wewe mwenyewe ujijuwe yaan ufaham mpaka mgongoni kwako kuna nn kamaa ni doa au kovu mpaka vile vi ng'ombe cc wasukuma tunaita hvyo ujue kama vipo

Then wajue watu wako then anza sasa usoma na kuandika

1.Intelligence kwako Fanya hivi
(A) Jifue ktk mapigano ya bila silaha
(B) Jifunze vile vitu unavyo vijua kabisa huviwezi mpaka uviweze, MF kwenda ofisI ya mkuu wa mkoa kuulizia nafasi yake juu yako lkn hii ingependeza zaidi uwe DSM, Kagera,kigoma,katavi,rukwa kidooogo na Arusha.
(C) penda kuwachallenge ma soldier, police,magereza,migambo na wazee walio staaf humo.Hii itakusaidia kuongeza kujiamini maana mf ukimkuta polisi anazurula muulize unaenda wapi na usimuogope maana ukiogopa utaabika na ukikaza yeye ndio utamuaibisha alafu kwenye somo utakuwa umeongeza kitu na hapo utakuwa unaqnza kupata uelewa wa kiutambuzi.
(D) Anzisha urafiki na WAHUNI,MALAYA,MATEJA,WAVUTABANGI,NA WATU WAKOROFI.hii itakusaidia kupambanq na changamoto za kiintelligencia mf hapa utajua taarfa ndogondogo na mapungufu ya idara zinazo operate hapo pia utapata uzoefu wa uhalifu na mapungufu ya hapo ulipo utapata taarifa za kiintelligencia na iweke sawa bongo yako kutafsili fasihi simulizi zilizopo hapo sabbu ktk wavutabangi10,2-4 ni maafisa wa serikali eg.police,wazee wa ndichi nk.
Pia utapata ujuzi namba ya kuescape na utapata ramani za utorokaji.
(E) Jifunze kusamehe,kunyamaza,kupuuza na kudarau bira ya kujulikana kila usisahau kujifunza kucheka na kuongea upuuzi.

(F) anza kununua nguo,viatu,soks,kofia tafauti tafauti lakini pia usisahau kunyoa mitindo tafauti ya nywele ndevu na nyuc kwa kina dada.lakini usisahau kudumu ktk mtindo moja wa mavazi na mitindo ya nyuc,nywele.

(G) Jifunze utulivu wa akili hapa nipo kwenye uvumilivu mf usimuache kila mwanamke,rafiki,jamaa,Bodaboda & tax& daladala.

(H) Anza kula kila kitu

(I) Kumbuka kukumbuka vyote ktk maisha yako..............


(J)Usisahau kusahau vyote ulivyo pitia????

2.Anza rasmi kujifua kk intelligence.
Jipe ziara hata kwenda stendi kumsubiria James bond huenda anakuja
Anza kuzurula kila kona kuutambua mjini barabara,njia chochoro bar guest club vijiweni masokoni na vitu vyote vinavyo tumika kwa wingi.
Anza kumtazama MTU maramoja na usipende kugonganisha na watu macho kwa muda mrefu lkn usisahau kumfaliliaanaye kutazama kwa makini.
Usipuuze mtu anaye kuuliza lkn usisahau kutomjibu hata kama unajua pia simaanishi usijibu,mf dah we jamaa unaonekana mjanjamjanja sana,jibu ndio mie ni mtoto wa mjini lkn usisahau kutambua kakuuliza upo makini sana hata kama hakumaanisha.
Jifunze kijiongelea mwenyewe na kujikosoa pia usisahau kupaza sauti kimoyomoyo.
.Nb: mwaka juzi nilienda uhamiaji some where kufatilia passport yangu nilihitaji kufika pahala Fulani kwa masuala yangu Fulani Fulani.
Movie ilikua hivi
Nilifika getini saa 3:14 palikuwa na watu wawili na mmoja alikua anajiandikisha hivyo eneo husika walikuwa watu watatu ambao niliwatambua kwa moja alivaa shati ya blue kama bahali Fulani(Mimi sio mtaalam wa Rangi) na suruali ya blue viatu vyeusi kama hivi tunavyo vaaga tukienda kwa gwajima j2 ballet aliiweka mezani na alionekana mtu ambaye sio makini eneo la kazi namaanisha hakuwa anafatilia kila kitu japo alikua getini,ndani ya kibanda kidogo ukianza kuingia eneo LA uzio wa kama viwanja vinne vya 35×35,MTU mwingine ni huyu mvaa suit ilikuwa nyeusi safi smart ni MTU wa makamu ya miaka 40-45 pia nilimtambuwa ni afisa wa idara kati ya polisi,magereza,na uhamiaji pia nilimtambua ni uhamiaji.nb sina kosea hapo we endelea utanielewa2,kilicho nifanya nimtambuwe ni uzungumziaji wake wa vyeo vya mkaguzi(inspector), (mrakibu)assistant nk tuishie hapo kwa Leo. Wazee simnajua movie la kihindi hili na muziki! Ndani,mtu wa mwisho alikua kijana wa age ya28-32 alikua akijiandikisha nilimtambua kwa kina la Mohammed Ally....... Kisha .......
Nilipo ingia ndani kujiandikisha niliuliza swali moja tu .Sali waheshimiwa ivi napataje passport
Jibu. Kutoka kwa Mzee wa misifa na suti nenda ndani dirishani watakupa muongozo lkn usisahau kuna kutuambia wamekwambiaje?.
Mimi OK. Jumla eneo husika nilitumia dakka kama 12-20.

