Oooh. Good boy
Sasa anza hivi
Jifunze vitu vyote mpaka wewe mwenyewe ujijuwe yaan ufaham mpaka mgongoni kwako kuna nn kamaa ni doa au kovu mpaka vile vi ng'ombe cc wasukuma tunaita hvyo ujue kama vipo
Then wajue watu wako then anza sasa usoma na kuandika
1.Intelligence kwako Fanya hivi
(A) Jifue ktk mapigano ya bila silaha
(B) Jifunze vile vitu unavyo vijua kabisa huviwezi mpaka uviweze, MF kwenda ofisI ya mkuu wa mkoa kuulizia nafasi yake juu yako lkn hii ingependeza zaidi uwe DSM, Kagera,kigoma,katavi,rukwa kidooogo na Arusha.
(C) penda kuwachallenge ma soldier, police,magereza,migambo na wazee walio staaf humo.Hii itakusaidia kuongeza kujiamini maana mf ukimkuta polisi anazurula muulize unaenda wapi na usimuogope maana ukiogopa utaabika na ukikaza yeye ndio utamuaibisha alafu kwenye somo utakuwa umeongeza kitu na hapo utakuwa unaqnza kupata uelewa wa kiutambuzi.
(D) Anzisha urafiki na WAHUNI,MALAYA,MATEJA,WAVUTABANGI,NA WATU WAKOROFI.hii itakusaidia kupambanq na changamoto za kiintelligencia mf hapa utajua taarfa ndogondogo na mapungufu ya idara zinazo operate hapo pia utapata uzoefu wa uhalifu na mapungufu ya hapo ulipo utapata taarifa za kiintelligencia na iweke sawa bongo yako kutafsili fasihi simulizi zilizopo hapo sabbu ktk wavutabangi10,2-4 ni maafisa wa serikali eg.police,wazee wa ndichi nk.
Pia utapata ujuzi namba ya kuescape na utapata ramani za utorokaji.
(E) Jifunze kusamehe,kunyamaza,kupuuza na kudarau bira ya kujulikana kila usisahau kujifunza kucheka na kuongea upuuzi.
(F) anza kununua nguo,viatu,soks,kofia tafauti tafauti lakini pia usisahau kunyoa mitindo tafauti ya nywele ndevu na nyuc kwa kina dada.lakini usisahau kudumu ktk mtindo moja wa mavazi na mitindo ya nyuc,nywele.
(G) Jifunze utulivu wa akili hapa nipo kwenye uvumilivu mf usimuache kila mwanamke,rafiki,jamaa,Bodaboda & tax& daladala.
(H) Anza kula kila kitu
(I) Kumbuka kukumbuka vyote ktk maisha yako..............
(J)Usisahau kusahau vyote ulivyo pitia????
2.Anza rasmi kujifua kk intelligence.
Jipe ziara hata kwenda stendi kumsubiria James bond huenda anakuja
Anza kuzurula kila kona kuutambua mjini barabara,njia chochoro bar guest club vijiweni masokoni na vitu vyote vinavyo tumika kwa wingi.
Anza kumtazama MTU maramoja na usipende kugonganisha na watu macho kwa muda mrefu lkn usisahau kumfaliliaanaye kutazama kwa makini.
Usipuuze mtu anaye kuuliza lkn usisahau kutomjibu hata kama unajua pia simaanishi usijibu,mf dah we jamaa unaonekana mjanjamjanja sana,jibu ndio mie ni mtoto wa mjini lkn usisahau kutambua kakuuliza upo makini sana hata kama hakumaanisha.
Jifunze kijiongelea mwenyewe na kujikosoa pia usisahau kupaza sauti kimoyomoyo.
.Nb: mwaka juzi nilienda uhamiaji some where kufatilia passport yangu nilihitaji kufika pahala Fulani kwa masuala yangu Fulani Fulani.
