Wana-Intelligence naomba mnisaidie ili niwe Mwana-Intelligence niliyekamilika

1. Utembeapo hatua sita geuka nyuma huenda unafuatwa
2. Tumia sana suti kwa ajili ya personality ila hakikisha suruali yako inavutika kuchana msamba rahisi kupiga mawashi
Kuwa na miwani ya giza ili isionyeshe kama unamtazama
NB Mtu hataishi kwa mkate tu ila kwa kila neno litokalo ktk kinywa cha Mungu
 
Nyongeza,ongea machache,sikiliza mengi.
Usipende kudakia dakia kabla mwenzako hajamaliza kuongea.
Pendelea kuitafakari siku mzima kabla ya kulala.
Saa kumi na moja alfajili anza kutafakali siku mpya ni nini utafanya,kwa kuanzia Fanya mazoezi au Sala.
 
Safi sana Mkuu.
 
Kuna kitabu kinaitwa how to be a spy mwenye nacho upload PDF file wadau wapate nondo
 
Dah aisee
 
Unaweza kutoa mfano mtu anaweza kuanza kufuatilia nin taja baadhi ya matukio unayozani ni muhimu
 
Wandugu, vitabu and training manual za kuwa spy hizo hapo. kazi kwenu and remember, Love thy enemy..
 

Attachments

Mtegemee Yesu Kristu. Atakuzawadia Roho Mtakatifu nawe utakuwa Mwana wa Baba na Chochote Uombacho Kwa Baba Utapewa.
Do not fear anything but fear itself! Mtegemee Mwenye Enzi Mungu Maulana Mola wetu naye atafanya yote upasayo kuyatenda!
 
Kwa maelezo yako nimegundua wewe ni mgojwa wa akili. Wasiwasi kupita kiasi ni ugonjwa wa akili.
Ugonjwa wa woga ama wasiwasi huwapata wazee sana na ndio inasemakana wanarudi utotoni.
Kwa walokole wanasema unapepo la wasiwasi.
Angalia namna gani ya kupona - kupata ushauli ama kuombewa ama mzizi mkavu ahusike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…