Reception
Officer karibu kk
Me. Asante naomba kufahamu upatikanaji wa passport nahitaji kusafiri nnje ya nchi
Of. Kuna form lkn kablaya yote unahitaji kwenda wapi na kufanya nn link he una ticket? mwenyeji wako nani na umejipangaje.
Me. Jibu lilikua easy sana kwani hayo yote wewe yanakuhusu Mimi.
Of. Kaka mi nadhani huwezi kupata passport usifikirie passport tunatoatoatu.
Me. Dada kwani we ni nani mpaka u niambie hivyo kwani anaye toa passport ni nani na kwann useme siwezi kuipata mi naihitaji tena fasta kabla sijacharuka hapa nb.nilikua tayali Nina bidhaa kadhaa za kulevya kwa kichwa.
Of.ha ha ha ha njee kk umetumwa wewe sio bure Mimi ndio nazipitisha kabla ya hatua zinazo fata
Me. Akilini huyu anahitaji watu wa mkono mrefu sio Mimi mwenye mkono wa kaushi.jibu ahaa sasa Dada tatizo huku sema mapema mi nimeona umevaa kiraia nikaona rabda ulikuwa unafutafuta vumbi hapo kwenye desk ya wazee
Of.OK ila ninacho kina kama huto niaribia simu yangu basis utanichekesha sanaleo chukua form hii inamaelezo yaliyo jitosheleza kila usipo elewa namba yangu hii akaandika kwa karatasi nyingine nikapewa naitwa Naomi karibu tena naomba uende ukapumzike uijaze taratibu sawa kk
Me.OK kazi njema mtoto mzuri .
Tukio LA kama nusu saa so tufanye dkka 35 si nilikuta watu kwa bench.
Mie nnje nikasaini sikuongea na mtu yule Dada akaniuliza vipi mbona unaonekana umekasirika mi nikamjibu ukicheka muda wote lazma uonekane lofa Dada kwahtlyo unaenda wapi. Mi nilomjibu tu nilipotoka mda hyo nipo mlangoni.(Ni kwasabbu yako mtoa madam kama ni muelewa utatambua vithu nilivyo kuelekeza hapo juu vinavyo nisaidia). Out of tpc.

Kk intelligence ni nnje ya macho,masikio,ngozi yako ulimi wako namaanisha kutambua kama umewekewa sumu kwenye chakula ili utambue sio mpaka uonje.

Nakuahidi hutojuta ukivijua hivyo vitu




WADAU SAMAHANINI SANA

ELIMU YANGU NDIO IMECHANGIA KUANDIKA BILA FORMULA.ila tumeelewana
 
-Unaposafiri hakikisha hakuna mtu anayejua kama hakuna ulazima wa kufanya hivyo..

