Wana-Intelligence naomba mnisaidie ili niwe Mwana-Intelligence niliyekamilika

naona watu wanafunguka vitu ovyo ovyo. sizani kama kweli mleta mada anatak kujifunza. vitu hivi utajifunza vip mtandao? siwez to siri kirais hivi.... sanukeni mnafuatiliwa
 
naona watu wanafunguka vitu ovyo ovyo. sizani kama kweli mleta mada anatak kujifunza. vitu hivi utajifunza vip mtandao? siwez to siri kirais hivi.... sanukeni mnafuatiliwa
Tunafuatiliwa na nani?
 
Mkuuu umeni gusa sana kwenye chombo cha moto mara nyingi nikitembea na mzee wangu kweny gar huwa na paki ki hasara gari siweki upande wa kutokea mzee huwa ana niambia usipende kupako gar kiraia ita ku cost dharura ikitokea penda kuweka gar njia ya kutokwa ikitokea la kutokea huna haja kuanza kusumbuka kugeuza unakuwa tayar kusepa
 
When you get assigned kwa operations za nje ya nchi ambazo ni risky wanachukua agents waliokubuhu katika tradecraft, na most of the time kunakuwa na command center kwa kila nchi adui ama rafiki ambapo handlers wako ndio wanakwambia nini cha kufanya. How to set a meeting, non verbal communication and the like. Pia kumbuka kuna kufa muda wowote aidha kuuwawa na adui ama wenzako endapo itaonekana unahatarisha operations.

Somo refu sana mdogo wangu.......
 
Tupe sasa hilo somo
 
Hakikisha ikienda chooni hujambi kwa sauti mtu akasikia
 
Tunafuatiliwa na nani?
wew zipo njia nying za wapelelez kutafuta data..... zingine kam hiz kuulza maswal ya ajab ajab.....au kuona ni jins gan watu wanajib maswal kam haya
 
dada umetisha!
nakuja inbox uniambie unawezaje kujua haya wakati...?
 
dada umetisha!
nakuja inbox uniambie unawezaje kujua haya wakati...?
Espionage kama taaluma kuna mambo chungu zima.
--- kukamata majaususi wa adui wanao operate ndani ya nchi na Ku intercept mipango yao.
--- kuna kufuatilia mienendo ya viongozi wa serikali wa ngazi za juu pamoja na watumishi wa idara husika ya ujasusi kama wanaenenda na viapo vyao ( oath of office )
--- kulinda miundo mbinu muhimu kwa nchi kama petroleum pamoja na food reserves dhidi ya mashambulizi ya adui.
--- majasusi wa kijeshi (military intelligence) wao wanafanya tathmini ya hatari ya uvamizi wa kijeshi kutoka nchi yoyote ya jirani pamoja na ku verify military readiness ya jeshi kwenye kujibu mashambulizi ya ghafla ya adui.
--- intelligence inawezesha kupatikana kwa taarifa zitazowezesha policy makers kuunda sera za mahusiano ya nchi za nje pamoja na namna nzima ya kuendesha serikali.

Ujasusi ni somo moja refu sana wadogo zangu.
 
asante sana dada nimekuelewa!
naona umependeza sana kwa avatar yako! teh teh
 
 

Attachments

  • IMG-20170601-WA0039.jpg
    41.7 KB · Views: 14
Acheni kuigiza maisha..mnajitia stress.."kama wanakutafuta kukudhuru watakupata tu..'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…