Movie ilikua hivi
Nilifika getini saa 3:14 palikuwa na watu wawili na mmoja alikua anajiandikisha hivyo eneo husika walikuwa watu watatu ambao niliwatambua kwa moja alivaa shati ya blue kama bahali Fulani(Mimi sio mtaalam wa Rangi) na suruali ya blue viatu vyeusi kama hivi tunavyo vaaga tukienda kwa gwajima j2 ballet aliiweka mezani na alionekana mtu ambaye sio makini eneo la kazi namaanisha hakuwa anafatilia kila kitu japo alikua getini,ndani ya kibanda kidogo ukianza kuingia eneo LA uzio wa kama viwanja vinne vya 35×35,MTU mwingine ni huyu mvaa suit ilikuwa nyeusi safi smart ni MTU wa makamu ya miaka 40-45 pia nilimtambuwa ni afisa wa idara kati ya polisi,magereza,na uhamiaji pia nilimtambua ni uhamiaji.nb sina kosea hapo we endelea utanielewa2,kilicho nifanya nimtambuwe ni uzungumziaji wake wa vyeo vya mkaguzi(inspector), (mrakibu)assistant nk tuishie hapo kwa Leo. Wazee simnajua movie la kihindi hili na muziki! Ndani,mtu wa mwisho alikua kijana wa age ya28-32 alikua akijiandikisha nilimtambua kwa kina la Mohammed Ally....... Kisha .......
Nilipo ingia ndani kujiandikisha niliuliza swali moja tu .Sali waheshimiwa ivi napataje passport
Jibu. Kutoka kwa Mzee wa misifa na suti nenda ndani dirishani watakupa muongozo lkn usisahau kuna kutuambia wamekwambiaje?.
Mimi OK. Jumla eneo husika nilitumia dakka kama 12-20.
Reception
Officer karibu kk
Me. Asante naomba kufahamu upatikanaji wa passport nahitaji kusafiri nnje ya nchi
Of. Kuna form lkn kablaya yote unahitaji kwenda wapi na kufanya nn link he una ticket? mwenyeji wako nani na umejipangaje.
Me. Jibu lilikua easy sana kwani hayo yote wewe yanakuhusu Mimi.
Of. Kaka mi nadhani huwezi kupata passport usifikirie passport tunatoatoatu.
Me. Dada kwani we ni nani mpaka u niambie hivyo kwani anaye toa passport ni nani na kwann useme siwezi kuipata mi naihitaji tena fasta kabla sijacharuka hapa nb.nilikua tayali Nina bidhaa kadhaa za kulevya kwa kichwa.
Of.ha ha ha ha njee kk umetumwa wewe sio bure Mimi ndio nazipitisha kabla ya hatua zinazo fata
Me. Akilini huyu anahitaji watu wa mkono mrefu sio Mimi mwenye mkono wa kaushi.jibu ahaa sasa Dada tatizo huku sema mapema mi nimeona umevaa kiraia nikaona rabda ulikuwa unafutafuta vumbi hapo kwenye desk ya wazee
Of.OK ila ninacho kina kama huto niaribia simu yangu basis utanichekesha sanaleo chukua form hii inamaelezo yaliyo jitosheleza kila usipo elewa namba yangu hii akaandika kwa karatasi nyingine nikapewa naitwa Naomi karibu tena naomba uende ukapumzike uijaze taratibu sawa kk
Me.OK kazi njema mtoto mzuri .
Tukio LA kama nusu saa so tufanye dkka 35 si nilikuta watu kwa bench.
Mie nnje nikasaini sikuongea na mtu yule Dada akaniuliza vipi mbona unaonekana umekasirika mi nikamjibu ukicheka muda wote lazma uonekane lofa Dada kwahtlyo unaenda wapi. Mi nilomjibu tu nilipotoka mda hyo nipo mlangoni.(Ni kwasabbu yako mtoa madam kama ni muelewa utatambua vithu nilivyo kuelekeza hapo juu vinavyo nisaidia). Out of tpc.
Kk intelligence ni nnje ya macho,masikio,ngozi yako ulimi wako namaanisha kutambua kama umewekewa sumu kwenye chakula ili utambue sio mpaka uonje.
Nakuahidi hutojuta ukivijua hivyo vitu
WADAU SAMAHANINI SANA
ELIMU YANGU NDIO IMECHANGIA KUANDIKA BILA FORMULA.ila tumeelewana