-ila la kutokuwa na njia moja ya kwenda na kurudi nyumbani nalifanya pia, vile vile kutokuwa na muda maalum

-usizoee kula sehemu moja peke yake
point yako ya kwanza kawaida yangu,ndg zangu hii hali washaizoea kabsa
 
*usipende kuwa mwongeaji sana mbele za watu, kuwa msikilizaji zaidi

*Usielezee mambo yanayokuhusu kwa mtu ambaye si lazima ajue

*jitahidi kuwajua watu wanaokuzunguka mahali unapoishi ni watu wa namna gani/wanajihusisha na nin
*Usikae eneo moja zaidi ya dakika 10 ikiwa hakuna ulazima/umuhimu wa kuwa hapo
*Maeneo unayokuwa umekaa (ktk mikusanyiko, bar, club, hotel etc) hakikisha umeshajua pakutokea kwa haraka bila kudhurika endapo tukio lolote litatokea

*ukitumia chombo cha moto, kabla ya kushuka hakikisha umepaki kwa mtindo wa mwondoko (kuelekea mbele unapotokea) hii itakusaidia kuondoka kwa haraka inapotokea dharula hasa inayotishia usalama wako
NOTE: isipokuwa maeneo ambayo hawaruhusu kupaki ktk mtindo wa mwondoko mfano Bank
*PATA MAFUNZO YA SELF-DEFENSE
asante mkuu
 
Oooh. Good boy
Sasa anza hivi
Jifunze vitu vyote mpaka wewe mwenyewe ujijuwe yaan ufaham mpaka mgongoni kwako kuna nn kamaa ni doa au kovu mpaka vile vi ng'ombe cc wasukuma tunaita hvyo ujue kama vipo

Then wajue watu wako then anza sasa usoma na kuandika

1.Intelligence kwako Fanya hivi
(A) Jifue ktk mapigano ya bila silaha
(B) Jifunze vile vitu unavyo vijua kabisa huviwezi mpaka uviweze, MF kwenda ofisI ya mkuu wa mkoa kuulizia nafasi yake juu yako lkn hii ingependeza zaidi uwe DSM, Kagera,kigoma,katavi,rukwa kidooogo na Arusha.
(C) penda kuwachallenge ma soldier, police,magereza,migambo na wazee walio staaf humo.Hii itakusaidia kuongeza kujiamini maana mf ukimkuta polisi anazurula muulize unaenda wapi na usimuogope maana ukiogopa utaabika na ukikaza yeye ndio utamuaibisha alafu kwenye somo utakuwa umeongeza kitu na hapo utakuwa unaqnza kupata uelewa wa kiutambuzi.
(D) Anzisha urafiki na WAHUNI,MALAYA,MATEJA,WAVUTABANGI,NA WATU WAKOROFI.hii itakusaidia kupambanq na changamoto za kiintelligencia mf hapa utajua taarfa ndogondogo na mapungufu ya idara zinazo operate hapo pia utapata uzoefu wa uhalifu na mapungufu ya hapo ulipo utapata taarifa za kiintelligencia na iweke sawa bongo yako kutafsili fasihi simulizi zilizopo hapo sabbu ktk wavutabangi10,2-4 ni maafisa wa serikali eg.police,wazee wa ndichi nk.
Pia utapata ujuzi namba ya kuescape na utapata ramani za utorokaji.
(E) Jifunze kusamehe,kunyamaza,kupuuza na kudarau bira ya kujulikana kila usisahau kujifunza kucheka na kuongea upuuzi.

(F) anza kununua nguo,viatu,soks,kofia tafauti tafauti lakini pia usisahau kunyoa mitindo tafauti ya nywele ndevu na nyuc kwa kina dada.lakini usisahau kudumu ktk mtindo moja wa mavazi na mitindo ya nyuc,nywele.

(G) Jifunze utulivu wa akili hapa nipo kwenye uvumilivu mf usimuache kila mwanamke,rafiki,jamaa,Bodaboda & tax& daladala.

(H) Anza kula kila kitu

(I) Kumbuka kukumbuka vyote ktk maisha yako..............


(J)Usisahau kusahau vyote ulivyo pitia????

