Wana-Intelligence naomba mnisaidie ili niwe Mwana-Intelligence niliyekamilika

Hahahahaaa
 
Kama unataka kuishi ki-intelligencia fanya hivi,'epuka kesi,kuwa karibu na tabaka tawala/au watawala vilevle hakikisha unakuwa na kadi ya chama tawala na sku kikiondolewa madarakani hakikisha unahamia kwenye chama kilichoshika dola,pia waepuke police.
 
[/QUOTE]
jibu ahaa sasa Dada tatizo huku sema mapema mi nimeona umevaa kiraia nikaona rabda ulikuwa unafutafuta vumbi hapo kwenye desk ya wazee
Of.OK ila ninacho kina kama huto niaribia simu yangu basis utanichekesha sanaleo chukua form hii inamaelezo yaliyo jitosheleza kila usipo elewa namba yangu hii akaandika kwa karatasi nyingine nikapewa naitwa Naomi karibu tena naomba uende ukapumzike uijaze taratibu sawa kk

Sasa hapo mkuu tufanye angekuwa hajajishitukia mwenyewe kukuhisi we ni usalama wa taifa ungefanyaje, au ndo ungenywea tena au kumuhonga pesa au ungekuwa na mbinu gani?
 

Mkuu hapo kwenye herufi (kipengele) "G" unamaanisha nini? Ufafanuzi kidogo
 
Kuna vitu vingine kuvifuata vinategemea kazi yako, mazingira unayoishi, Utamaduni na kama una maadui otherwise utaonekana mtu wa ajabu na unaweza kuhisiwa hata mchawi au chizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…