2.Anza rasmi kujifua kk intelligence.
Jipe ziara hata kwenda stendi kumsubiria James bond huenda anakuja
Anza kuzurula kila kona kuutambua mjini barabara,njia chochoro bar guest club vijiweni masokoni na vitu vyote vinavyo tumika kwa wingi.
Anza kumtazama MTU maramoja na usipende kugonganisha na watu macho kwa muda mrefu lkn usisahau kumfaliliaanaye kutazama kwa makini.
Usipuuze mtu anaye kuuliza lkn usisahau kutomjibu hata kama unajua pia simaanishi usijibu,mf dah we jamaa unaonekana mjanjamjanja sana,jibu ndio mie ni mtoto wa mjini lkn usisahau kutambua kakuuliza upo makini sana hata kama hakumaanisha.
Jifunze kijiongelea mwenyewe na kujikosoa pia usisahau kupaza sauti kimoyomoyo.
.Nb: mwaka juzi nilienda uhamiaji some where kufatilia passport yangu nilihitaji kufika pahala Fulani kwa masuala yangu Fulani Fulani.
Movie ilikua hivi
Nilifika getini saa 3:14 palikuwa na watu wawili na mmoja alikua anajiandikisha hivyo eneo husika walikuwa watu watatu ambao niliwatambua kwa moja alivaa shati ya blue kama bahali Fulani(Mimi sio mtaalam wa Rangi) na suruali ya blue viatu vyeusi kama hivi tunavyo vaaga tukienda kwa gwajima j2 ballet aliiweka mezani na alionekana mtu ambaye sio makini eneo la kazi namaanisha hakuwa anafatilia kila kitu japo alikua getini,ndani ya kibanda kidogo ukianza kuingia eneo LA uzio wa kama viwanja vinne vya 35×35,MTU mwingine ni huyu mvaa suit ilikuwa nyeusi safi smart ni MTU wa makamu ya miaka 40-45 pia nilimtambuwa ni afisa wa idara kati ya polisi,magereza,na uhamiaji pia nilimtambua ni uhamiaji.nb sina kosea hapo we endelea utanielewa2,kilicho nifanya nimtambuwe ni uzungumziaji wake wa vyeo vya mkaguzi(inspector), (mrakibu)assistant nk tuishie hapo kwa Leo. Wazee simnajua movie la kihindi hili na muziki! Ndani,mtu wa mwisho alikua kijana wa age ya28-32 alikua akijiandikisha nilimtambua kwa kina la Mohammed Ally....... Kisha .......
Nilipo ingia ndani kujiandikisha niliuliza swali moja tu .Sali waheshimiwa ivi napataje passport
Jibu. Kutoka kwa Mzee wa misifa na suti nenda ndani dirishani watakupa muongozo lkn usisahau kuna kutuambia wamekwambiaje?.
Mimi OK. Jumla eneo husika nilitumia dakka kama 12-20.

Reception
Officer karibu kk
Me. Asante naomba kufahamu upatikanaji wa passport nahitaji kusafiri nnje ya nchi
Of. Kuna form lkn kablaya yote unahitaji kwenda wapi na kufanya nn link he una ticket? mwenyeji wako nani na umejipangaje.
Me. Jibu lilikua easy sana kwani hayo yote wewe yanakuhusu Mimi.
Of. Kaka mi nadhani huwezi kupata passport usifikirie passport tunatoatoatu.
Me. Dada kwani we ni nani mpaka u niambie hivyo kwani anaye toa passport ni nani na kwann useme siwezi kuipata mi naihitaji tena fasta kabla sijacharuka hapa nb.nilikua tayali Nina bidhaa kadhaa za kulevya kwa kichwa.
Of.ha ha ha ha njee kk umetumwa wewe sio bure Mimi ndio nazipitisha kabla ya hatua zinazo fata
Me. Akilini huyu anahitaji watu wa mkono mrefu sio Mimi mwenye mkono wa kaushi.jibu ahaa sasa Dada tatizo huku sema mapema mi nimeona umevaa kiraia nikaona rabda ulikuwa unafutafuta vumbi hapo kwenye desk ya wazee
Of.OK ila ninacho kina kama huto niaribia simu yangu basis utanichekesha sanaleo chukua form hii inamaelezo yaliyo jitosheleza kila usipo elewa namba yangu hii akaandika kwa karatasi nyingine nikapewa naitwa Naomi karibu tena naomba uende ukapumzike uijaze taratibu sawa kk
Me.OK kazi njema mtoto mzuri .
Tukio LA kama nusu saa so tufanye dkka 35 si nilikuta watu kwa bench.
Mie nnje nikasaini sikuongea na mtu yule Dada akaniuliza vipi mbona unaonekana umekasirika mi nikamjibu ukicheka muda wote lazma uonekane lofa Dada kwahtlyo unaenda wapi. Mi nilomjibu tu nilipotoka mda hyo nipo mlangoni.(Ni kwasabbu yako mtoa madam kama ni muelewa utatambua vithu nilivyo kuelekeza hapo juu vinavyo nisaidia). Out of tpc.

Kk intelligence ni nnje ya macho,masikio,ngozi yako ulimi wako namaanisha kutambua kama umewekewa sumu kwenye chakula ili utambue sio mpaka uonje.

Nakuahidi hutojuta ukivijua hivyo vitu




WADAU SAMAHANINI SANA

ELIMU YANGU NDIO IMECHANGIA KUANDIKA BILA FORMULA.ila tumeelewana
Huo mfano tu mie hoi
 
Sasa Zee la chini hiyo (F) si hadi uwe vizuri kiuchumi kununua manguo tofauti tofauti, kofia nk. Kama pangu pangavu si itakuwa vigumu kufankisha!
Mie huwa naiskiliza sana nafsi yangu inanitaka nifanye nini katika muda gani na kwa namna gani ndiyo nafanya.

Self defence ni muhimu sana na lazima kuwa vizuri/fit 365/24/7.
Halafu ni muhimu kufatilia mambo sana lazima ujue kwa undani wake, hapa jipe kazi ya kupata taarifa zozote zile ambazo zinafanywa siri hazijulikani na watu.
Ni vizuri kuwa simple au mtu easy ili watu wasiwe makini kukuangalia umakini/seriousness yako wakati huo huo we unawasoma watu kwa umakini sana na mazingira uliopo.
Kuwa smart sana kuna chota attention ya watu kukutazama kila unapokuwa hii nayo siyo nzuri inabidi uwe unavaa kikawaida tu na ukivaa hovyo pia utachota attention ya wengi so balance.
Usalama na ulinzi ni kitu cha kwanza na muhimu
 
KIBINAADAM HATA YESU NI MWANA INTELLIGENCE,KWANI ALIISHI HIVYO,ALIWAJUA MAADUI ZAKE WOTE KABLA WAO KUMJUA,ALIISHI KUFUATA MISINGI ISIO YUMBA,HAKUWAI KUWA KIGEUGEU WA TARATIBU ALIZO JIWEKEA.ALIKUWA MTAFITI MPAKA AKAJUA KIFO CHAKE .NA ALIJUA HATA MARAFIKI WAKE WAKWELI NI WAPI NA WAONGO AU MSALITI NI YUPI.HUYU NI MWANA INTELLIGENCE NO 1 IN THE WORLD ( JESUS)
Tusubiri na wa upande wa pili nao waje wamsifie wa kwao.
 
Hapana kk yaan kujaribu ni kutenda sio kujaribu unaona hapo kuna tafauti sababu kujaribu kwenda kuoga then unafika unavua nguo unajimwagia maji ila hutakati na sehemu nyingine zinakuwa hazija fika maji. Hapo umejaribu lkn hukufikia lengo.
 
Sasa Zee la chini hiyo (F) si hadi uwe vizuri kiuchumi kununua manguo tofauti tofauti, kofia nk. Kama pangu pangavu si itakuwa vigumu kufankisha!
Mie huwa naiskiliza sana nafsi yangu inanitaka nifanye nini katika muda gani na kwa namna gani ndiyo nafanya.

Self defence ni muhimu sana na lazima kuwa vizuri/fit 365/24/7.
Halafu ni muhimu kufatilia mambo sana lazima ujue kwa undani wake, hapa jipe kazi ya kupata taarifa zozote zile ambazo zinafanywa siri hazijulikani na watu.
Ni vizuri kuwa simple au mtu easy ili watu wasiwe makini kukuangalia umakini/seriousness yako wakati huo huo we unawasoma watu kwa umakini sana na mazingira uliopo.
Kuwa smart sana kuna chota attention ya watu kukutazama kila unapokuwa hii nayo siyo nzuri inabidi uwe unavaa kikawaida tu na ukivaa hovyo pia utachota attention ya wengi so balance.
Usalama na ulinzi ni kitu cha kwanza na muhimu
Kununua vitu. Kama ni kipato cha chini itategemea.
Kuwa smart pia sababu unaweza ukahitaji kumjua bosi wako so lazma uwe smart kwa watu wa kipato.
Kumsoma mtu sio lazma uwe makini sana maana unaweza ukawa unamsoma muhusika wa tasnia wapo critical muda wote kutafuta watu walio critical wanaweza dhani ni mwenzao watakupa symbol usizijibu au wanaweza kukuhic ni spy itakupa tabu.
Mf upo bar unataka ujifunze hapo mda huo kuna spy kaijia taarfa au kapata fununu kuna MTU anahofiwa bar maid mtoa signal anafika kwa jamaa anampa via na tishu iliyo full details mda huo wewe nawe una karibu kumchunguza jamaa moja kwa moja utaingia kwenye anga zao na utawafanya wahisi na wewe ni mtandao uliopo hapo.
Duty no arsenal
Utajikuta ume fail kazi
Na watakuvuna usijaribu kuigiza ujasusi
Uzalendo & utii & kifo.
BROO HAO WATU WANAKUNYWA MAJI YA BENDERA.hata akusingizie ofisini kwake2 IPO kazi wanaaminika balaa.
 
Moja ya symbol za utambuzi.
Ni ukihisi kuna mtu wa tasnia yako unaanza kwa kusuport mada
.Mada: kuna watu wasenge humu mnaleta upumbafu wenu hapa hapa watu tumekuja kutafuta hela sio kutuletea upumbavu mnajua msituludishe jela watu tumesha ua sana.
Wajinga wanaanza kweli boyadogo wanatuchukulia easy ivi mnamjua aliye mnyonga yule jamaa pale kiteto yule msenge mi nilimnyonga kwa mikono yangu alileta zengwe kama zenu nyie shauriyenu atakufa mtu.
Inter anapata pa kuanzia anafatiloa kama kuna mtu kawahi kuuwawa kiteto simnajuaga zile jamaa aliua 2000 kadakwa 2017 moja ya style za kuwadaka hizi
Jukumu kwa mkisiwa aaah mnyama we Hanna kitu kwanza wewe mchelemchele huwezi kumminya mtu.hapo atatongozwa mpaka ataingia mkenge mwenyewe.
Angalizo huwa mtu akipelekwa na akahic na kugundua kuna mwenza lazma aondoke bila kuacha signal
 
*usipende kuwa mwongeaji sana mbele za watu, kuwa msikilizaji zaidi

*Usielezee mambo yanayokuhusu kwa mtu ambaye si lazima ajue

*jitahidi kuwajua watu wanaokuzunguka mahali unapoishi ni watu wa namna gani/wanajihusisha na nin
*Usikae eneo moja zaidi ya dakika 10 ikiwa hakuna ulazima/umuhimu wa kuwa hapo
*Maeneo unayokuwa umekaa (ktk mikusanyiko, bar, club, hotel etc) hakikisha umeshajua pakutokea kwa haraka bila kudhurika endapo tukio lolote litatokea

*ukitumia chombo cha moto, kabla ya kushuka hakikisha umepaki kwa mtindo wa mwondoko (kuelekea mbele unapotokea) hii itakusaidia kuondoka kwa haraka inapotokea dharula hasa inayotishia usalama wako
NOTE: isipokuwa maeneo ambayo hawaruhusu kupaki ktk mtindo wa mwondoko mfano Bank
*PATA MAFUNZO YA SELF-DEFENSE
thanks
 
Points zingine ni:-

*Jua kudanganya na usisahau na Ujue mtu kama anakudanganya

*Kuwa na kumbukumbu nzuri katika mambo yako au kuwa na schedule nzuri ya life yako.

.*Jaribu kubadilika badilika mfano: kama unaenda sehem wasiyo kujua unaweza ukavaa miwani /mzuraa n.k

*Katika matumizi yako ya simu ukifanya chatting na mtu yoyote clear all text zote ulizochat watsap na text za kawaida kama ni fb usipost kila kitu unachokifanya katika daily life ukiweza kabisa tumia picha za mtu mwingine zisiwe zako.

*Jitahidi kuongeza Marafiki nacho ni kitu mhimu sana sana cheka na watu lakin hakikisha hawajui profile yako ya maisha

*Tumiaa/kuwa na majina matatu tofauti tofauti mfano: jina lako hailisi ni JOFREY unaweza ukajiita Ryan,Jeff, au Rodri

Ni hayooo tuuuu
Source lifehack.com/how to be intelligence
thanks
 
KIBINAADAM HATA YESU NI MWANA INTELLIGENCE,KWANI ALIISHI HIVYO,ALIWAJUA MAADUI ZAKE WOTE KABLA WAO KUMJUA,ALIISHI KUFUATA MISINGI ISIO YUMBA,HAKUWAI KUWA KIGEUGEU WA TARATIBU ALIZO JIWEKEA.ALIKUWA MTAFITI MPAKA AKAJUA KIFO CHAKE .NA ALIJUA HATA MARAFIKI WAKE WAKWELI NI WAPI NA WAONGO AU MSALITI NI YUPI.HUYU NI MWANA INTELLIGENCE NO 1 IN THE WORLD ( JESUS)
good point
 
Back
Top Bottom